Baki njia kuu, epuka Michepuko!

Baki njia kuu, epuka Michepuko!

............Nakubali kuwa haujitoshelezi kwa kuwa wengine pia huko njia kuu magari yao hayaruhusiwi kupita kwa kuwa pengine yana hitilafu so wanaogopa trafiki. Wengine wana miaka hawaruhusiwi hata kuegesha magari njia kuu............... bado mwaambiwa mbaki njia kuu.........................

Hii ni hatari hasa kwa upande wa geji ya mafuta maana gari laweza kuzimika zimika njiani likiwekwa sana kwenye foleni
 
Hii ni hatari hasa kwa upande wa geji ya mafuta maana gari laweza kuzimika zimika njiani likiwekwa sana kwenye foleni
Hahah ndo mzitengeneze hizo geji na kuhakikisha mna full tanks kila saa bana...........Baki njia kuu nitonye inalipa
 
Last edited by a moderator:
Hahahah si ndo apo chacha. uchochoro ndo mpango mzima. Hufupisha safari.

Uchochoro mwingine umejaa vibaka wanatandaza misumali chini wanatoboa matairi kutahamaki pancha hiyo
 
Back
Top Bottom