Bakhresa anakwepa kodi?

Bakhresa anakwepa kodi?

Weka ushaidi wa hayo maneno yako badala ya kupambana na makampuni ya madini hayalipi kodi wewe unapambana na Bakhresa bila data zozote zaidi ya chuki zako tu.

Mitanzania bana.
Kumbe ccm mnajua kuna watu hawalipi kodi?Kweli nchi hii amani yetu ndiyo umasikini wetu.
 
Magufuli Naomba umchunguze huyu bwana mwenye Majengo lukuki nchini, maboti ya abiria, mashamba, viwanda Vya vyakula na vinywaji kedekede, Kama analipa kodi sawa na mapato yake.
Achunguzwe mfumo wake wa uajiri Kama unafuata taratibu na sheria, pia Kama analipa P.A.Y.E Kama inavyotakiwa.
Achunguzwe kwa nini hayuko Kwenye kundi LA walipa kodi wakubwa

Huu sasa ni wivu na natumai rais atakuwa na hekima hapa. Wafanyabiashara wazalendo wachache lazima wasaidiwe kufaulu.
 
hebu lete hiyo list ya walipa kodi wakubwa...?
Acha uvivu unataka kila kitu uletewe ,hii orodha inapatikana kwenye mtandao wa TRA,na pia kunakuwa na sherehekila mwaka ya kuwatunuku walipa kodi wakubwa 10 katika hiyo orodha pamoja na Bakhresa kutokuwemo hata makampuni ya simu hayamo,wanaongoza ni TBL,TCC na kuendelea,penda kujisomea usipende kusema lete hapa hangaika na wewe
 
Nazjaz una wivu wa kike kwa bilionea wa ukweli asiye na makuu,shehe bakhressa.

nenda TRA kawaombe wakupe document zinaonyesha ulipaji kodi wa bakhressa,bila shaka utalipuka kwa hasira ya wivu.
 
Last edited by a moderator:
Na Manji pia....payroll zipo mbili, ile inayokatwa PAYE Na nyingine ya kinyemela...unapewa mzigo hauna nssf wala PAYE..
 
mkuu naungana na wewe kwa 90%! Ila ujue hakuna mfanyabiashara tz anayelipa kodi kwa 100%. wanaolipa kodi inavyostahili ni wafanyakazi wa serikalini na baadhi ya ofisi binafsi tu.

daaah kati ya mambo yanayoniuma ni ile PAYE halaf kuna.mabwege nasikia wanakwepa kulipa kodi,inauma sana
 
HII SIYO SIRI, WAFANYABIASHARA WA DINI FULANI WALIBEBWA SANA NA UTAWALA WA MH. Kikwete
 
Kuweni makini kwa wawekezaji wa ndani bakhersa amewekeza kwenye viwanda, TV na usafiri je wafanyabiashara wengine wamewekeza wapi? Bakhersa kalipo kodi kuliko wafanyabiashara wakubwa wote Tanzania
 
Magufuli Naomba umchunguze huyu bwana mwenye Majengo lukuki nchini, maboti ya abiria, mashamba, viwanda Vya vyakula na vinywaji kedekede, Kama analipa kodi sawa na mapato yake.
Achunguzwe mfumo wake wa uajiri Kama unafuata taratibu na sheria, pia Kama analipa P.A.Y.E Kama inavyotakiwa.
Achunguzwe kwa nini hayuko Kwenye kundi LA walipa kodi wakubwa

Hofu ya udini hiyoooo inanukia. wivu usiwe kigezo cha kuleta fitina. Hivi karibuni kupitia kipindi kimoja kinachorushwa na ITV kila alhamisi, tulihabarishwa kuwa misingi bora iliwekwa na Julius Nyerere ikaja kuharibiwa kwa kurusu mainzi kuingia baada Ali Hasssa Mwinyi kufungua milango k wa wafanya biashara, akaja Mkapa na akaziba mianya na kufukuza mainzi , na alipokuja Kikwete akaharibu tenakwa kukuribish mfisadina sasa Msgufulu kaja kuweka sawa Mudhui ni kwamba nchi ikiongozwa na mtu wa dini fulani basi wanaharibu na wengine wanjenga kwa kuwakandamiza wengine. Hi sio hali nzuri na watu kama hawa tuwaogope kama UKIMWI

Umehakikisha vipi hizo rasilimali zote ulizozitaja zimesajiliwa bara na si Zanzibar, au ndio tayari Zanzibar isha kuwa mkoa?
Waulize wafanyakazi wake, Bakhresa analpa vizuri maruporupo kulioko serikali ya CCM. AMKA MDINI. zungumzia ndege alie mikononi Tajiri wa Escrow anaewahonga watu mabilioni kwa kununulia mboga tu, je analipa kodi inayostahili? au kwa sababu anatoka dini ile na mkoa uleee

Baba wa Taifa Abeid Karume alituwasia EPUKA FITINA ZA KIDINI
 
Magufuli Naomba umchunguze huyu bwana mwenye Majengo lukuki nchini, maboti ya abiria, mashamba, viwanda Vya vyakula na vinywaji kedekede, Kama analipa kodi sawa na mapato yake.
Achunguzwe mfumo wake wa uajiri Kama unafuata taratibu na sheria, pia Kama analipa P.A.Y.E Kama inavyotakiwa.
Achunguzwe kwa nini hayuko Kwenye kundi LA walipa kodi wakubwa

Hofu ya udini hiyoooo inanukia. wivu usiwe kigezo cha kuleta fitina. Hivi karibuni kupitia kipindi kimoja kinachorushwa na ITV kila alhamisi, tulihabarishwa kuwa misingi bora iliwekwa na Julius Nyerere ikaja kuharibiwa kwa kurusu mainzi kuingia baada Ali Hasssa Mwinyi kufungua milango k wa wafanya biashara, akaja Mkapa na akaziba mianya na kufukuza mainzi , na alipokuja Kikwete akaharibu tenakwa kukuribish mfisadina sasa Msgufulu kaja kuweka sawa Mudhui ni kwamba nchi ikiongozwa na mtu wa dini fulani basi wanaharibu na wengine wanjenga kwa kuwakandamiza wengine. Hi sio hali nzuri na watu kama hawa tuwaogope kama UKIMWI

Umehakikisha vipi hizo rasilimali zote ulizozitaja zimesajiliwa bara na si Zanzibar, au ndio tayari Zanzibar isha kuwa mkoa?
Waulize wafanyakazi wake, Bakhresa analpa vizuri maruporupo kulioko serikali ya CCM. AMKA MDINI. zungumzia ndege alie mikononi Tajiri wa Escrow anaewahonga watu mabilioni kwa kununulia mboga tu, je analipa kodi inayostahili? au kwa sababu anatoka dini ile na mkoa uleee

Baba wa Taifa Abeid Karume alituwasia EPUKA FITINA ZA KIDINI
 
mkuu naungana na wewe kwa 90%! Ila ujue hakuna mfanyabiashara tz anayelipa kodi kwa 100%. wanaolipa kodi inavyostahili ni wafanyakazi wa serikalini na baadhi ya ofisi binafsi tu.
awezi kulipia vyote mandazi, chapati na tui la nazi havina kodi ndimo amejificha umo.
 
Magufuli Naomba umchunguze huyu bwana mwenye Majengo lukuki nchini, maboti ya abiria, mashamba, viwanda Vya vyakula na vinywaji kedekede, Kama analipa kodi sawa na mapato yake.
Achunguzwe mfumo wake wa uajiri Kama unafuata taratibu na sheria, pia Kama analipa P.A.Y.E Kama inavyotakiwa.
Achunguzwe kwa nini hayuko Kwenye kundi LA walipa kodi wakubwa

Hofu ya udini hiyoooo inanukia. wivu usiwe kigezo cha kuleta fitina. Hivi karibuni kupitia kipindi kimoja kinachorushwa na ITV kila alhamisi, tulihabarishwa kuwa misingi bora iliwekwa na Julius Nyerere ikaja kuharibiwa kwa kurusu mainzi kuingia baada Ali Hasssa Mwinyi kufungua milango k wa wafanya biashara, akaja Mkapa na akaziba mianya na kufukuza mainzi , na alipokuja Kikwete akaharibu tenakwa kukuribish mfisadina sasa Msgufulu kaja kuweka sawa Mudhui ni kwamba nchi ikiongozwa na mtu wa dini fulani basi wanaharibu na wengine wanjenga kwa kuwakandamiza wengine. Hi sio hali nzuri na watu kama hawa tuwaogope kama UKIMWI

Umehakikisha vipi hizo rasilimali zote ulizozitaja zimesajiliwa bara na si Zanzibar, auayari Zanzibar isha kuwa mkoa?
Waulize wafanyakazi wake, Bakhresa analpa vizuri maruporupo kulioko serikali ya CCM. AMKA MDINI. zungumzia ndege alie mikononi Tajiri wa Escrow anaewahonga watu mabilioni kwa kununulia mboga tu, je analipa kodi inayostahili? au kwa sababu anatoka dini ile na mkoa uleee

Baba wa Taifa Abeid Karume alituwasia EPUKA FITINA ZA KIDINI
 
Magufuli Naomba umchunguze huyu bwana mwenye Majengo lukuki nchini, maboti ya abiria, mashamba, viwanda Vya vyakula na vinywaji kedekede, Kama analipa kodi sawa na mapato yake.vya

Achunguzwe mfumo wake wa uajiri Kama unafuata taratibu na sheria, pia Kama analipa P.A.Y.E Kama inavyotakiwa. Achunguzwe kwa nini hayuko Kwenye kundi la walipa kodi wakubwa.

Hofu ya udini hiyoooo inanukia. wivu usiwe kigezo cha kuleta fitina. Hivi karibuni kupitia kipindi kimoja kinachorushwa na ITV kila alhamisi, tulihabarishwa kuwa misingi bora iliwekwa na Julius Nyerere ikaja kuharibiwa kwa kurusu mainzi kuingia baada Ali Hasssa Mwinyi kufungua milango k wa wafanya biashara, akaja Mkapa na akaziba mianya na kufukuza mainzi , na alipokuja Kikwete akaharibu tenakwa kukuribish mfisadina sasa Msgufulu kaja kuweka sawa Mudhui ni kwamba nchi ikiongozwa na mtu wa dini fulani basi wanaharibu na wengine wanjenga kwa kuwakandamiza wengine. Hi sio hali nzuri na watu kama hawa tuwaogope kama UKIMWI

Umehakikisha vipi hizo rasilimali zote ulizozitaja zimesajiliwa bara na si Zanzibar, auayari Zanzibar isha kuwa mkoa?
Waulize wafanyakazi wake, Bakhresa analpa vizuri maruporupo kulioko serikali ya CCM. AMKA MDINI. zungumzia ndege alie mikononi Tajiri wa Escrow anaewahonga watu mabilioni kwa kununulia mboga tu, je analipa kodi inayostahili? au kwa sababu anatoka dini ile na mkoa uleee

Baba wa Taifa Abeid Karume alituwasia EPUKA FITINA ZA KIDINI
 
Hofu ya udini hiyoooo inanukia. wivu usiwe kigezo cha kuleta fitina. Hivi karibuni kupitia kipindi kimoja kinachorushwa na ITV kila alhamisi, tulihabarishwa kuwa misingi bora iliwekwa na Julius Nyerere ikaja kuharibiwa kwa kurusu mainzi kuingia baada Ali Hasssa Mwinyi kufungua milango k wa wafanya biashara, akaja Mkapa na akaziba mianya na kufukuza mainzi , na alipokuja Kikwete akaharibu tenakwa kukuribish mfisadina sasa Msgufulu kaja kuweka sawa Mudhui ni kwamba nchi ikiongozwa na mtu wa dini fulani basi wanaharibu na wengine wanjenga kwa kuwakandamiza wengine. Hi sio hali nzuri na watu kama hawa tuwaogope kama UKIMWI

Umehakikisha vipi hizo rasilimali zote ulizozitaja zimesajiliwa bara na si Zanzibar, auayari Zanzibar isha kuwa mkoa?
Waulize wafanyakazi wake, Bakhresa analpa vizuri maruporupo kulioko serikali ya CCM. AMKA MDINI. zungumzia ndege alie mikononi Tajiri wa Escrow anaewahonga watu mabilioni kwa kununulia mboga tu, je analipa kodi inayostahili? au kwa sababu anatoka dini ile na mkoa uleee

Baba wa Taifa Abeid Karume alituwasia EPUKA FITINA ZA KIDINI
 
Mbona MENGI MNAMUOGOPA SANA KUMTAJA WAKATI NDIYE KINARA WA MAGUMASHI KWENYE BIASHARA ZAKE ,

Unacheza na acca,cpa holder wewe, kufanya kazi na 1 of the big 4 accounting and auditing firm in the world for 18 years mpk kufika level ya kua parter unafikiri ni mchezo. Hao ndo wataalamu wa kucheza na kodi
 
[h=2]Walipa Kodi 15 Wakubwa Tanzania (Tanzania Top 15 Tax payers) & the missing household names[/h]with 38 comments
Kutoka Hotuba ya Waziri Mkuu 26.08.2011 ? Makampuni yanayoogoza kwa kulipa kodi
Note: (Highlights)
Only one Mining company (the smallest ie Resolute Mining), only one telecom company(Airtel Tanzania).
Household names like MeTL, Bakhresa/Azam, IPP, VodaCom, Coca cola, Pepsi(SABCO), Serengeti Breweries, Barrick Gold, AngloGold Ashanti not seen. No oil marketing companies pia.

One can conclude that, TBL is the most profitable company in Tanzania, NMB is the most profitable Bank.
A public debate is needed.
Here under is the an extract from the Prime Minister speech;
Mheshimiwa Spika,
1. Nitumie nafasi hii kuwapongeza baadhi ya Walipakodi Wakubwa kwa Serikali na ambao wamefanya vizuri kati ya kipindi cha mwaka 2005 na 2011. Kwa kipindi hicho, Makampuni yaliyoongoza kwa kulipa kodi ni pamoja na:
i. Tanzania Breweries Ltd. (Shilingi Bilioni 165.4);
ii. National Microfinance Bank (Shilingi Bilioni 108.6);
iii. Tanzania Cigarette Company (Shilingi Bilioni 92.1);
iv. National Bank of Commerce (Shilingi Bilioni 89.9);
v. CRDB Bank Ltd. (Shilingi Bilioni 79.2);
vi. Tanzania Ports Authority (Shilingi Bilioni 76.8);
vii. Tanzania Portland Cement (Shilingi Bilioni 73.4);
viii. Airtel (T) Ltd. (Shilingi Bilioni 63.6);
ix. Tanga Cement Company Ltd. (Shilingi Bilioni 43.6);
x. Standard Chartered Bank Ltd. (Shilingi Bilioni 40.0);
xi. Citibank (T) Ltd. (Shilingi Bilioni 35.7);
xii. Resolute (T) Ltd. (Shilingi Bilioni 32.1);
xiii. Tanzania International Container Terminal Services (Shilingi Bilioni 25.9);
xiv. Tanzania Distillers Ltd. (Shilingi Bilioni 13.4); na
xv. Group Five International (PTY) Ltd. (Shilingi Bilioni 9.5).
2. Napenda kutoa rai kwa Makampuni yote Nchini kuiga mfano huu mzuri. Wito wangu kwa Makampuni, Wafanyabiashara Wakubwa kwa Wadogo na Wananchi wote ni kuongeza juhudi katika kufanya biashara zao ili zizalishe kwa wingi na kupata faida kubwa zaidi. Faida kubwa itachangia katika kuongeza Mapato ya Serikali kwa njia ya Kodi na hivyo kusaidia kukuza uchumi, kuongeza Pato la Taifa na la Mwananchi mmoja mmoja na kuondoa Umaskini. Niwadhihirishieni kwamba, Serikali inatambua umuhimu wao kwa maendeleo ya Nchi yetu na itahakikisha inaongeza juhudi zake za kuweka Mazingira Wezeshi kwa Makampuni hayo kufanya shughuli zao vizuri ili kuwezesha kulipa

Source: Zitto Zuberi Kabwe Blog

Mleta mada hebu tupe orodha ya hilo kundi LA walipa kodi wakubwa. Kama huna hiyo orodha basi haya yatakua majungu
 
Back
Top Bottom