Ndugu mmesahau kua balozi ni representatives wa rais na nchi aliyotoka?? So anahitaj heshima zote msiwe mnaclaim vitu kama hamjui ndo maana ukifika mazingira ya ubalozi wowote hata kama uko nchin kwenu ila pale ni kama nchi yao na kuna bendera zao na kila kitu kama unabisha iba afu uwe unakimbizwa na polisi kimbilia eneo la ubalozi wa marrkani uone kama watakufata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.