usikute bado anaidaivserikali ilevNgano yake Mung'unye alimwaga.mchunguze kama deni tumemaliza kumlipa
Hahaha
usikute bado anaidaivserikali ilevNgano yake Mung'unye alimwaga.mchunguze kama deni tumemaliza kumlipa
sasa mtoa mada kamaliza la saba hayo mambo atayajua kweli mkuu?Jibu,
Yanayolipa kodi ni Makampuni yake, sio yeye Bakhresa personally.
(Refer LEGAL BUSINESS ENTITY theory in FINANCE or ECONOMICS)
Bakhresa inasemekana anajikadiria mwenyewe kulipa kodi
mtaji wa biashara yake naskia et alipewa na rais mstaaf mzee ruksa mwinyi enzi zilee, so mwinyi nae ana hisa zake pale,,sijui kama watamgusa,
ila kinyume na hapo labda jamaa hayupo kwenye orodha hiyo labda analipa kodi stahiki ndo maana humuoni kwenye orodha ya wakwepa kodi
Weka ushaidi wa hayo maneno yako badala ya kupambana na makampuni ya madini hayalipi kodi wewe unapambana na Bakhresa bila data zozote zaidi ya chuki zako tu.
Mitanzania bana.
Serikali ni waonevu,kwa mwaka nakatwa kodi ya PAYE karibia mil 6,Hivi pale k/koo kitumbini mliman city mall Kuna mfanyabiashara anayelipa kodi zaidi yangu? Ningependekeza Magufuli aweke utaratibu wa kulipa kodi kutokana na mtaji na si Faida,Kama mfanyabiashara naingiza mzigo wa mil100 alimwe kodi kulingana na capital aliyeiinvest Kama sie wafanyakazi tunakatwa kodi kwenye gross na si kwenye net baada ya kutoa kila matumizi,mfano kodi ya nyumba ,hela ya afya ,mafuta ya Gari,bodi ya mikopo ,deni la bank etc.
ACHA UNAFIKI,BAKHRESA NI MLIPAJI KODI MKUU
i
Kama hawalipi kodi nani analipa kodi ? wewe unalipa ngapi ?
Kulipa kodi sawa lakini kama ukomoe watu kwa kodi za TRA za kubambikiza kuna athari katika uzalishaji na bei ya bidhaa zitapanda na watu hawatakua na uwezo wa kununua hatimae viwanda vitakufa na kazi nazo zitakwenda arijojo.
kila mtu ana andika pumba zake humu kwa chuki za kijinga . serikali haina njia ya mapato zaidi ya kodi za wafanya biashara.Na cha kustajaabisha ni kuwa hizi choko choko zinaelekezwa kwa makampuni ya ndani ambayo yanalipa hio kodi ambayo serikali inajidai nayo. HAKUNA HATA MMOJA AMBAYE ANO ONGELEA SUALA MADINI NA KODI ZAKE.HAWA HAWALIPI kodi na wanasafirisha madini bila ya kufanyiwa audit. miaka 20 sasa na nchi haijafaidika chochote na secta ya madini.
kufukuza watu makini kama kina Rished Babde wa TRA kwa sababu za hisia wakati TRA imekusanya 97% ya malengo yake mpaka sasa hivi ni kukurupuka.
hayo makontena 300 yallopotea ni katika ripoti ya uchunguzi ya Barde na tayari alishachukua hatua za kuwafata wahusika. alishawaandikia barua ya kulipa kodi kwa macontena yao.
wengine waliyatoa kwa mashinikizo na maagizo lakini yeye kama kuchukua tahadhari aliweka rekodi na kuwaaindikia.
discpline ni muhimi katika sehemu za kazi pamoja na uadilifu lakini maamuzi ya pupa bila ya taarifa za uhakika juu ya chanzo cha haya ..sasa tuchukulie mfano yale makontena yalitoka kwa ajili ya kusaidia kampeni za ccm ? watu wataumbuana katika hili jambo.
tunahitaji sera ya uchumi , sera ya kuongeza uzalishaji na sera ya ajira. kuwabana wafanya biashara kwa makodi makubwa ndio chanzo cha kukwepa kodi ..kodi ni kubwa mno kiasi hata TRA wenyewe hawaelewi namna ya kuzitoza . Leo ukiagiza nondo basi mpaka imfikie mlaji itakua imetozwa kodi ya asilimia zaidi 60% ..TRA wanapata faida zaidi ya huyo muagiziaji na hata mwenye kiwanda huko uturuki.. biashara haziwezi kwenda namna hio....
Kama hawalipi kodi nani analipa kodi ? wewe unalipa ngapi ?
Kulipa kodi sawa lakini kama ukomoe watu kwa kodi za TRA za kubambikiza kuna athari katika uzalishaji na bei ya bidhaa zitapanda na watu hawatakua na uwezo wa kununua hatimae viwanda vitakufa na kazi nazo zitakwenda arijojo.
kila mtu ana andika pumba zake humu kwa chuki za kijinga . serikali haina njia ya mapato zaidi ya kodi za wafanya biashara.Na cha kustajaabisha ni kuwa hizi choko choko zinaelekezwa kwa makampuni ya ndani ambayo yanalipa hio kodi ambayo serikali inajidai nayo. HAKUNA HATA MMOJA AMBAYE ANO ONGELEA SUALA MADINI NA KODI ZAKE.HAWA HAWALIPI kodi na wanasafirisha madini bila ya kufanyiwa audit. miaka 20 sasa na nchi haijafaidika chochote na secta ya madini.
kufukuza watu makini kama kina Rished Babde wa TRA kwa sababu za hisia wakati TRA imekusanya 97% ya malengo yake mpaka sasa hivi ni kukurupuka.
hayo makontena 300 yallopotea ni katika ripoti ya uchunguzi ya Barde na tayari alishachukua hatua za kuwafata wahusika. alishawaandikia barua ya kulipa kodi kwa macontena yao.
wengine waliyatoa kwa mashinikizo na maagizo lakini yeye kama kuchukua tahadhari aliweka rekodi na kuwaaindikia.
discpline ni muhimi katika sehemu za kazi pamoja na uadilifu lakini maamuzi ya pupa bila ya taarifa za uhakika juu ya chanzo cha haya ..sasa tuchukulie mfano yale makontena yalitoka kwa ajili ya kusaidia kampeni za ccm ? watu wataumbuana katika hili jambo.
tunahitaji sera ya uchumi , sera ya kuongeza uzalishaji na sera ya ajira. kuwabana wafanya biashara kwa makodi makubwa ndio chanzo cha kukwepa kodi ..kodi ni kubwa mno kiasi hata TRA wenyewe hawaelewi namna ya kuzitoza . Leo ukiagiza nondo basi mpaka imfikie mlaji itakua imetozwa kodi ya asilimia zaidi 60% ..TRA wanapata faida zaidi ya huyo muagiziaji na hata mwenye kiwanda huko uturuki.. biashara haziwezi kwenda namna hio....
Serikali ni waonevu,kwa mwaka nakatwa kodi ya PAYE karibia mil 6,Hivi pale k/koo kitumbini mliman city mall Kuna mfanyabiashara anayelipa kodi zaidi yangu? Ningependekeza Magufuli aweke utaratibu wa kulipa kodi kutokana na mtaji na si Faida,Kama mfanyabiashara naingiza mzigo wa mil100 alimwe kodi kulingana na capital aliyeiinvest Kama sie wafanyakazi tunakatwa kodi kwenye gross na si kwenye net baada ya kutoa kila matumizi,mfano kodi ya nyumba ,hela ya afya ,mafuta ya Gari,bodi ya mikopo ,deni la bank etc.
Huyo ni team ya seif sharif.bakharesa hakuwa timu lowasa kweli?
Magufuli Naomba umchunguze huyu bwana mwenye Majengo lukuki nchini, maboti ya abiria, mashamba, viwanda Vya vyakula na vinywaji kedekede, Kama analipa kodi sawa na mapato yake.
Achunguzwe mfumo wake wa uajiri Kama unafuata taratibu na sheria, pia Kama analipa P.A.Y.E Kama inavyotakiwa.
Achunguzwe kwa nini hayuko Kwenye kundi LA walipa kodi wakubwa
Chonde chonde udini utatusumbua Jana. Alikuwa mkurugenzi muhimbili Leo kamishina wa kodi kesho Bakhsresa tutafika?Jibu,
Yanayolipa kodi ni Makampuni yake, sio yeye Bakhresa personally.
(Refer LEGAL BUSINESS ENTITY theory in FINANCE or ECONOMICS)
Umetumwa na Nani jomba, mwambie kodi inahitajika hamna msalie mtume
Lipa Kodi kwa Maendeleo ya Taifa Lako, acha blaahblaah!
Ukweli ndo huo...ukikandamiza watu watapunguza uzalishaji na ajira..watu watafanya ku survive tu...sasa hio kodi sijui itatoka wapi.