Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 3,825
- 5,811
Palestine ina asilimia kubwa ya christians kuliko Israel.Kanisani kwetu tunaiombea Israel
Palestine ina asilimia kubwa ya christians kuliko Israel.Kanisani kwetu tunaiombea Israel
Ndo huwa nashangaa sielewi why wanaiombea Israel, na mabendera ya Israel makanisaniPalestine ina asilimia kubwa ya christians kuliko Israel.
Samahani naomba historia ya taifa mnaloliita Palestine lilishawahi kuwepo mwanzo kabla ya kuporwa hiyo ardhi yao mnayoisema na Israel je hilo taifa la Palestine mwanzo lilikuwa karne ya ngapi na mfalme wake nani na watu walioitwa wapalestina walishakuwepo na kingdom yao iliitwaje?Chanzo cha vita ni nini?
Kukaliwa kimabavu vipi kulishawahi kuwa na taifa linaloitwa Palestine embu nitajie historia yao na kingdom yao na mfalme wao na lugha yao na waliishi wapiVita vya kukaliwa kimamabavu na mtu ambaye akijisikia kukufanya chochote na wakati wowote ni mbaya zaidi ya hao wasakatonge uliowataja hapo.hao wapo huru lakini wameamua kujitoa ufahamu na kuuwana sababu za kijinga na kutaka utajiri.Ukitaka kujua hilo mtafute babu yako kama bado yupo akusimilie ilivyokuwa wakati wa mapambano ya kutaka uhuru.ni hivyo tu
Bado hujajibu swali.Samahani naomba historia ya taifa mnaloliita Palestine lilishawahi kuwepo mwanzo kabla ya kuporwa hiyo ardhi yao mnayoisema na Israel je hilo taifa la Palestine mwanzo lilikuwa karne ya ngapi na mfalme wake nani na watu walioitwa wapalestina walishakuwepo na kingdom yao iliitwaje?