St Lunatics
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 6,645
- 11,153
Bakwata mbuzi wewe hujijui eehh ng’ombe wewe sasa tamko la masheik wa Uamsho na wale wa Mwanza na Arusha lipo wapi? Acheni kujipendekeza kwa waarabu mbuzi nyie
Lunatic
Lunatic
BAKWATA WAITAKA JUMUIYA YA KIMATAIFA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA MGOGORO WA PALESTINA NA ISRAEL
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania(BAKWATA) limelaani vitendo vya Israel kuua raia wasio na hatia wa Taifa la Palestine katika mgogoro ulioanza Mei 10, 2021
Wamesema vitendo hivyo vinakwenda kinyume na Misingi ya Haki za kibinadamu na kuwataka Jumuiya ya Kimataifa kuchukua hatua
Pia wamewataka waislamu wote nchini Tanzania kutumia swala ya Ijumaa, Mei 21, 2021 kuiombea Palestina na kufanya dua za kunuti katika swala zote tano
#JamiiForums
View attachment 1791754
Ni kweli kabisa makombola yangeipiga Israel tusiongeona kemeo lolote zaidi ya pongezi.Waislamu wengi wanaoona Palestina wanaonewa ni wale walioona idadi kubwa ya mabomu ya hamas kuzuiliwa na Israel hiyo kitu imewauma sana ila mabomu yangewapata Israel basi wasingesema chochote.
Mgogoro ni wa kidin ,masjid al aqsa ni msikiti wa waislam so kadhia hii ingeenda kiislam ingeshaishaHawa viongozi wa dini ndio wanasababisha mgawanyiko mkubwa wa kidini kwenye huu mgogoro.
Huu mgogoro dini zingejiweka pembeni, yawezekana ungekuwa ushaisha.
Wapi isis walibaka watu ewe blind followers wa media za kikafir ??Hivi kwani huko Gaza ni vita ya kidini?
Bakwata watulie tuu mana kule sio mambo ya dini.
Mbona kuna boko haram, alshabab, IS na wengineo wanashambulia, kuua na kubaka watu kwa kisingizio cha Uislamu lakini hawasemi chochote.
America ameua malaki ya watu afghan ,Syria ,somalia ,Libya hamuon but waislam wakijidefend kosaHivi kwani huko Gaza ni vita ya kidini?
Bakwata watulie tuu mana kule sio mambo ya dini.
Mbona kuna boko haram, alshabab, IS na wengineo wanashambulia, kuua na kubaka watu kwa kisingizio cha Uislamu lakini hawasemi chochote.
Nimeamini bakwata ni kweli vilaza, hivi hawaoni hamas wanvyorushia raia wa Israel rockets ?BAKWATA WAITAKA JUMUIYA YA KIMATAIFA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA MGOGORO WA PALESTINA NA ISRAEL
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania(BAKWATA) limelaani vitendo vya Israel kuua raia wasio na hatia wa Taifa la Palestine katika mgogoro ulioanza Mei 10, 2021
Wamesema vitendo hivyo vinakwenda kinyume na Misingi ya Haki za kibinadamu na kuwataka Jumuiya ya Kimataifa kuchukua hatua
Pia wamewataka waislamu wote nchini Tanzania kutumia swala ya Ijumaa, Mei 21, 2021 kuiombea Palestina na kufanya dua za kunuti katika swala zote tano
#JamiiForums
View attachment 1791754
Wanafiki wakubwa sana hawaHawa wanacheza ngoma sio yao.
Saudi na emirates wenyewe wamepiga kimya.
kwani hawajui kuwa zanzibar yalitokea mauaji tena ya waislamu wenzao
Wanakuja kulia lia huku ilhali uchokozi wameanza wenyewe.kupigana na usiyemweza ni uwendawazimu..Yale makombora ya Hamas yangepenya na kuua waisrael usingewaona hapa.wamezidiwa ujanja wanataka jikinga kwenye udini..yaani mbinu ya waisrael nimeipenda ..hakuna kujisumbua sijui kupeleka wanajeshi huko Palestina..kombora kikirushwa kutokea sehemu flani basi nasi tunatwanga hapo hapo ..likitokea magomeni nasi tunatwanga magomeni..kazi kwenu kulizuia letu kama tulivyozuia lenuVipi kitendo cha hamas kurusha zaidi ya makombola 4000 israel hawajakemea?
Tanzania ni nchi isio fungana na upande wowote nyie lianzishe. Tu mtalinywaBAKWATA WAITAKA JUMUIYA YA KIMATAIFA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA MGOGORO WA PALESTINA NA ISRAEL
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania(BAKWATA) limelaani vitendo vya Israel kuua raia wasio na hatia wa Taifa la Palestine katika mgogoro ulioanza Mei 10, 2021
Wamesema vitendo hivyo vinakwenda kinyume na Misingi ya Haki za kibinadamu na kuwataka Jumuiya ya Kimataifa kuchukua hatua
Pia wamewataka waislamu wote nchini Tanzania kutumia swala ya Ijumaa, Mei 21, 2021 kuiombea Palestina na kufanya dua za kunuti katika swala zote tano
#JamiiForums
View attachment 1791754
Bakwata wanafki sana..wanaacha kukemea maovu ya ndani ya nchi ..ambapo walau watawala watawasikia wanakemea mambo ya Palestina ..tamko lao hata hapo pwani halijafikaKuchelewa Tamko la Bakwata kuhusu Masheikh wa Uamsho kwa miaka 8 tatizo ni 'Printer' au 'Catridge'?
Ni kweli. Ila technology ya hao majamaa nimeivulia kofia. Wangejua wasingewachokozaWaislamu wengi wanaoona Palestina wanaonewa ni wale walioona idadi kubwa ya mabomu ya hamas kuzuiliwa na Israel hiyo kitu imewauma sana ila mabomu yangewapata Israel basi wasingesema chochote.
Yaani hawa watu mataahira kweli..uchokozi wameanza wenyewe.baada ya kushiba daku wakaanza kurusha makombora yao..mengi yakadakwa ..walitegemea waisrael wakae kimya wakati uwezo wa kukutwanga wanao .na sababu umempatia mwenyewe?Vile vitendo vya hammas kurusha maroketi 4000 Israel na wameuawa waisrael 13 ni vizuri ? Mbona hawa bakwata hawalaani kuuawa kwa waisrael 13 na watoto 3 na maroketi ya hamasi
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app