mdetichia
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 5,292
- 2,172
Weka ushahidi wa ukwepaji kodi isije ikawa ni lako jambo! Mtu kuwa na biashara nyingi si kiashirizi za kukwepa kodi..
Mleta mada hebu tupe orodha ya hilo kundi LA walipa kodi wakubwa. Kama huna hiyo orodha basi haya yatakua majungu
Mnachoshangaa hapa ni nini wadau hii nchi unadhani hao wangekuwa nalipa kodi stahiki nani kakwambia Tanzania ni masikini subirini vipimo time will tell nawaambia watu watashikwa na butwaa la mwaka kwa haya makitu yatakayochimbuliwa humo tuombeane uzima mtaulizana tu hata huyu:what: