Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,813
- 3,766
Alaykum salaam shekh.
Kheri?
Kheri sheikh
Alaykum salaam shekh.
Kheri?
Mkuu kila kilicho cha muarabu ni kitakatifu,misikitini tende inasifiwa sana lakini huwezi sikia wakisifia parachichi,embe,chungwa nkIlikuwaje hao waarabu wakaleta tende? Yani waliombwa msaada huo au?
Halafu wamekupa likeNi Samareko sio Saramaleko
wapi mama katajwa....Hadi issue ya tende mama ndio asuluhishe? Hebu kuweni serious kidogo. Malizaneni huko huko misikitini. Mama ana kazi kubwa za kitaifa, hizo petty issue mpelekeeni mufti.