jabali gumu
JF-Expert Member
- Aug 18, 2013
- 229
- 46
Bakwata ni kikundi cha watu wachache kwa maslahi ya watawala na si waislam.
kwi kwi kwiii! JF raha tupu.ccm lazima ife kabla ya pasaka
fi......
Pasaka lini?ccm lazima ife kabla ya pasaka
Natamani nijue Makonda alisema nini kuhusu Uislamu.
Ila inaonyesha Lowassa ameshajioteshea mizizi kwenye maeneo na taasisi nyingi tayari.
Kama sheikh wa mkoa wa Dar anasema Makonda aache kuwachagulia Waislamu marafiki, hii kauli ni nzito na very positive kwa Lowasa.
Napata kiwewe zaidi kuona jinsi jina la huyu mamvi linavyovuma na kutetewa na watu wasiotegemewa.
sasa wapiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii makondaaaza??????
Nani aliyekwambia bakwata ni chama cha siasa!
Au basi tu na wewe umeamua kuandika utumbo wako tu!
Utajibeba mwaka huu na bado, mungu wenu wa cuf profesa pumba mwambie afanye tena ziara yake misikitini.
Ha ha ha lowassa ni jini