Bajeti ya mshahara wa sh. 400,000

Bajeti ya mshahara wa sh. 400,000

Sema kwa hapo Daslama, hio 400k ni hela ndogo sana. Na kama ndo umesoma na umepata ajira hizi formal kabisa, 400k wont suffice you. Labda kama upo daslama ndani ndani huko, Vikindu, Malamba mawili, Wazo Kisanga and the likes
Atleast ulipwe kaisi gani sana ndo uishi hapo daslamu vizuri??
 
H
10%ya basic au take home? Maana hapo ameonesha ya take home
Hapo amani ya moyo wako iamue ndani mwako.Cha kuelewa ni kwamba 10% ya kiasi ulichopata ni baseline.Unaweza ukatoa hata 11,12,13% si wizi,ila chini ya 10% ni wizi kwa mujibu wa maandiko.
 
Michango yao sasa, unaweza kimbia na usirudi kabisa.
Kuhusu sadaka,hakikisha unajicommit kwenye haya makanisa official mfano Kkkt au RC hawana zile sadaka za kujimaliza na ibada zao ni nne kwa mwezi,wao ukiwapa buku mara nne=4k hawana kwere
 
Hii rule inaitwa 50/30/20 naikubali sana
Hii achana nayo mkuu utachelewa sana
Rule yoyote iliyokuja kwa kingereza itafakari mara mbili

Je imeaccomodate mazingira yetu ya kibongo

Inagine unalipwa 716,000 basic ukikatwa inabaki 512k na bado kwenye mgawanyo wako wa bajeti kuna 30% ya want

Labda kama mshahara wako 5m +

Mbele nani analipwa dola 150 kwa mwezi
 
Hii achana nayo mkuu utachelewa sana
Rule yoyote iliyokuja kwa kingereza itafakari mara mbili

Je imeaccomodate mazingira yetu ya kibongo

Inagine unalipwa 716,000 basic ukikatwa inabaki 512k na bado kwenye mgawanyo wako wa bajeti kuna 30% ya want

Labda kama mshahara wako 5m +

Mbele nani analipwa dola 150 kwa mwezi
Mkuu zipo nyingi na kila kitu ni akili kumkichwa. Niambie wewe unahisi formula ipi ya bajeti ni nzuri kwa mazingira yetu
 
Kuna jamaa wa usafi, aliwahi kuja kuniomba ushauri, ametunza mshahara wake kwa mywa wa miezi 18. Yani home ana 1.8 cash anataka aipeleke benki aendelee kutunza anataka achukue boda boda mpya hataki used apige kazi.
1. Nilimpongeza
2. Nikamwambia peleka utt mfuko wa ukwasi.
Mwamba anafanya saving kwa 80 ya Kila hela anayoipata. Huwa anakula mjini ndo mpaka kesho.
Ana nidhamu sana ya pesa.
 
Hii achana nayo mkuu utachelewa sana
Rule yoyote iliyokuja kwa kingereza itafakari mara mbili

Je imeaccomodate mazingira yetu ya kibongo

Inagine unalipwa 716,000 basic ukikatwa inabaki 512k na bado kwenye mgawanyo wako wa bajeti kuna 30% ya want

Labda kama mshahara wako 5m +

Mbele nani analipwa dola 150 kwa mwezi
Bado wategemezi.
 
Hiyo 40000 ya sadaka ungetoa hapo, watu wanaotakiwa kutoa sadaka ni wale wenye surplus kwenye vipato vyao.
 
Kwa huo mshahara kwangu Mimi ninge budget ifuatavyo;
  • Chakula - 150,000/= ningependelea kupika geto kama ni wali nakula usiku na asubuhi nanywea chai.
  • Pango isizidi 50,000/=
-Nauli kama ni mbali na kazini ningehakikisha gari moja to office - 50,000/=
- Mengineyo - 50,000/=
Savings UTT - 100,000/=
Hapo lazima uzingatie yafuatayo
.Ujikane nafsi
. Chunga tamaa mbaya
.Usikatishwe tamaa
. Focus
Ndani ya miaka mitano mkuu utakuwa mbali. Kila la heri mkuu
 
Back
Top Bottom