Tuanzie hapa!
home affairs kunani? hawajui kutengeneza bajeti au ndio wamepigwa panga? home affairs bajeti yao haifiki hata nusu ya ministry of defence? duh
kuna tofauti gani kati ya defence and ministry of defence na national service?
haya mambo ya sheria mbona yemegawanywa gawanywa hivi, ndio kusema kule wizara ya sheria na mambo ya katiba kumejaa wameshindwa kushindilia.