Maziku-Winston Smith
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 297
- 172
- Thread starter
- #21
Kama unategemea bakora kumjenga mtoto kitabia basi unakosea kwa sababu bakora ni kama short-term measure tu ya kumuadabisha lakini kumbuka huyo mtoto atakuwa mkubwa huko baadae nani atamchapa akikosea?No wonder watoto wa siku hizi matatizo matupu kama wazazi mko hivi.
Hata vitabu vya dini vinaruhusu bakora kwa watoto.