Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,498
- 113,602
Wanabodi,
Leo nimeshuhudia jambo kubwa la kuitukuza lugha yetu adhimu ya Kiswahili, pale Balozi wa Korea hapa nchini, H.E Young Ho Kim, alipopanda jukwaani na kuhutubia kwa lugha ya Kiswahili!.
Kitendo hiki sio tuu ni cha ukuzaji wa Kiswahili, bali baadhi ya wenzetu, hawako tayari kuendelea kuukumbatia ukoloni mamboleo kwa kuendeleza colonial legacy ya kuzungumza lugha ya mkoni Mwingereza!.
Kule nyuma niliwahi kuandika humu, wakoloni Waingereza wametufanya vibaya!, kwani mpaka leo ni aghlabu sana kuwasikia viongozi wetu wakizungumza lugha yetu wakiwa ugenini popote!.
Tena hutokea tukio ambalo mfadhili ni mzungu, basi hotuba zote zitasomwa kwa lugha ya mkoloni eti tuu ili mfadhili asikie, wakati huyo mfadhili angeweza kuwekewa mkalimani na waliowengi ndio wakahutubiwa kwa lugha yao!
Tuupunguze uzungu kwab kitukuza kizungu, huku ni kuendeleza ukoloni mambo leo!.
Asanteni.
Pasco
Leo nimeshuhudia jambo kubwa la kuitukuza lugha yetu adhimu ya Kiswahili, pale Balozi wa Korea hapa nchini, H.E Young Ho Kim, alipopanda jukwaani na kuhutubia kwa lugha ya Kiswahili!.
Kitendo hiki sio tuu ni cha ukuzaji wa Kiswahili, bali baadhi ya wenzetu, hawako tayari kuendelea kuukumbatia ukoloni mamboleo kwa kuendeleza colonial legacy ya kuzungumza lugha ya mkoni Mwingereza!.
Kule nyuma niliwahi kuandika humu, wakoloni Waingereza wametufanya vibaya!, kwani mpaka leo ni aghlabu sana kuwasikia viongozi wetu wakizungumza lugha yetu wakiwa ugenini popote!.
Tena hutokea tukio ambalo mfadhili ni mzungu, basi hotuba zote zitasomwa kwa lugha ya mkoloni eti tuu ili mfadhili asikie, wakati huyo mfadhili angeweza kuwekewa mkalimani na waliowengi ndio wakahutubiwa kwa lugha yao!
Tuupunguze uzungu kwab kitukuza kizungu, huku ni kuendeleza ukoloni mambo leo!.
Asanteni.
Pasco