Bakora hazimjengi mtoto kinidhamu

Bakora hazimjengi mtoto kinidhamu

No wonder watoto wa siku hizi matatizo matupu kama wazazi mko hivi.
Hata vitabu vya dini vinaruhusu bakora kwa watoto.
Kama unategemea bakora kumjenga mtoto kitabia basi unakosea kwa sababu bakora ni kama short-term measure tu ya kumuadabisha lakini kumbuka huyo mtoto atakuwa mkubwa huko baadae nani atamchapa akikosea?
 
wazazi wengi tunakosea kiboko kiwepo kiasi si unampiga mtoto kama mnyapara ,.. kama mtoto umemwambia ukifanya hivi nakuchapa fimbo tano mchape hizo hizo usiongeze na wala usipunguze na pia usimbembeleze hapo hapo ... hakikisha anajua amekosea wapi kabla ya kumpa adhabu na usiongeee kwa kufoka ongea kwa ukali kiasi huku ukimaanisha na mpe adhabu stahiki.. usimnyime mtoto kula au kitu akipendacho ukifanya hivyo atakuviza aaanze tabia nyingine mbaya zaidi kama ya udokozi
 
Ukimnyima kitu au hela atapewa na jirani au na mtu njiani, mwisho wa siku mtoto wako atakua shoga au atakuletea mimba nyumbani, uko tayari???
Mbona wapo wanaochapwa sana na bado wanaishiwa kupewa mimba za utotoni na tabia nyinginezo tu za ajabu.
 
wazazi wengi tunakosea kiboko kiwepo kiasi si unampiga mtoto kama mnyapara ,.. kama mtoto umemwambia ukifanya hivi nakuchapa fimbo tano mchape hizo hizo usiongeze na wala usipunguze na pia usimbembeleze hapo hapo ... hakikisha anajua amekosea wapi kabla ya kumpa adhabu na usiongeee kwa kufoka ongea kwa ukali kiasi huku ukimaanisha na mpe adhabu stahiki.. usimnyime mtoto kula au kitu akipendacho ukifanya hivyo atakuviza aaanze tabia nyingine mbaya zaidi kama ya udokozi
Kumnyima inategemea unamnyima kitu gani lakini sio umnyime kila kitu akipendacho.

Mimi nasemea kumwekea vizuizi kwa mfano unaweza ukawa unamwekea parental guidance kwenye vitu kama TV au computer.
 
Kumnyima inategemea unamnyima kitu gani lakini sio umnyime kila kitu akipendacho.

Mimi nasemea kumwekea vizuizi kwa mfano unaweza ukawa unamwekea parental guidance kwenye vitu kama TV au computer.
hapo muhimu lazima mzazi ujue mwanao anafanya nini kwenye tv na computer
 
anyway sikuungi mkono hata kidogo ndugu.unataka kutuharibia watoto?
 
bakora nyingine hazisaidii coz wazazi hawajui principles za adhabu.wao wanajipigia tu
 
Mtoa mada angalia busara zako ztakukosesha malezi bora..!!!

M nnavojua jua nidham Na tabia ya mtoto hujengwa mtoto anapokuwa Na umri Usiozd miaka mitano hadi sita( mlio soma psychology hamta nipinga)..

Kimsing huu ndio umr ambao mtoto anakuwa Na hurka ya kujarb kfanya kla kinacho wezekana maana ndio umri anaojifunza mazngira kw kias kikubwa..

Hivyo katka umri huu sidhan Kama mtoto anakiwa Na utambz Na upeo mkbwa wa kurekebishwa pind anapokosea kwa ktumia maneno Tu Kama unavodai mtoa mada..!!!

Unatakiwa kumkanya Na kumuonya kwa njia itakayo mtia uoga Ili asrudie.....HIYO UNAYOSEMA UTAITUMIA BAADA YA KUSHINDA KUMNYOOSHA KATKA UMRI NILIO UTAJA HAPO JUU..!!
 
ukiona bakora hazijajenga ujue mzazi kuna sehemu ulikosea mapema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom