Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,926
- 31,169
Nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara ni kwanini serekali imekuwa ikiitambua BAKWATA kama mwakilishi halali wa waislam wote Tanzania wakati wapo waislam wengi wasioitambua au wasiofungamanana na BAKWATA.Yapo madhehebu tofauti tofauti katika dini ya kiislam [Shia,Sunni na nk]kama sikosei BAKWATA imeegemea zaid Sunni sasa ni kwanini Shia nao wasiwe na kiongozi wao [Mufti].
Serekali inatambua katika ukristo yapo madhehebu mbali bali kama vile wakatoliki,walutheri,wasabato,waanglikani,wapentekoste na nk.Mawasiliano baina ya viongozi[maaskofu] wa madhehebu haya na serekali hayana mgankanyiko kama ilivyo kwa waislam.
Naomba kupata ufafanuzi wakina hii hali inasababishwa na serekali au labda madhehebu au taasisi zenyewe za kiislam ndiyo chanzo cha huu mparaganyiko.
Serekali inatambua katika ukristo yapo madhehebu mbali bali kama vile wakatoliki,walutheri,wasabato,waanglikani,wapentekoste na nk.Mawasiliano baina ya viongozi[maaskofu] wa madhehebu haya na serekali hayana mgankanyiko kama ilivyo kwa waislam.
Naomba kupata ufafanuzi wakina hii hali inasababishwa na serekali au labda madhehebu au taasisi zenyewe za kiislam ndiyo chanzo cha huu mparaganyiko.