Bakwata njaa wana tudharirisha waislam
Wewe kweli ndio kafiri halisi tena Kafiri lenye gamba gumu zaidi ya kobe! Shekh wenu anatoa tamko unampinga? Muite ujuavyo ila haibadirishi kitu, ndo kiongozi wenu. Weka quotes zote za Kuran ila atabaki kuwa kiongozi wenu na anakula hela la Mh Lowassa. Vp kuhusu wale mashehe wa Mwanza walomvalisha kabisa Mh Lowassa yale magauni yenu na mitandio na akawasaidia zaid ya Mil. 500 nao ni makafiri? Acha matusi kijana! Jiheshimu uheshimiwe, dini haitetewi kwa matusi..'
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
BAKWATA ni NGO kama zingine
BAKWATA inawakilisha hao waislam walikubali kuwa kiwe ni chombo cha kuwakilisha fikra Ao etc
BAKWATA ni ngo ambayo haifanyi na haina audited accounts na sielewi kwa nini RITA haijafuingia mpaka leo
BAKWATA kama ilivyo NGO za WAPUKI...WANYAMA...etc haina kiongozi hata mmoja aliyemaliza form 2....
WAISLAM wa Dar es salaaam wako toka madhehebu tofauti kama Shia.... Sunni ....answar... cosmopolitan... cafeteria...istoqama....SAIGONI CLUB....wauza nazi...STD 7Waswahili....wangazija starbucks...TISS...google...wikipedia...muhajirun...BARAZA KUU....MBA....ivy league...ijummaa mpaka ijumaa....PHD salafis...maulid.... radicals....fundies...MSAUD...YESU SI MUNGU...mtoro....kisiwani...mwembechai....OIL &GAS...sinza....JF....ngamia....kichangani....jina...temeke...kwa mwinyi....ACCA...OXBRIDGE....CCM...iddi mpaka Iddi...
sasa huyu Sheikh wa Bakwata anaposema anaaakilisha maoni ya waislam wa Dar alitakiwa awe specific kuwa anaaakilisha waislam wepi kwenye kindi hilo hapo juu.
Nijuavyo atakuwa anaaakilisha kundi la STD7 wenzake na