Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Usimnyime mtoto mapigo
Kama kawaida yetu dunia ya wajuaji hii. Bwana Mungu Muumba kasema mtoto asinyimwe kiboko wewe ni nani hasa wa kupinga...Habari zenu wanajamvi,
Binafsi nimekuwa nikiwaona wazazi wengi wakiwachapa bakora watoto wao kama njia ya kuwatia nidhamu na nimekuwa nikisikitishwa sana na hii tabia kwani binafsi siamini kama bakora zinamjenga mtoto kinidhamu.
Badala ya kutumia bakora kumtia mtoto nidhamu jiulize kwanza je huyu mtoto anao uwezo wa kuwaza na kuwazua ikiwa anao basi mweleze kwa maneno ya kumjenga, usimpige bakora wala na kitu chochote.
Na kama hana uwezo wa kuwaza na kuwazua basi mwekee vizuizi vitakavyomfanya asiweze kuharibikiwa.
Je wewe una mtazamo gani juu ya bakora?
Ni kweli kabisa.Nina kabinti kangu 5yrs Sasa alikuwa na tabia Kila akivua nguo anatupa chini hapo kamerudi shule hapa utakuta soksi pale Sweta pale sketi,nimefundisha kwa mdomo weeee siku yake nikampa bakora zake, siku hizi yeye ndio msemaji wa familia,utasikia wewe dada weka nguo pale kwenye Tenga mama atakuchapa wewe?Bakora zinawajenga watoto maana hata kama mtoto alikuwa hataki kufanya Jambo Fulani la kumjenga ila akikumbuka fimbo lazima afanye.
Mfano. Una mtoto nyumbani ni mchafu sana hataki kuoga , umejaribu kumuelimisha bado hataki, ila pale unapoanza kutumia bakora mtoto lazima atayatafuta Maji yako wapi mwisho wa siku anazoea.
KWA mazingira haya fimbo zinakuwa zimemsaidia sana na zimemjenga
Nina jirani yangu ana mtoto wa kike ana miaka 10 yupo STD 5,anasoma English medium ndio hao wakutochapwa anavyolelewa utasema yai la tausi wa pale magogoni...siku hiyo mama yake kajifanye amchape mtoto kapokonya fimbo na kumrudishia mama yake viboko huku anamuuliza Kama hunipendi kwa nini ulinizaa na maneno ya shit kibao na vizungu vyao,mama yake anajifanya kapanic nikajisemea moyoni hukumchapa at early stage uje umchape keshakomaa..kifupi ilikuwa ni tukio la aibu Sana...Nilitamani nimshike yule mtoto nimnyuke fimbo uwezo sikuwa nao tu....Kati ya kitu wazazi walikosea ni kuto wachapa watoto wao
Watoto wa sikuhizi wana majibu mabaya sababu ya malezi mabaya
Hata we shangaa! Hebu tumuulize mleta mada kama ana mtoto, ana umri gani na anamleaje atupe mrejeshoKama kawaida yetu dunia ya wajuaji hii. Bwana Mungu Muumba kasema mtoto asinyimwe kiboko wewe ni nani hasa wa kupinga...
Habari zenu wanajamvi,
Binafsi nimekuwa nikiwaona wazazi wengi wakiwachapa bakora watoto wao kama njia ya kuwatia nidhamu na nimekuwa nikisikitishwa sana na hii tabia kwani binafsi siamini kama bakora zinamjenga mtoto kinidhamu.
Badala ya kutumia bakora kumtia mtoto nidhamu jiulize kwanza je huyu mtoto anao uwezo wa kuwaza na kuwazua ikiwa anao basi mweleze kwa maneno ya kumjenga, usimpige bakora wala na kitu chochote.
Na kama hana uwezo wa kuwaza na kuwazua basi mwekee vizuizi vitakavyomfanya asiweze kuharibikiwa.
Je wewe una mtazamo gani juu ya bakora?
Mimi sina mtoto.Hata we shangaa! Hebu tumuulize mleta mada kama ana mtoto, ana umri gani na anamleaje atupe mrejesho
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Ukipata mtoto utakuja kujua kama bakora zinasaidia au hazisaidiiMimi sina mtoto.
Usimnyime mtoto bakora, Maandiko Matakatifu yameagiza hivyo.Habari zenu wanajamvi,
Binafsi nimekuwa nikiwaona wazazi wengi wakiwachapa bakora watoto wao kama njia ya kuwatia nidhamu na nimekuwa nikisikitishwa sana na hii tabia kwani binafsi siamini kama bakora zinamjenga mtoto kinidhamu.
Badala ya kutumia bakora kumtia mtoto nidhamu jiulize kwanza je huyu mtoto anao uwezo wa kuwaza na kuwazua ikiwa anao basi mweleze kwa maneno ya kumjenga, usimpige bakora wala na kitu chochote.
Na kama hana uwezo wa kuwaza na kuwazua basi mwekee vizuizi vitakavyomfanya asiweze kuharibikiwa.
Je wewe una mtazamo gani juu ya bakora?
Usitufokee.Habari zenu wanajamvi,
Binafsi nimekuwa nikiwaona wazazi wengi wakiwachapa bakora watoto wao kama njia ya kuwatia nidhamu na nimekuwa nikisikitishwa sana na hii tabia kwani binafsi siamini kama bakora zinamjenga mtoto kinidhamu.
Badala ya kutumia bakora kumtia mtoto nidhamu jiulize kwanza je huyu mtoto anao uwezo wa kuwaza na kuwazua ikiwa anao basi mweleze kwa maneno ya kumjenga, usimpige bakora wala na kitu chochote.
Na kama hana uwezo wa kuwaza na kuwazua basi mwekee vizuizi vitakavyomfanya asiweze kuharibikiwa.
Je wewe una mtazamo gani juu ya bakora?
Sijafoka, nimeandika tu.Usitufokee.
Kila mmoja ana namna yake ya kumrekebisha tabia mtoto wake.