Mtazamo wako tuHabari zenu wanajamvi,
Binafsi nimekuwa nikiwaona wazazi wengi wakiwachapa bakora watoto wao kama njia ya kuwatia nidhamu na nimekuwa nikisikitishwa sana na hii tabia kwani binafsi siamini kama bakora zinamjenga mtoto kinidhamu.
Badala ya kutumia bakora kumtia mtoto nidhamu jiulize kwanza je huyu mtoto anao uwezo wa kuwaza na kuwazua ikiwa anao basi mweleze kwa maneno ya kumjenga, usimpige bakora wala na kitu chochote.
Na kama hana uwezo wa kuwaza na kuwazua basi mwekee vizuizi vitakavyomfanya asiweze kuharibikiwa.
Je wewe una mtazamo gani juu ya bakora?
Na ukijaribu kufuatilia watoto ambao wanakulia kwa bibi mara nyingi huwa wanakuwa wazembe Kwasababu bakora zinakuwa haziwatembeleiBakora zinawajenga watoto maana hata kama mtoto alikuwa hataki kufanya Jambo Fulani la kumjenga ila akikumbuka fimbo lazima afanye.
Mfano. Una mtoto nyumbani ni mchafu sana hataki kuoga , umejaribu kumuelimisha bado hataki, ila pale unapoanza kutumia bakora mtoto lazima atayatafuta Maji yako wapi mwisho wa siku anazoea.
KWA mazingira haya fimbo zinakuwa zimemsaidia sana na zimemjenga
Tatizo wazazi wengi hawaangalii tatizo linaanzia wapi wao wanakimbilia kulitatua tu kwa kucharaza bakora watoto wao. Katika ulimwengu waetu wa sasa hivi wazazi wanahitaji kuwa karibu sana na watoto wao ili waweze kuwaongoza vizuri lakinimwengi wao hawana mda kabisa na watoto wao halafu watoto wao wakikosea wao wanakimbilia kuwacharaza bakora.Kati ya kitu wazazi walikosea ni kuto wachapa watoto wao
Watoto wa sikuhizi wana majibu mabaya sababu ya malezi mabaya
Inawezekana ndio ningekuwa hapa. Bakora sio lazima zimbadilishe mtu kitabia kuna mitoto nimekua nayo licha ya kucharazwa bakora ila bado hazijawaweka kwenye mstari.Wewe bila bakora ungekuwa hapo?
Bakora zinawaharibu watoto kisaikolojia wengine wanakua wakiwa na chuki dhidi ya wale waliokuwa wanawatesa na wengine wanakuwa wakorofi kupita kiasi.Wife alikuwa a koto a kisago kwa watoto na matusi juu, matokeo yake watoto wote sasa hivi wanamchukia kabisa . bakora zinajenga chuki badala ya friendship.
Na ndio maana ht wazungu watoto wao wanz nidhamu ssns kuliko wetu,hizi habari za kuchapa watoto zipo afrika tu sjui tutaendelea lini na m_bara wetu wa kijinga
nini chanzo cha vitabu vya dini??..No wonder watoto wa siku hizi matatizo matupu kama wazazi mko hivi.
Hata vitabu vya dini vinaruhusu bakora kwa watoto.
Kiasi, kila kitu kifanywe kwa kiasi. Ukisema usimwazibu kabisa mtoto Ni sawa na kucheka na nyani shambaniHabari zenu wanajamvi,
Binafsi nimekuwa nikiwaona wazazi wengi wakiwachapa bakora watoto wao kama njia ya kuwatia nidhamu na nimekuwa nikisikitishwa sana na hii tabia kwani binafsi siamini kama bakora zinamjenga mtoto kinidhamu.
Badala ya kutumia bakora kumtia mtoto nidhamu jiulize kwanza je huyu mtoto anao uwezo wa kuwaza na kuwazua ikiwa anao basi mweleze kwa maneno ya kumjenga, usimpige bakora wala na kitu chochote.
Na kama hana uwezo wa kuwaza na kuwazua basi mwekee vizuizi vitakavyomfanya asiweze kuharibikiwa.
Je wewe una mtazamo gani juu ya bakora?
Fafanua kidogo brother.Kiasi, kila kitu kifanywe kwa kiasi. Ukisema usimwazibu kabisa mtoto Ni sawa na kucheka na nyani shambani
Children have never been good at listening to their elders but they will never fail to imitate them.Fafanua kidogo brother.
Watoto hufanya mambo kwa kuiga tu, uwa hawasikilizi wanachoambiwa. So ikiwa utatimia mdomo kila muda bila vitendo hyo Ni sawa na imani bila matendoFafanua kidogo brother.