Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,016
- 9,885
Hawa viongozi wa dini ndio wanasababisha mgawanyiko mkubwa wa kidini kwenye huu mgogoro.
Vipi kitendo cha hamas kurusha zaidi ya makombola 4000 israel hawajakemea?
Nilitaka niulize hili swali,ngoja nikausheHivi Bakwata mbona mauaji mengine yakitokea hatuwasikii wakilaani? huko Nigeria Boko Haram wanaua watu hatujawasikia Bakwata wakilaani,mauaji ya kimbali ya Rwanda, Bakwata hatujawahi kuwasikia je hao sio binadamu ila Wapalestina ndio wanastahili peke yao.
Waislamu wengi wanaoona Palestina wanaonewa ni wale walioona idadi kubwa ya mabomu ya hamas kuzuiliwa na Israel hiyo kitu imewauma sana ila mabomu yangewapata Israel basi wasingesema chochote.Vipi kitendo cha hamas kurusha zaidi ya makombola 4000 israel hawajakemea?
Utawaombea lini wakati wanakufa kama nzige muda huuHakika tutawaombea ndugu nzetu
Nitawaombea siku zote.Utawaombea lini wakati wanakufa kama nzige muda huu
Jumlisha na mauaji ya kibiti na msumbiji juzi Tu hapaHivi Bakwata mbona mauaji mengine yakitokea hatuwasikii wakilaani? Huko Nigeria Boko Haram wanaua watu hatujawasikia Bakwata wakilaani,mauaji ya kimbali ya Rwanda, Bakwata hatujawahi kuwasikia je hao sio binadamu ila Wapalestina ndio wanastahili peke yao.