kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 20,250
- 13,257
sasa wapiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii makondaaaza??????
Soon atajibadilisha jina na kujiita Madereva,maana anaandamwa.
sasa wapiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii makondaaaza??????
Soon usishangae pia tamko la wakristo kupitia CCT, PCT, RC au Sabato wakimuonya pia Makonda uache kuropoka!!
Siku zote mgombea urais wa CCM ni lazima atokee kwenye milango ya Kanisa au Misikiti.
Alifanya Kikwete na atafanya pia Lowassa, Membe au Sitta nk.
Huwezi kuitenganisha CCM na Udini.
ccm lazima ife kabla ya pasaka
Bakwata msipende vtu vya burebure mta....
Kati ya kitu ambacho hutokuja kusikia ni wasabato na matamko ya kisiasa kwanza huyo kiongozi ataanzaje kutoa matamko ya vitu visivyosimamiwa na misingi ya kanisa? Ndo maana wasabato hawapo katika ushirikiano au jumuia za makanìsa kabsa
Ubarikiwe sn!
BAKWATA wameanza kampeni,it seem that candidate wao ni LOWASSA.