Bakhresa group punguzeni udini

Status
Not open for further replies.
Wewe si ufate wanakouza hayo madude mradi wanafanya biashara halali usiwapangie mtaji ujawatafutia wewe pambana na hali yako.
UDINI UDINI!
Walikuwa wanaziuza mwanzoni waislam wakalalamika eti. Hao waislam kwani walishindwa nini kuja kununua vitu vingine wakaachana na hizo sosej tule sisi?
Waweke bango basi kwamba hapa ni wateja waislam tu tujue moja
 
Kama haya malalamiko ni ya kweli hatari sana lakini ukiachilia Mbali Bakhresa Sekta binafsi kuna shida ya ukabila na Udini. Uwezi ukakuta kampuni ya mchaga wamejaa wazaramo hata siku moja. Msumeno ukate Huku na Huku
Mbona Mzee Mengi kajaza watu wengi wa kusini pale ipp media mkuu,in fact hata wahindi walikuwa wengi sana pale.
 
Hata kama nina udini au ukabila siwezi kuwa wazi kwa namna hii unayofikiri mkuu.
 
Huna haja yakuumiza kichwa kwakuwa ni kampuni binafsi..pambana nawewe ufungue kampuni yako uajiri wenye imani sawa na yako,ila naomba kujua kutoka kwako,ulipoenda kuomba kazi walikwambia hatukupikazi sababu wewe ni mkristo?au walikuuliza dini yako?pia hujaweka wazi ujuzi wako huenda huja qulify
 
Uko sahihi kaka,lakini unakumbuka nssf ? Kulikuwa na tuhuma kwa dau kaajili waislamu wengi ? Kwa sababu gani ? Kwa sababu ilionekana idadi ya waislamu walikuwa wakiikaribia idadi ya wakristo,wakaunda tume kuchunguza lakini mpaka leo hawajatoa majibu.dau akatukanwa akaitwa kila jina la kifisadi lakini mpaka leo hakuna ushahidi kwamba dau alikuwa fisadi.
Udini ni kitu kibaya sana kwa sababu kinaigawa jamii vibaya sana na kuigawa vipande vipande,na tatizo kubwa liko kwa wenzetu wa upande wa pili,si jambo zuri hata kidogo na hakuna suluisho kwa sababu imani ya dini imekuwa kama ushabiki wa mpira,siku zote simba anataka achukue ubingwa yeye na anamuombea mwenzake yanga aharibikiwe na kushuka hata daraja,mambo ya dini sasa yamefikia hapo.
 
Ni sawa wameachwa nyuma lakini kwanini asilimia kubwa wenye mpunga ni Waislamu?
Sababu wislam asili yao ni biashara.Biashara ndio huleta kipato zaid. Hata Mtume( S.A.W) alikuwa akifanya biashara
 
Mkuu kwa nafasi yako! Kama itakupendeza naomba utiririke hilo la Mzungu kuitwa kafiri! Kirohi safi tu ! Si unajua wengine tuko nyuma ya ukuta hatujui yanyoendelea chumbani!

Ikikupendeza lakin!
Ahsante!
Siri ya mtungi aijuye....!

Yule mzungu aliitwa kafiri na waulize hao uliowataja hapo juu kuhusu hizo tuhuma ni kweli au la!
 
Nawaza tu ! huu ubaguzi nadhan hata siku mtu akipata uongoz atajaza watu wa dini yake au kabila lake! Kama kule nchi jirani!
 
Hata Mie shambani kwangu kuna wanyiramba kibao na mnyaturu mmoja tu. Bakhresa mwache ajiri kwani wakati anatafuta hela tulikuwepo?

Tatizo la watanzania ukishaanza kufanikiwa basi Maneno mengi ohh mdini, mkabila yote haya ni maneno ya mkosaji na chuki. Private sector ina mipango yake, serikalini wamejaa Wakristo tele Lakini waislam wanamezea. Basi na hili mezea tu Kama waislam wanavyomezea serikalini, IPP na sehemu zingine.
 
KUMBE INAUMA EEEEH ? NECTA WALIWABEBA SNA ENZI HIZO AND NOWADAYS KIBAO KIMEGEUKA
 
Kama haya malalamiko ni ya kweli hatari sana lakini ukiachilia Mbali Bakhresa Sekta binafsi kuna shida ya ukabila na Udini. Uwezi ukakuta kampuni ya mchaga wamejaa wazaramo hata siku moja. Msumeno ukate Huku na Huku
Umesema kweli dada. Nadhani kama ni kweli anachosema basi hata akina Mengi pia wameajiri kina John, Grace wengi na kina shirima, masawe kuliko kina Haruna na Kina Farida
 
Karibu $96 ya wafanyakazi wa Bakhresa group ni Islamic.
Na IPP media umepata wakristo ni asilimia ngapi maana msitake kuangalia upande mmoja tu kama mnachokisema ni cha dhati na si cha unafiki tu wa uchonganishi
 
Hili mleta mada anaona ni halali wkt kwa mujibu wa current statistics, wakristo na waislamu wanapishana kidogo sana hapa Tanzania
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…