Balozi Ali Karume ampasha mpwa wake Fatma Karume

Balozi Ali Karume ampasha mpwa wake Fatma Karume

Kiukweli mimi binafsi sijawahi kumsikia bimkubwa akiongea pumba! Kila anachotamka ni madini tupu, ifikie mahali tukubali tu kuwa yuko sahihi kwa anayotamka na ni mkweli na tukiri tu kuwa hatupendi kuyasikia maneno yake yanatuchoma sababu ya umungu mtu uliotujaa kutoka na athari za fikra za elimu ya kikoloni za kupuuza utawala wa sheria na haki za binadamu. Kama upeo wako wa akili ni mdogo na umeshiba ushabiki wa kisiasa si vizuri kumsikiliza sababu huwa anazungumza kisomi si rahisi mtu mjinga kuelewa anachosema na anachopigania!
Unachodhani anaongea madini ni kuwa Elimu yako nyembamba utajua hivjo, Lakini wenye Elimu pana huona anaropoka tu pumba zake kama chizi vile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Balozi Karume, you are very stupid, stupid indeed! These are family issue, this is your daughter, as a father one would not expect you to make such nonsenses in the public. Call her at home and have a talk with her, not publically as you have done! You are stupid! Unadhani wazazi wengine hawana watoto kama Fatuma, unadhani nyumbani kwa Magufuli kila kitu ni "MALAIKA", unadhani kwa Mama Samia kila kitu ni "MALAIKA", unadhani kwa Shein kila kitu ni MALAIKA' Yapo lakini wana busara, hawayaleti hadharani! You are stupid!
He has a PhD in STUPIDITY.
mzazi hovyo kuwahi kutokea...hajui familia na ccm ni vitu tofauti. Akiukosa urais 2020 ataanza kuuza kali bila shaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
He has a PhD in STUPIDITY.
mzazi hovyo kuwahi kutokea...hajui familia na ccm ni vitu tofauti. Akiukosa urais 2020 ataanza kuuza kali bila shaka

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeona Fatma amemjibu mtu Twitter aliyetaka maoni yake kuhusu hili akajibu "Baba wadogo wengine wanadhulumu mali za watoto Baba akifa ila mimi nina bahati wa kwangu ananishauri nikasome" hili jibubutajua kwamba Fatma sio kilaza kama wana Lumumba wanavyotaka tuamini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alli Karume ni miongoni mwa wasimamizi feki wa uchaguzi wa marudio wa Zanzibar , Alishiriki kikamilifu wizi wa kura 2015 , Jina lake liko Namba 5 kwenye list ya kuhangaika nayo siku ikifika
Ndugu unaijua vizuri siasa? Una hakika gani Karume mwingine aliyestaafu Kraus, hakuwa sehemu ya uchaguzi huo wa marudio?
 
Msaka tonge tu huyu jamaa wala hana nyimbo. Bure kabisa.
 
Ndugu unaijua vizuri siasa? Una hakika gani Karume mwingine aliyestaafu Kraus, hakuwa sehemu ya uchaguzi huo wa marudio?
Mkuu mada ya leo yahusu Ali Karume , ambaye ninao ushahidi wa namna alivyoshiriki ule uchafu wa 2015 , sasa huyo Karume mwingine siku yake ikifika naye tutamchambua , bali kwenye kumchambua tutaweka na zile juhudi zake za kuleta MWAFAKA
 
Anajikomba ili apewe uraisi wa Znz.Shangazi ni mwanaharakati anasimamia haki kwenye jamii inayoonewa na wakoloni weusi, wote ni wasomi baba anaangalia tumbo mtoto ana kuitendea haki taaluma yake,kuwasaidia wengine anasimama nao.Labda tumuulize baba utovu wa nidhamu ni kukaa kimya nani hana nidhamu kati yake na yule aliyelipua ofisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo Karume mdogo nawashwa tu kwani hana watoto wake mwenyewe? Atulie atetee njaa

Sent using Jamii Forums mobile app

Yaani ni vituko mkuu!

Mwanamme mzima,tena wa umri mkubwa....

Unaenda against your own family members hata kama amekosea kiasi gani for the sake of CCM?

Huyu mpumbavu ana misingi gani hasa,hivi tuliwahi fundishwa ku-go against family member on anything kweli?

Is this motherfucker a gay thot?
 
Anajikomba ili apewe uraisi wa Znz.Shangazi ni mwanaharakati anasimamia haki kwenye jamii inayoonewa na wakoloni weusi, wote ni wasomi baba anaangalia tumbo mtoto ana kuitendea haki taaluma yake,kuwasaidia wengine anasimama nao.Labda tumuulize baba utovu wa nidhamu ni kukaa kimya nani hana nidhamu kati yake na yule aliyelipua ofisi.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu

Huyu mpumbavu ni gay if you dont know!

Fatuma hajawahi dhalilisha familia yake for anything,ila huyu punguani anadhalilisha his own family members for the same of CCM!

What a coon!
 
Heri angekaa kimya alinde tumbo lake amwache anaesimama na wanaoonewa,shangazi usimamia ukweli kama Lisu ndio wazalendo wa kweli. Bi Fatuma na Maria Sarungi wanatoka familia zenye misingi na wangeweza tulia wale vya kwao plus uhakika wa teuzi yeyote, Lkn wameviacha vyote hawataki kuwa wanafiki ili kulinda tumbo wanasimamia haki maisha utu ni zaidi ya tumbo.
Mkuu

Huyu mpumbavu ni gay if you dont know!

Fatuma hajawahi dhalilisha familia yake for anything,ila huyu punguani anadhalilisha his own family members for the same of CCM!

What a coon!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu vigezo vya wakili au Mwanasheria bora ni vipi?

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Mmmh mkuu nimekufatilia tangia mwanzo lakini una argue illogically kabisa mzee aisee yaaani wewe ukiwa timamu kabisa unaamini kwamba kama wakili au mwanasheria hajashinda kesi basi uyo si mwanasheria bora duuh emu niambie Dr Tulia amewahi kushinda kesi gani tofauti na ile ya mita mia ambayo Jk alitoa maagizo kuwa liwalo na liwe ni lazima serikali ishinde ile kesi, Pr Kabudi amewahi kushinda kesi gani zenye tija kwa jamii, mtafute uyu mwanasheria sijui anaitwa nani ila alishinda kesi maarufu iitwayo Abguel and his brothers if am not mistaken kama nimekosea nitakubali kukosolewa but kwa tasrif yako huyu ndo mtu aliye shinda kesi ambayo ilikuja kubadiri mandhari nzima ya sheria za tanzania juu ya sheria za kimila na mpaka leo argument zake zote alizotoa kwenye ile kesi ndo ziltumika kufanya reformation ya sheria nyingi zinazohusu ilo jambo na mpaka leo hoja zake bado zinatumika as a reference kwenye kesi mbali mbali but to remind you before kushinda hii kesi huyu jamaa alikuwa hajawahi kushinda kesi yoyote ndani ya nchi hii ya Tanzania.

So broo ubora wa mwanasheria am advocates sio kushinda kesi tu bali mara nyingi ni uwezo wake wa ku argue with critical plus logical sense!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usinge go against your family ungekuwa unachunga Mbuzi bado.Kukaa kimya ni unafiki.Heshima ya taaluma si tumbo ni kusimamia haki. Nyerere baba yake alikuwa chief mnufaika wa wakoloni asinge go against family usingekuwa huru.
Yaani ni vituko mkuu!

Mwanamme mzima,tena wa umri mkubwa....

Unaenda against your own family members hata kama amekosea kiasi gani for the sake of CCM?

Huyu mpumbavu ana misingi gani hasa,hivi tuliwahi fundishwa ku-go against family member on anything kweli?

Is this motherfucker a gay thot?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom