Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,411
- 79,658
Ninachojiuliza mimi kwani wameshindwa kuzisimamia wao wenyewe hadi waombe msaada wa serikali. Hawa ndugu zetu kila kitu wanalalamikaHapo ndipo tunapowashangaa ndugu zetu bakwata hivi tende Tani 50 zinamsaidia vipi muislamu wa TANZANIA?
hawa waarabu nao sijui waliwaza nini Hadi kuja kudampo tende