Kumbe ccm mnajua kuna watu hawalipi kodi?Kweli nchi hii amani yetu ndiyo umasikini wetu.Weka ushaidi wa hayo maneno yako badala ya kupambana na makampuni ya madini hayalipi kodi wewe unapambana na Bakhresa bila data zozote zaidi ya chuki zako tu.
Mitanzania bana.