Camp Lehigh
JF-Expert Member
- Nov 20, 2018
- 335
- 612
Hakuna kitu wanachohusudu waislam kama kula kula. Wanapenda kula hawa hasa ubwabwa balaa
Tuko kwenye utani chief sio kwamba hatujui inaandikwajeNi Ass ssalaam alaykum, na si Samareko wala saramaleko
Labda tuwaulize wakristo,wapagani na waislam maana ndio watumiaji.Vipi msaada wa condom za wazungu na ARV zina msaada upi labda
Hajui kwamba Bi Mariamu Imran alikula tende hizo hizo ili apate nguvu ya kujifungua mtu ambae leo wanamuabudu.Huku unaponda na kule unapongeza.
Mudy jangwani kala tende kwa kudra ya ALLAH, tende tunda lililo barikiwa kuliko matunda yote mti wake unastawi jangwani kuliko mparachichi, muembe na mzabibu
Mie niligawiwa juzi ofisini kama zawadi😅😅😅 ya mfanyakazi boraSijui wanataka kwa sh ngapi ila bei iliyopo ni kubwa hasa kipindi Cha ramadhan wanateseka
We hupendi kula mmbwa ww?Hakuna kitu wanachohusudu waislam kama kula kula. Wanapenda kula hawa hasa ubwabwa balaa
Watu wanaforciwa kula matunda ya jangwani wanadai yamebarikiwa huko kungekuwa na matunda mengine hata wasingehangaika na tendeHuku unaponda na kule unapongeza.
Mudy jangwani kala tende kwa kudra ya ALLAH, tende tunda lililo barikiwa kuliko matunda yote mti wake unastawi jangwani kuliko mparachichi, muembe na mzabibu
Ha haaa vizuri sanaMie niligawiwa juzi ofisini kama zawadi😅😅😅 ya mfanyakazi bora
Angejibu huyo aloleta uziLabda tuwaulize wakristo,wapagani na waislam maana ndio watumiaji.
Zile ni maalum kwa ajili ya kupiga mashine mkuu si unajua peponi tumeandaliwa watoto wakali 😆😆😆😆Tende zibarikiewe kuliko zabibu,parachichi au embe dodo..kweli wewe ni bure wa hed..sasa mudi jangwani angekula nini zaidi ya vumbi.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahha ila hii nchi duh yaani tunapewa hadi misaada ya tende hahaha sasa hizo zinasaidia nini?
Na mtu analalamika et mh rais , Yani hadi issue ya tende rais duh
Anyway : SALAMAREKO
Hapo ndipo tunapowashangaa ndugu zetu bakwata hivi tende Tani 50 zinamsaidia vipi muislamu wa TANZANIA?
hawa waarabu nao sijui waliwaza nini Hadi kuja kudampo tende