Chonde chonde udini utatusumbua Jana. Alikuwa mkurugenzi muhimbili Leo kamishina wa kodi kesho Bakhsresa tutafika?
Jibu,
Yanayolipa kodi ni Makampuni yake, sio yeye Bakhresa personally.
(Refer LEGAL BUSINESS ENTITY theory in FINANCE or ECONOMICS)
Bado c jibu ! Makampuni yake hayamo kwenye list na ndo lilikuwa swali?!
Weka picha makabidhiano mtaji.mtaji wa biashara yake naskia et alipewa na rais mstaaf mzee ruksa mwinyi enzi zilee, so mwinyi nae ana hisa zake pale,,sijui kama watamgusa,
ila kinyume na hapo labda jamaa hayupo kwenye orodha hiyo labda analipa kodi stahiki ndo maana humuoni kwenye orodha ya wakwepa kodi
kwa taarifa yako amna mfanyabiashara anayefanya biashara zake kwa uwazi kama bakhresa , hapata tanzania , biashara zake ziko wazi kabisa na ni rahisi mno kufuatilia , wafanyakazi wanalipwaje, kodi kiasi gani inalipwa ,njoo huku kwa MENGI vibarua wa kutosha , huku wakiingiza superprofi , . mengi ana campuni inaitwa tanzanite africa na kwa kwa makusudi kabisa AMEJIRENK kama mchinbaji mdogo ili asilipi kodi , kwanzia 2007
hadi hii leo anazalisha tone za tanzanite lakini anajificha nyuma ya wachimbaji wadogowadogo