johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,146
Mbowe ndiye Mrema wa Awamu ya 6 😃😃😃baba yako haimfai kwani hapo nyumbani kwenu.
Mbowe ndiye Mrema wa Awamu ya 6 😃😃😃baba yako haimfai kwani hapo nyumbani kwenu.
ambapo huo mkono wa idd ulimpa wewe na mamako.Mbowe ashapata mkono wa Idd tayari
jibu swali nimekuuliza babako hafai hio nafasi?Mbowe ndiye Mrema wa Awamu ya 6 😃😃😃
Amepambana sanaaa na bwana yuleRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Khamis Sued Kagasheki kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Parole kuanzia tarehe 18 Aprili, 2023.
View attachment 2594524
Vipi Mbowe ni baba yako nini mbona unahamaki hivyo!!?jibu swali nimekuuliza babako hafai hio nafasi?
Acha kutaja taja maswala ya mrema hapa kama unataka tumjadiri mrema sema ili upate majibu ya mrema.
Eti wangempa hata mayala akalambepo mkuu nimecheka sanaNchi hii ina wenyewe.....si wangempa hata Paacal Mayalla na yeye akalambamo kidogo.
Hao akina kagasheki wameshachuma vya kutosha.
Hii nchi ina watu kama 1000 tu ndio wanaokula kila kitu kila siku miaka yote
Wengine tunasindikiza tu huku tukiambiwa tuwe wazalendo
vijana wanaliwa kichwa mpaka hapo watakapojiongeza na kuacha uchawa.wazee wanazidi kujiimarisha kwenye mihimili ya kiubaguzi.Nchi hii ina wenyewe.....si wangempa hata Paacal Mayalla na yeye akalambamo kidogo.
Hao akina kagasheki wameshachuma vya kutosha.
Hii nchi ina watu kama 1000 tu ndio wanaokula kila kitu kila siku miaka yote
Wengine tunasindikiza tu huku tukiambiwa tuwe wazalendo😅😅
Hivi mabeberu yalienda wapi siku hiziBado Lukuvi. Kalamaganda Kabugi nilimuona kwenye mradi wa graphite huko Lindi Usweken.
huyo mzee nasikia aliuza rasilimali zake zote kule bukoba pamoja na ile radio yake ya kisiasa ya kasibante na kutokomea nje ya nchi.naona maisha yamempiga na mama kamkumbuka as if hakuna vijana ambao wanasifa ya kuteuliwa.Ila hawa jamaa wanajua kukumbukana huyo kagasheki hela alizochuma alipopita wizara mbalimbali enzi za Kikwete hazikumtosha.Ila nazo Mamlaka za uteuzi zingemuacha huyo mzee apumzike alee wajukuu zake mbona misisiyemu ipo kibao ambayo siyo aged inaweza fanya hiyo kazi mpaka mingine imejipa majina ya aibu ya kujiita chawa si ingekumbukwa
Huyu Balozi ni mwadilifu sana. Atakuwa wa msaadaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Khamis Sued Kagasheki kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Parole kuanzia tarehe 18 Aprili, 2023.
View attachment 2594524
Freeman Aikaeli Mbowe anahusika wapi hapa? Mbona huishi kumtaja taja kila wakati unapokuja jukwaani humu. Kwa taarifa yako, vichwa kama hivi ni adimu sana. Nakutakia kheri na kila lililo jema Kamanda FAM. Mungu awalinde wote wenye mapenzi mema na hata wenye roho ovu wabadilikeMbowe ashapata mkono wa Idd tayari
Yale yaliyotajwa na CAG ndio mabeberu wa siku hizi.Hivi mabeberu yalienda wapi siku hizi
Dah,Pascal siku hizi anatetea ata mambo ya kiwaki,kweli wangempa hicho cheo angalau atumie LLB yake!Nchi hii ina wenyewe.....si wangempa hata Paacal Mayalla na yeye akalambamo kidogo.
Hao akina kagasheki wameshachuma vya kutosha.
Hii nchi ina watu kama 1000 tu ndio wanaokula kila kitu kila siku miaka yote
Wengine tunasindikiza tu huku tukiambiwa tuwe wazalendo