Bakhresa anakwepa kodi?

Bakhresa anakwepa kodi?

Baada ya kuandika kathread kahivi najua sasa ushaagiza juice ya azam kwa raha zako,
 
Jibu,
Yanayolipa kodi ni Makampuni yake, sio yeye Bakhresa personally.

(Refer LEGAL BUSINESS ENTITY theory in FINANCE or ECONOMICS)
sasa mtoa mada kamaliza la saba hayo mambo atayajua kweli mkuu?
 
mtaji wa biashara yake naskia et alipewa na rais mstaaf mzee ruksa mwinyi enzi zilee, so mwinyi nae ana hisa zake pale,,sijui kama watamgusa,
ila kinyume na hapo labda jamaa hayupo kwenye orodha hiyo labda analipa kodi stahiki ndo maana humuoni kwenye orodha ya wakwepa kodi

Dogo, achana na habari za kusikia,Bakhressa kaanza biashara tangu enzi za Mwalimu Mimi nakumbuka alikuwa na Hoteli yake pale kariakoo Gerezani ilikuwa inaitwa Nawaz kama nitakua sijakosea jina,walikua wanajiita mabingwa wa kupika pilau na biriani na miongoni mwa watu waliokuwa wakifanya kazi ni wachezaji wa Simba Sports Club, Idd Pazi mmoja wapo ambapo alikua kama meneja,enzi hizo tulikua tukienda kupiga misosi kila ijumaa tukitoka shule na sisi tukahadithie watoto wenzetu kwani ilikua ni ujanja kuonekana umekula pale au ukienda kununua ice cream ya Cone pale Livingstone,So kusema Bakhressa kapewa mtaji na Mwinyi itakua kama uongo vile kwani hii habari ninayokuambia ni miaka ya mwanzoni ya 1980,Ulikuwa wapi enzi hizo? natumaini ilikuwa bado kabisa.
 
zile pesa za escrow zirudi serikalini .kwani huwezi kuchukua mabililioni bure Na kodi zisilipwe taifa hujalitendea haki
 
Weka ushaidi wa hayo maneno yako badala ya kupambana na makampuni ya madini hayalipi kodi wewe unapambana na Bakhresa bila data zozote zaidi ya chuki zako tu.

Mitanzania bana.

Tunanyooshana humu ndan kwanza, wa madini watasanda tukishanyooshana,
Mitanzania bhana
 
Serikali ni waonevu,kwa mwaka nakatwa kodi ya PAYE karibia mil 6,Hivi pale k/koo kitumbini mliman city mall Kuna mfanyabiashara anayelipa kodi zaidi yangu? Ningependekeza Magufuli aweke utaratibu wa kulipa kodi kutokana na mtaji na si Faida,Kama mfanyabiashara naingiza mzigo wa mil100 alimwe kodi kulingana na capital aliyeiinvest Kama sie wafanyakazi tunakatwa kodi kwenye gross na si kwenye net baada ya kutoa kila matumizi,mfano kodi ya nyumba ,hela ya afya ,mafuta ya Gari,bodi ya mikopo ,deni la bank etc.

Hiyo ni principle ya wapi, kukata capital inamaana hata wewe kodi yako ihesabiwe kuanzia ada ulizolipa toka nursery na matumizi mengine yaliyokuwezesha kufikia hapo!
Acha watu wakatwe faida tu hiyo ndio principle ya kodi, lengo sio kukomoana Bali kuchangia ktk maendeleo ya umma!
 
Kama hawalipi kodi nani analipa kodi ? wewe unalipa ngapi ?
Kulipa kodi sawa lakini kama ukomoe watu kwa kodi za TRA za kubambikiza kuna athari katika uzalishaji na bei ya bidhaa zitapanda na watu hawatakua na uwezo wa kununua hatimae viwanda vitakufa na kazi nazo zitakwenda arijojo.

kila mtu ana andika pumba zake humu kwa chuki za kijinga . serikali haina njia ya mapato zaidi ya kodi za wafanya biashara.Na cha kustajaabisha ni kuwa hizi choko choko zinaelekezwa kwa makampuni ya ndani ambayo yanalipa hio kodi ambayo serikali inajidai nayo. HAKUNA HATA MMOJA AMBAYE ANO ONGELEA SUALA MADINI NA KODI ZAKE.HAWA HAWALIPI kodi na wanasafirisha madini bila ya kufanyiwa audit. miaka 20 sasa na nchi haijafaidika chochote na secta ya madini.

kufukuza watu makini kama kina Rished Babde wa TRA kwa sababu za hisia wakati TRA imekusanya 97% ya malengo yake mpaka sasa hivi ni kukurupuka.
hayo makontena 300 yallopotea ni katika ripoti ya uchunguzi ya Barde na tayari alishachukua hatua za kuwafata wahusika. alishawaandikia barua ya kulipa kodi kwa macontena yao.
wengine waliyatoa kwa mashinikizo na maagizo lakini yeye kama kuchukua tahadhari aliweka rekodi na kuwaaindikia.

discpline ni muhimi katika sehemu za kazi pamoja na uadilifu lakini maamuzi ya pupa bila ya taarifa za uhakika juu ya chanzo cha haya ..sasa tuchukulie mfano yale makontena yalitoka kwa ajili ya kusaidia kampeni za ccm ? watu wataumbuana katika hili jambo.

tunahitaji sera ya uchumi , sera ya kuongeza uzalishaji na sera ya ajira. kuwabana wafanya biashara kwa makodi makubwa ndio chanzo cha kukwepa kodi ..kodi ni kubwa mno kiasi hata TRA wenyewe hawaelewi namna ya kuzitoza . Leo ukiagiza nondo basi mpaka imfikie mlaji itakua imetozwa kodi ya asilimia zaidi 60% ..TRA wanapata faida zaidi ya huyo muagiziaji na hata mwenye kiwanda huko uturuki.. biashara haziwezi kwenda namna hio....

Umetumwa na Nani jomba, mwambie kodi inahitajika hamna msalie mtume
 
Kama hawalipi kodi nani analipa kodi ? wewe unalipa ngapi ?
Kulipa kodi sawa lakini kama ukomoe watu kwa kodi za TRA za kubambikiza kuna athari katika uzalishaji na bei ya bidhaa zitapanda na watu hawatakua na uwezo wa kununua hatimae viwanda vitakufa na kazi nazo zitakwenda arijojo.

kila mtu ana andika pumba zake humu kwa chuki za kijinga . serikali haina njia ya mapato zaidi ya kodi za wafanya biashara.Na cha kustajaabisha ni kuwa hizi choko choko zinaelekezwa kwa makampuni ya ndani ambayo yanalipa hio kodi ambayo serikali inajidai nayo. HAKUNA HATA MMOJA AMBAYE ANO ONGELEA SUALA MADINI NA KODI ZAKE.HAWA HAWALIPI kodi na wanasafirisha madini bila ya kufanyiwa audit. miaka 20 sasa na nchi haijafaidika chochote na secta ya madini.

kufukuza watu makini kama kina Rished Babde wa TRA kwa sababu za hisia wakati TRA imekusanya 97% ya malengo yake mpaka sasa hivi ni kukurupuka.
hayo makontena 300 yallopotea ni katika ripoti ya uchunguzi ya Barde na tayari alishachukua hatua za kuwafata wahusika. alishawaandikia barua ya kulipa kodi kwa macontena yao.
wengine waliyatoa kwa mashinikizo na maagizo lakini yeye kama kuchukua tahadhari aliweka rekodi na kuwaaindikia.

discpline ni muhimi katika sehemu za kazi pamoja na uadilifu lakini maamuzi ya pupa bila ya taarifa za uhakika juu ya chanzo cha haya ..sasa tuchukulie mfano yale makontena yalitoka kwa ajili ya kusaidia kampeni za ccm ? watu wataumbuana katika hili jambo.

tunahitaji sera ya uchumi , sera ya kuongeza uzalishaji na sera ya ajira. kuwabana wafanya biashara kwa makodi makubwa ndio chanzo cha kukwepa kodi ..kodi ni kubwa mno kiasi hata TRA wenyewe hawaelewi namna ya kuzitoza . Leo ukiagiza nondo basi mpaka imfikie mlaji itakua imetozwa kodi ya asilimia zaidi 60% ..TRA wanapata faida zaidi ya huyo muagiziaji na hata mwenye kiwanda huko uturuki.. biashara haziwezi kwenda namna hio....

Lipa Kodi kwa Maendeleo ya Taifa Lako, acha blaahblaah!
 
Serikali ni waonevu,kwa mwaka nakatwa kodi ya PAYE karibia mil 6,Hivi pale k/koo kitumbini mliman city mall Kuna mfanyabiashara anayelipa kodi zaidi yangu? Ningependekeza Magufuli aweke utaratibu wa kulipa kodi kutokana na mtaji na si Faida,Kama mfanyabiashara naingiza mzigo wa mil100 alimwe kodi kulingana na capital aliyeiinvest Kama sie wafanyakazi tunakatwa kodi kwenye gross na si kwenye net baada ya kutoa kila matumizi,mfano kodi ya nyumba ,hela ya afya ,mafuta ya Gari,bodi ya mikopo ,deni la bank etc.

Mkuu hicho kitu hakitakuja kutokea hata siku moja,,,hizo ni faida za kufanya biashara na hasara za kuajiriwa haitokuja tokea mtu akatozwa kodi kwenye mtaji...
 
Magufuli Naomba umchunguze huyu bwana mwenye Majengo lukuki nchini, maboti ya abiria, mashamba, viwanda Vya vyakula na vinywaji kedekede, Kama analipa kodi sawa na mapato yake.
Achunguzwe mfumo wake wa uajiri Kama unafuata taratibu na sheria, pia Kama analipa P.A.Y.E Kama inavyotakiwa.
Achunguzwe kwa nini hayuko Kwenye kundi LA walipa kodi wakubwa

Kabla hujaanza na Bakhresa, jiulize kwa nini Mohammed Dewji ndio tajiri wa 20 Africa, na ndiye wa kwanza Tanzania, lakini hayupo kwenye list ya walipa kodi kubwa kama walivyo TBL
 
Jibu,
Yanayolipa kodi ni Makampuni yake, sio yeye Bakhresa personally.

(Refer LEGAL BUSINESS ENTITY theory in FINANCE or ECONOMICS)
Chonde chonde udini utatusumbua Jana. Alikuwa mkurugenzi muhimbili Leo kamishina wa kodi kesho Bakhsresa tutafika?
 
Umetumwa na Nani jomba, mwambie kodi inahitajika hamna msalie mtume

Ukweli ndo huo...ukikandamiza watu watapunguza uzalishaji na ajira..watu watafanya ku survive tu...sasa hio kodi sijui itatoka wapi.
 
Kati ya Yale makontena yaliokamatwa 133 ni ya bakharesa mpaka sasa sijua kwann ajatajwa wajati kuna kias cha hela keshaambiwa kulipa..
 
Lipa Kodi kwa Maendeleo ya Taifa Lako, acha blaahblaah!

Kodi kwani kuna mti unaota hizo kodi?
Kodi nazo zinatiwa mbolea kupatikana . Kama utakamua tu kwa jazba hazioti kama majani.....
 
Ukweli ndo huo...ukikandamiza watu watapunguza uzalishaji na ajira..watu watafanya ku survive tu...sasa hio kodi sijui itatoka wapi.

Kodi ni amri, siyo ombi,
ndo mjue capitalism,
 
Back
Top Bottom