Balozi Ali Karume ampasha mpwa wake Fatma Karume

Balozi Ali Karume ampasha mpwa wake Fatma Karume

  • Ana akili Sana huyu mh Karume
    Upo sahihi mkuu. Hata katika mchakato wa kutafuta mgombea wa CCM mwaka 2015 binafsi nilidhani huyu mzee ndiye atapeperusha bendera ya CCM. Hakufanikiwa lakini ukweli ni kuwa bado tunamuhitaji..
 
Mnahangaika na malaya aliekubuhu tu nyie. Fatma wala si wa kumjadili. Mnafahamu kabisa wanetu tukiwapeleka ulaya na america mara nyingi wanakwenda kunifunza kubwia unga na kuvuta bange si wa kike au w akiume. Huyo changudoa ni bange na madawa yanamsumbua tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
You are not even an inch close to the intelligence of this woman. Tulia na ujinga wako ukingoja hisani ya wanaokutuma.

Kama umesoma kwenye zizi la ng'ombe usiwachukie waliopata nafasi kusoma in proper schools in the world.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You are not even an inch close to the intelligence of this woman. Tulia na ujinga wako ukingoja hisani ya wanaokutuma.

Kama umesoma kwenye zizi la ng'ombe usiwachukie waliopata nafasi kusoma in proper schools in the world.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukisikiliza baba ake anavyomchambua nafikiri hutamkweza huyo fatuma hata kdg.Angekua intelligent angesoma vyuo vyenye heshima huko aliko pelekwa. Cambridge na Oxford alichemka. Ndio maana father anahoji huu ujuaji mwingi unatoka wapi?Na ni kweli kabisa, Yaani Fatuma mjuaji kuliko hata Chenge wa Harvard university hahahahahahah.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Huyu si ndiye alienda mahakamani akafanya utetezi kwa kutumia sheria iliyokwishafutwa? Kumbe ni msomi?
Hapo ndio utaelewa kwanini hata kwenye vyuo bora alikopelekwa na wazazi wake alichemka. Tatizo Tanzania ukiongea Kiingilishi kidogo tu na kutupa tuvifungu tuwili twa sheria hata kama hatuendani na Hoja iliyopo LAZIMA WAKUITE MSOMI. Mimi sijasoma sheria lkn huwa nikimsikiliza huyu Fatuma huwa naona kabisa HUMO KICHWANI KWAKE NI MWEUPE KABISA, sio sheria wala logical Arguments.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Ukisikiliza baba ake anavyomchambua nafikiri hutamkweza huyo fatuma hata kdg.Angekua intelligent angesoma vyuo vyenye heshima huko aliko pelekwa. Cambridge na Oxford alichemka. Ndio maana father anahoji huu ujuaji mwingi unatoka wapi?Na ni kweli kabisa, Yaani Fatuma mjuaji kuliko hata Chenge wa Harvard university hahahahahahah.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
chenge mjuaji kwenye wizi, huyu mjuaji kwenye kutetea wanyonge.

kwa ujuaji wa kuiba na kujificha kwenye sheria chenge yuko vzr
 
chenge mjuaji kwenye wizi, huyu mjuaji kwenye kutetea wanyonge.

kwa ujuaji wa kuiba na kujificha kwenye sheria chenge yuko vzr
Kesi ipi ya Kutetea wanyonge Fatuma amewahi shinda?

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
..Ali Karume alikuwa anapinga hata serekali ya umoja wa kitaifa.

..huyu mzee ni radical na watu wa aina yake they live in the past wamepitwa na wakati.

Cc Kibunango

Alikuwa hapingi Per se bali alikuwa anampinga kaka yake ambaye alikuwa mwanzilishi wa serikali ya umoja wa kitaifa.

Hiyo familia imegawanyika sana mpaka kisiasa.
 
Alikuwa hapingi Per se bali alikuwa anampinga kaka yake ambaye alikuwa mwanzilishi wa serikali ya umoja wa kitaifa.

Hiyo familia imegawanyika sana mpaka kisiasa.

..👍👍

..hivi bado ana NDOTO za kuwa Raisi wa Znz?

..nani anatarajiwa kumrithi Dr.Shein?
 
Hapo ndio utaelewa kwanini hata kwenye vyuo bora alikopelekwa na wazazi wake alichemka. Tatizo Tanzania ukiongea Kiingilishi kidogo tu na kutupa tuvifungu tuwili twa sheria hata kama hatuendani na Hoja iliyopo LAZIMA WAKUITE MSOMI. Mimi sijasoma sheria lkn huwa nikimsikiliza huyu Fatuma huwa naona kabisa HUMO KICHWANI KWAKE NI MWEUPE KABISA, sio sheria wala logical Arguments.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Utachekwa bwana mdogo. Mseme lingine, shangazi amesoma London School of Economics, si shule ya kubeza hata kidogo. Tafiteni drama nyingine lakini si shule yake.
 
toa ushahidi tukuelewe

Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi ndo tuko Huku Zanzibar huyu mzee anavizia vizia madaraka tunamjua vizuri tu ...Kuna vitu havibishaniwi kishabiki ...2015 alikua wakala wa CCM ...katika watu was mbele kutoka CCM kusupport kupigia debe uchaguzi wa marudio ...na kupiga propaganda za kutoa takwimu feki eti kura za mgombea wa urais Pemba zimezidi kwamba ni sahihi kurudiwa kwa uchaguzi ...wakati sie wananchi wa kawaida tunajua fika kila uchaguzi CCM lazima ifanye udanganyifu na wanaoshiriki huo udanganyifu miongoni mwao ni ndugu zetu ...rafiki zetu ...jamaa zetu ...kumbukumbu Zanzibar kijiografia ni ndogo sana watu tunajuana na lolote linalofanyika habari zake zinasambaa Mara moja ...so ni rahisi kulifahamu Jambo kwa muda mchache!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kusoma chuo kikubwa sio tija ...jee ulichokisoma unakifanyia kazi ...na jee ulichokisoma kina tija kwako!!!!
Ukisikiliza baba ake anavyomchambua nafikiri hutamkweza huyo fatuma hata kdg.Angekua intelligent angesoma vyuo vyenye heshima huko aliko pelekwa. Cambridge na Oxford alichemka. Ndio maana father anahoji huu ujuaji mwingi unatoka wapi?Na ni kweli kabisa, Yaani Fatuma mjuaji kuliko hata Chenge wa Harvard university hahahahahahah.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom