Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 23,905
- 70,844
Nakumbuka wakati nasoma ,Kuna wanafunzi walikua Wana Uwezo wa kawaida , wengine kupuuza tu mambo Kwa kiburi n.k, Walimu walisimama kidete, Umepewa Kazi hujafanya Makusudi ,Bakoraa !! umepewa Kazi umekosa zaidi ya Nusu ,bakoraaa .. Mimi mwenyewe niliwah Chapwa bakora Kwa sababu ya Mwandiko mbovu !!.
Ndio, Wakati Mwingine Bakora humuogopesha Mwanafunzi ,na kumwondelea Uwezo na wengine Kugeuza Fimbo kama sababu ya Kuacha Shule.
Tukimchukulia yule Dogo wa Mtwara, yeye aliamua kuandika Barua mwenyewe Kwa Mkuu wa Shule, kwamba Bwana eeehh Mimi Kwa hiyari yangu sitaki shule tena, na anahojiwa anasema, Hata Wakimfunga Baba yangu, wao wamfunge lakini Shule siendiiiiiii siendiiii!!.
Je huyu kaacha shule sababu ya Fimbo?.
Kuna Wale Vijana walochoma Bweni kipindi fulan, nakumbuka Hayati JPM alisema, wachapweee Viboko, Wazazi wao waitwe wajenge Bweni, kama hawawez wafukuzwe shule !!.
Je wanafunzi kama Hawa , uharifu Huu ni sababu ya Uwepo wa Fimbo Shuleni?.
Ufaulu Kwa shule za Serikali kua mbaya, Je ni matokeo ya kuwepo Kwa Fimbo mashuleni ?.
Katika kanuni ya KIROHO na kimbingu, ,maandiko yasema
Mithali 13:24. Yeye asiyetumia fimbo yake humchukia mwanawe; Bali yeye ampendaye humrudi mapema.
He that spareth his rod hateth his son: but he that loveth him chasteneth him betimes.....
Hamna Uponyaji wa Akili na Tabia Kwa mtoto awaye yoyote yule hapa chini ya Jua ambaye Wazazi na jamii yake inayomzunguka itaamua kutougusa mwili wake Kwa Fimbo !!.
Leo hiii Bunge Linajadili Et na nyumbani pia kuwekwe Sheria za utoaji adhabu?.
Leo hii Bunge Linajadili Et, Tuondoe Fimbo mashuleni !?.
Kwamba Tuondoe Fimbo katika kizazi ambacho, Wazazi wamekua wahovyoo, wanazaa watoto wanaolelewa hovyo, Leo hii watoto wapo Shuleni Kwa Waalimu ambao nao ni Wazazi, huko Walimu wanahitajika kutumia Fimbo katika kurekebisha tabia fulan fulan za mtoto , Nako mnataka Fimbo zisitumike?.
Ni SHETANI pekee anayejificha nyuma ya Haki za Binadam ndiye aendaye kinyume na maelekezo ya Mwenyezi Mungu , Siku zote SHETANI yupo kinyume na Mungu, SHETANI anapambana Dunia iwe na kizazi Cha hovyooo kisicho na maadili ,kizazi kisichoogopa dhambi !!.
Badala ya Kujadili jinsi ya kulinda watoto dhidi ya Ushoga, mnajadili Fimbo?.
Filamu zinazochochea Ushoga, tamthiliya zinazochochea Ushoga, Jamii kua na lugha chafu mbele ya watoto, kiasi kwamba watoto Leo hii wanafirana Kwa Kasi ya ajabu, watoto wanakua wakiwa hawana Uanaume, badala ya Kujadili namna ya kumlinda huyu mtoto wa kiume, mnajadili kuondoka bakora ??.
ustaharabu gani huuu ?? Unaiga ustaharabu wa Magharibi?. Mataifa ambayo yamejichokea kabisa kinidhamu, Et Nawewe Muafrika, Sasa umuache mtoto wako aseme na atende apendavyo kwakua Kuna haki za Binadam?.
Kizazi Bora kinaandaliwa, Kama lengo ni kuondoka Fimbo kama sehem ya adhabu, Je ni watoto wa aina gani mnawapeleka Shuleni ili Waalimu wetu wanaoishi Kwa shida sana , wasitumie Bakora ?.
Wajibu wa Wazazi katika kurekebisha Tabia za wanao kabla hamjawapeleka shule ni upi? Ili Walimu wetu wabaki na kazi ya kufundisha tu nasio kudeal na Nidhamu ya Mwanafunzi ?.
Kama Lengo ni kuondoa Fimbo ili wafaulu, ni kweli kabisa utafiti mmefanya mkagundua mkiondoa Fimbo watoto watafulu?.
Serikali na Bunge .....
Kwa Ajili ya Taaluma ...
1- Ufaulu ni matokeo ya Uwezo mzuri wa akili , Nchi Ina njaaa hii watoto hawali , amekula saa 10 jion, keshoa ende shule, Sukari imemshuka mwilin, ataelewa??.. HAKIKISHENI MTANZANIA ANAKULA MILO MITATU, HAKIKISHENI WATOTO WANAKULA ILI KUUJENGA UBONGO!!.
2.. Wekezeni Kwa dhati kwenye Elimu .
Mtoto ambaye tayari amekula, ubongo umetulia, anahitaji Mwalimu Bora wa Hesabu, anahitaji Mwalimu Bora wa kingereza ... Unataka Mwanafunzi afaulu hesabu alafu Mwalimu mwenyewe sio mjuzi wa Hesabu niile tu ni Mwalimu kwamba anaweza fundisha lolote Somo???
3-Toeni Motisha Kwa Walimu, Sisi Walimu tuna msemo wetu tunasema "uzuri mwisho wa mwezi mshahara unaingia" .....Hawa Walimu wanahitaji Motisha, mbona Afya tunakula hela mpaka unasema iiihhii Serikali Ina Hela ya kuchezeaa, kwann Walimu msiwakumbuke Kwa Motisha, msiwafanye wakajihisi kunipenda kazi .... Hivi mnajua, Mwalimu wa Tanzania ndio kiumbe mwenye stress za Maisha kuliko hata Mama Ntilie??. Mwalimu anastress za Maisha, anaingia kazin anakutana na Juma macho makubwa haadiki notice Kwa mwezi mzima, mnataka afanyeje ??? Mbona mahela mengi mnayapiga Kwa ufisadi Kila kukicha ?.
4-Wapeni Waalimu Uhuru wa Utumiaji Bakora Ndani ya Darasa kama sehem ya kufundishiaa , Mwalim anafundisha Kuna mtoto anapiga kelele chapa Fimbo , katoa H/Work hujafanya, chapa fimbooo !!.
na Mwalimu atapima Saikolojia ya mtoto Mmoja dhidi ya mwingine IKIWA huyu anaweza elewa Kwa Fimbo, au huyu anahitaji kuelewa Kwa ushauri .... TUSIMUONDOLEE MWALIMU UHURU WA KUTUMIA FIMBO !!.
5-Tuwaboreshee mazingira ya utendaji kazi Hawa Walimu wetu, Madarasa , maabara, michezo pia tuguse.
KWA AJILI YA NIDHAMU
1-Wazazi waache ujinga, Wazazi waache kusukumia nafasi zao Kwa watu wengine, Wazazi ndio Walimu wakwanza wa watoto, Wazazi wawajibike, na WAWACHAPE WATOTO WAO FIMBO, FIMBO HAIUI, CHAPENI WATOTO, MSIWALEE KIMAANDAZI MAANDAZI .
2-WALIMU WASIONDOLEWE NAFASI YAO YA UTUMIAJI WA FIMBO KUREKEBISHA TABIA ., ACHENI WATOTO WACHAPWE MAKALION ILA UWEKWE UTARATIBU MZURI TU NA WALIMU WAUFATE.
3-VIONGOZI WA DINII, MMELALA SANAA,. VIONGOZI WA DINI WAMELALA, NA KUSHUKA KWA NIDHAM ZA WATOTO KWA UJUMLA ,KWA NAMNA MOJA NI MATOKEO YA DINI ZETU KUJIKITA KWENYE MAFUTA YA UPAKO , CHUMVI, UTAJIRI, FEDHA, MAGARI, WANASAHAU KUNA KIZAZI KINACHOHITANI MALEZI, VIONGOZI WA DINI WANAKULA MUDA WA WAZAZI MPAKA WAZAZI WANASHINDWA TIMIZA WAJIBU WAO HOME, HAO HAO VIONGOZI WA DINI , HUWEZ KUTA WANAFUNDISHA JUU YA MALEZI YA WATOTO, KUWAFUNZA WATOTO N.K!!.
4-MTOTO WA MWENZIO NI WA KWAKO, JAMII USIMPUUZE KUMREKEBISHA MTOTO WA MWENZIO.
5-TUMTANGULIZE MUNGU MBELE , KWA SASA PAMBANO KUU NI BAINA YA SHETANI BABA WA MAOVU ,DHIDI YA UUNGU UTAKATIFU... TUMTANGULIZE MUNGU MBEKE., TUOMBEE WATOTO WETU!!.
Ndio, Wakati Mwingine Bakora humuogopesha Mwanafunzi ,na kumwondelea Uwezo na wengine Kugeuza Fimbo kama sababu ya Kuacha Shule.
Tukimchukulia yule Dogo wa Mtwara, yeye aliamua kuandika Barua mwenyewe Kwa Mkuu wa Shule, kwamba Bwana eeehh Mimi Kwa hiyari yangu sitaki shule tena, na anahojiwa anasema, Hata Wakimfunga Baba yangu, wao wamfunge lakini Shule siendiiiiiii siendiiii!!.
Je huyu kaacha shule sababu ya Fimbo?.
Kuna Wale Vijana walochoma Bweni kipindi fulan, nakumbuka Hayati JPM alisema, wachapweee Viboko, Wazazi wao waitwe wajenge Bweni, kama hawawez wafukuzwe shule !!.
Je wanafunzi kama Hawa , uharifu Huu ni sababu ya Uwepo wa Fimbo Shuleni?.
Ufaulu Kwa shule za Serikali kua mbaya, Je ni matokeo ya kuwepo Kwa Fimbo mashuleni ?.
Katika kanuni ya KIROHO na kimbingu, ,maandiko yasema
Mithali 13:24. Yeye asiyetumia fimbo yake humchukia mwanawe; Bali yeye ampendaye humrudi mapema.
He that spareth his rod hateth his son: but he that loveth him chasteneth him betimes.....
Hamna Uponyaji wa Akili na Tabia Kwa mtoto awaye yoyote yule hapa chini ya Jua ambaye Wazazi na jamii yake inayomzunguka itaamua kutougusa mwili wake Kwa Fimbo !!.
Leo hiii Bunge Linajadili Et na nyumbani pia kuwekwe Sheria za utoaji adhabu?.
Leo hii Bunge Linajadili Et, Tuondoe Fimbo mashuleni !?.
Kwamba Tuondoe Fimbo katika kizazi ambacho, Wazazi wamekua wahovyoo, wanazaa watoto wanaolelewa hovyo, Leo hii watoto wapo Shuleni Kwa Waalimu ambao nao ni Wazazi, huko Walimu wanahitajika kutumia Fimbo katika kurekebisha tabia fulan fulan za mtoto , Nako mnataka Fimbo zisitumike?.
Ni SHETANI pekee anayejificha nyuma ya Haki za Binadam ndiye aendaye kinyume na maelekezo ya Mwenyezi Mungu , Siku zote SHETANI yupo kinyume na Mungu, SHETANI anapambana Dunia iwe na kizazi Cha hovyooo kisicho na maadili ,kizazi kisichoogopa dhambi !!.
Badala ya Kujadili jinsi ya kulinda watoto dhidi ya Ushoga, mnajadili Fimbo?.
Filamu zinazochochea Ushoga, tamthiliya zinazochochea Ushoga, Jamii kua na lugha chafu mbele ya watoto, kiasi kwamba watoto Leo hii wanafirana Kwa Kasi ya ajabu, watoto wanakua wakiwa hawana Uanaume, badala ya Kujadili namna ya kumlinda huyu mtoto wa kiume, mnajadili kuondoka bakora ??.
ustaharabu gani huuu ?? Unaiga ustaharabu wa Magharibi?. Mataifa ambayo yamejichokea kabisa kinidhamu, Et Nawewe Muafrika, Sasa umuache mtoto wako aseme na atende apendavyo kwakua Kuna haki za Binadam?.
Kizazi Bora kinaandaliwa, Kama lengo ni kuondoka Fimbo kama sehem ya adhabu, Je ni watoto wa aina gani mnawapeleka Shuleni ili Waalimu wetu wanaoishi Kwa shida sana , wasitumie Bakora ?.
Wajibu wa Wazazi katika kurekebisha Tabia za wanao kabla hamjawapeleka shule ni upi? Ili Walimu wetu wabaki na kazi ya kufundisha tu nasio kudeal na Nidhamu ya Mwanafunzi ?.
Kama Lengo ni kuondoa Fimbo ili wafaulu, ni kweli kabisa utafiti mmefanya mkagundua mkiondoa Fimbo watoto watafulu?.
Serikali na Bunge .....
Kwa Ajili ya Taaluma ...
1- Ufaulu ni matokeo ya Uwezo mzuri wa akili , Nchi Ina njaaa hii watoto hawali , amekula saa 10 jion, keshoa ende shule, Sukari imemshuka mwilin, ataelewa??.. HAKIKISHENI MTANZANIA ANAKULA MILO MITATU, HAKIKISHENI WATOTO WANAKULA ILI KUUJENGA UBONGO!!.
2.. Wekezeni Kwa dhati kwenye Elimu .
Mtoto ambaye tayari amekula, ubongo umetulia, anahitaji Mwalimu Bora wa Hesabu, anahitaji Mwalimu Bora wa kingereza ... Unataka Mwanafunzi afaulu hesabu alafu Mwalimu mwenyewe sio mjuzi wa Hesabu niile tu ni Mwalimu kwamba anaweza fundisha lolote Somo???
3-Toeni Motisha Kwa Walimu, Sisi Walimu tuna msemo wetu tunasema "uzuri mwisho wa mwezi mshahara unaingia" .....Hawa Walimu wanahitaji Motisha, mbona Afya tunakula hela mpaka unasema iiihhii Serikali Ina Hela ya kuchezeaa, kwann Walimu msiwakumbuke Kwa Motisha, msiwafanye wakajihisi kunipenda kazi .... Hivi mnajua, Mwalimu wa Tanzania ndio kiumbe mwenye stress za Maisha kuliko hata Mama Ntilie??. Mwalimu anastress za Maisha, anaingia kazin anakutana na Juma macho makubwa haadiki notice Kwa mwezi mzima, mnataka afanyeje ??? Mbona mahela mengi mnayapiga Kwa ufisadi Kila kukicha ?.
4-Wapeni Waalimu Uhuru wa Utumiaji Bakora Ndani ya Darasa kama sehem ya kufundishiaa , Mwalim anafundisha Kuna mtoto anapiga kelele chapa Fimbo , katoa H/Work hujafanya, chapa fimbooo !!.
na Mwalimu atapima Saikolojia ya mtoto Mmoja dhidi ya mwingine IKIWA huyu anaweza elewa Kwa Fimbo, au huyu anahitaji kuelewa Kwa ushauri .... TUSIMUONDOLEE MWALIMU UHURU WA KUTUMIA FIMBO !!.
5-Tuwaboreshee mazingira ya utendaji kazi Hawa Walimu wetu, Madarasa , maabara, michezo pia tuguse.
KWA AJILI YA NIDHAMU
1-Wazazi waache ujinga, Wazazi waache kusukumia nafasi zao Kwa watu wengine, Wazazi ndio Walimu wakwanza wa watoto, Wazazi wawajibike, na WAWACHAPE WATOTO WAO FIMBO, FIMBO HAIUI, CHAPENI WATOTO, MSIWALEE KIMAANDAZI MAANDAZI .
2-WALIMU WASIONDOLEWE NAFASI YAO YA UTUMIAJI WA FIMBO KUREKEBISHA TABIA ., ACHENI WATOTO WACHAPWE MAKALION ILA UWEKWE UTARATIBU MZURI TU NA WALIMU WAUFATE.
3-VIONGOZI WA DINII, MMELALA SANAA,. VIONGOZI WA DINI WAMELALA, NA KUSHUKA KWA NIDHAM ZA WATOTO KWA UJUMLA ,KWA NAMNA MOJA NI MATOKEO YA DINI ZETU KUJIKITA KWENYE MAFUTA YA UPAKO , CHUMVI, UTAJIRI, FEDHA, MAGARI, WANASAHAU KUNA KIZAZI KINACHOHITANI MALEZI, VIONGOZI WA DINI WANAKULA MUDA WA WAZAZI MPAKA WAZAZI WANASHINDWA TIMIZA WAJIBU WAO HOME, HAO HAO VIONGOZI WA DINI , HUWEZ KUTA WANAFUNDISHA JUU YA MALEZI YA WATOTO, KUWAFUNZA WATOTO N.K!!.
4-MTOTO WA MWENZIO NI WA KWAKO, JAMII USIMPUUZE KUMREKEBISHA MTOTO WA MWENZIO.
5-TUMTANGULIZE MUNGU MBELE , KWA SASA PAMBANO KUU NI BAINA YA SHETANI BABA WA MAOVU ,DHIDI YA UUNGU UTAKATIFU... TUMTANGULIZE MUNGU MBEKE., TUOMBEE WATOTO WETU!!.