sister
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 9,014
- 6,852
eeh ndio kwani wewe unawazanini?
Nilikuwa nawaza hvyo ila hii thread inaelezea ule ujumbe ni maswala ya ukimwi....na wala siyo swala la watu kutanua na magari yao pembeni..
eeh ndio kwani wewe unawazanini?
Nilikuwa nawaza hvyo ila hii thread inaelezea ule ujumbe ni maswala ya ukimwi....na wala siyo swala la watu kutanua na magari yao pembeni..
unaruhusiwa nani karuhusu..........punguza mwendo kwenye hiyo hiyo njia kuu
Hee haaya..hamna ni barabara huko kuchepuka utakutana na mifereji ina matope utanasa baki njia kuu unateleza tu
Mpwa kwani huo ujumbe ulikuwa una pepea?
Khaa! Kumbe wale wanaokula koni na kunyonya mbunye yale mate ya uchumvi uchumvi huyameza?
Au hata usipomeza unaweza kupata hiyo kensa?
Sasa kwanini uteme?
vinatemwa vichungu...
Khaa! Best mwenzio roho hainipi kumesa yale makitu asee!
Mmh wajishaua tu best angu uliwezaje kuyala sasa???
Sasa kwanini uteme?
vinatemwa vichungu...