BAKWATA wamkemea Makonda

BAKWATA wamkemea Makonda

Viongozi kama hawa wa kidini ndio wanaopunguza waumini katika nyumba za Ibada, leo hii unasimama na kuanza kujiingiza kwenye mamboa ya siasa tena kumshabikia mtu ambae waislam mkiwa mmejifungia Msikitini mnamwita KAFIR na kuzima vipaza sauti ili msikilizane wenyewe tu huu ni unafiki na nafikiri ili uislam iwe dini ya wenye elimu ya ufahamu ni vema tukajikita kwenye dini na kuachana na mambo ya siasa na kwa hili huyu Shehk wa Mkoa amejiingiza kwenye kashfa ambayo sidhani kama waumini wa kiislam watamuacha.
 
Aliyekwambia bakwata inawakilisha waislamu ni mgalatia kama wewe!
Sisi waislamu tunasema BAKWATA HAIWAKILISHI MUISLAMU YYT.

Ni kundi lililowekwa na MFUMO KRISTO. Na halina uhai mrefu litaanguka tu! Na hilo kundi lilikuwa life miaka mingi mno lkn wanaoli support ni huo MFUMO!

Haujajibu swali, Lowasa ni chaguo la waislamu?? shehe kiongozi wenu anasema waislamu msichaguliwe marafiki.
 
Ukimsema lowasa jiandae kusutwa na wanaomtegemea kimaslahi! Lowasa anatisha toka ndani ya ccm mpaka misikitini na makanisani!

Pesa anazopewa Lowasa na hao wahindi na waarabu wake sijui kama zitatuacha salama na kwa amani
 
Pasaka lini?

subiri huyu mzee aamke atakuambia

SIRA.jpg
 
Tishio kwa Edward Tsunami Lowassa ni CHADEMA tu na hivyo kete ya Zitto ndio ime bounce, mtihani umekua mkubwa zaidi. Na nikiangalia sioni ni vipi na wapi ataweza fanya kupunguza nguvu ya CHADEMA.
Sio siri CHADEMA wame handle ishu ya Zitto vizuri mno na kwa wakati muafaka!
Ndani ya CCM hakuna mtu wala kundi linalomweza Tsunami sababu wote wanaongozwa na matumbo yao tu and they know and fear the man who can feed them.

Inamaana hukusikia kauli aliyeitoa mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Kilimanjaro Mzee P. Ndasamburo?
 
ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka.......... Huyo ndi lowassa, watanzania hawajasahau laana ya baba wa taifa juu ya mtu huyu, magamba walipoivunja ikawarudia wakamtoa uwaziri mkuu. Hata la kuwa waziri mkuu lilifanywa na mtu ambae baba wa taifa alishamsemea kuwa hakui na akamwambia asubiri akue watu wakadhani ni kukua kwa umri, hata leo hajakua bado na ndipo lowassa akawa waziri mkuu kutokea kwake. Hali hii ya sasa ni matokeo ya kutokua tumevuna tulichokipanda!!!!!!!!!

Lowassa ni kuuziwa mbuzi kwenye gunia!!!!!!!!!!!!!!!!!

sheikh mkuu wa mkoa wa dsm leo amezungumza na waandishi wa habari na kukemea kitendo cha paul makonda kutumika na kuwahusisha viongozi wa kiislamu na harakati za lowassa kwenda ikulu

sheikh mkuu amesema wao kama waislamu hawawezi kuchaguliwa marafiki,wala mtu wa kushiirikiana nae ktk misaada ya kuujenga uislamu na taasisi zake.amemuonya makonda kuacha kutumika na kuharibu sifa za viongozzi wa kidini.

Sheikh mkuu ameendelea kusema kuwa makonda hana amri wala dhamana ya kuwachagulia bakwata na waislamu mtu wa kuwa nae,amesema makonda aseme ni lini na wapi viongozi wa dini walitumika kwa uislamu wao kupiga kampeni.za lowassa kwenda ikulu

my take
mzee mamvi jamani anatisha sana,kasi yake ni ya hatari...kakaba kila kona
 
Viongozi kama hawa wa kidini ndio wanaopunguza waumini katika nyumba za Ibada, leo hii unasimama na kuanza kujiingiza kwenye mamboa ya siasa tena kumshabikia mtu ambae waislam mkiwa mmejifungia Msikitini mnamwita KAFIR na kuzima vipaza sauti ili msikilizane wenyewe tu huu ni unafiki na nafikiri ili uislam iwe dini ya wenye elimu ya ufahamu ni vema tukajikita kwenye dini na kuachana na mambo ya siasa na kwa hili huyu Shehk wa Mkoa amejiingiza kwenye kashfa ambayo sidhani kama waumini wa kiislam watamuacha.

Kaka mbona pengo aliposema kuhusu serikali mbili hukusema chochote? Akisema muislam ndio unakuja juu. Kaa ukijua kwa sasa viongozi wetu wa dini ---------- na wanasiasa! Si wakristo wala waislam wote wanatumika kisiasa. Pesa ni sabuni ya roho. Bora huyo aliekuja hadharani kuliko wale waliojificha na kufanya mambo chini kwa chini ili wale.
 
Uloi nga mâché68;8554398 said:
Kweli Lowassa kiboko! Kawanunua Hata Bakwata. Jamani Bakwata jitambueni. Hivyo vijisenti visiwavunjie heshima.
tunawategemea sana.

[h=2]Lowassa akabidhi katoni za tende na jozi za kanzu kwa waislam wamonduli .[/h] Imechapwa tarehe Jul 26 2012 //

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akikabidhi sehemu ya tende kwa Masheikh wa

Mji wa Monduli kwa ajili ya Ftar katika kipindi hiki cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.kutoka kushoto ni Sheikh wa Mto wa

Mbu,Sheikh Nasib Idd Nasib Mnyema,Katibu wa Bakwata wilaya ya Monduli,Idd Idoya,Ustadh Swalehe Ramadhan na

sheikh wa wilaya ya Monduli Sheikh Mwinshehe Mwinyimgeni Salum Simba.Makabidhiano haya yamefanyika leo asubuhi

nyumbani kwa Mh. Lowassa,Monduli.

[h=3][/h]
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akipena mikono na Mashekh wa Wilaya ya Monduli baada

ya makabidhiano ya katoni kadhaa za tende pamoja na jozi 100 za kanzu kwa ajili ya Waislam wa Monduli.Akipokea

msaada huo, Sheikh wa wilaya
 
Ukitaka kuamini kuwa hela tamu subiri uone watakavyikushambulia hawa viongozi wa dini ukimtaja low-as a
 
Lowassa akabidhi katoni za tende na jozi za kanzu kwa waislam wamonduli .

Imechapwa tarehe Jul 26 2012 //

Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akikabidhi sehemu ya tende kwa Masheikh wa

Mji wa Monduli kwa ajili ya Ftar katika kipindi hiki cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.kutoka kushoto ni Sheikh wa Mto wa

Mbu,Sheikh Nasib Idd Nasib Mnyema,Katibu wa Bakwata wilaya ya Monduli,Idd Idoya,Ustadh Swalehe Ramadhan na

sheikh wa wilaya ya Monduli Sheikh Mwinshehe Mwinyimgeni Salum Simba.Makabidhiano haya yamefanyika leo asubuhi

nyumbani kwa Mh. Lowassa,Monduli.


Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akipena mikono na Mashekh wa Wilaya ya Monduli baada

ya makabidhiano ya katoni kadhaa za tende pamoja na jozi 100 za kanzu kwa ajili ya Waislam wa Monduli.Akipokea

msaada huo, Sheikh wa wilaya


E bwana ee, kapendezaje? mi namfagilia tu huyu lowasa na atapata tu, watu wanampenda jamani muacheni mamvi wa watu...naona wanamuandama weeeeeeeeee lkn mwenyewe yuko bizee tu na mikakati..big up lowasa..the next president of URT
 
Back
Top Bottom