Michepuko ya nin mkuu?
ngoma inatisha! ni tishio katika familia zetu hasa za kimaskini!
Heaven on Earth nimekupoteza mda kweli waalllahi tena
hekimatelembonaa umepotea sana jamaniHeaven on Earth nimekupoteza mda kweli waalllahi tena
upo? fanya hima tutiane walau machoni kwa dakika hata 5 mi nipo Posta hapa bhana.
Sawa eeeeh?
mambo ya kanisa yalinikamata bhana.
Mwanzo wa mwaka siye twaanzaga na Bwana.
Kwa hiyo leo uko kitaa gani sasa jamani?
Nimekumiss yani nilitaka walau kwa lunch nikuone tuleeee weeeee mpaka kuku waone wivu
Njoo basi Posta bhana hata kama huna ishu we njoo tu
hahaa halafu wewe kijana usinitamanishe kutoka lol
wakati leo nilipanga nisitoke kabisaaa na hiki kimvua hiki........
kitaani kwangu si unakupata njoo wewe mie utanikuta
mi nadhani we leo huna hamu na lunch.
Basi bhana we endelea kukaa ndani na mvua
Ila hata madereva (hasa wa dar) inatuhusu......
foleni nyingi zinasababishwa na michepuko......... ni kama tu misongamano inavyosababushwa na michepuko
magari magari mdogo wangu..... wewe jibakie tu njia kuumagari magari au magari gani dada FP... nilitaka kuchepuka nikaona huu ujumbe ikabidi nibaki tu njia kuu
nimeyasikia maneno yako ntabaki njia kuu. i promise no michepukomagari magari mdogo wangu..... wewe jibakie tu njia kuu
na wewe hujanimis ila ungekuwa umenimis ungenitafuta in any way