Bajeti ya mshahara wa sh. 400,000

Bajeti ya mshahara wa sh. 400,000

Yan ulipwe 400k bado uongeze neno standard kwenye nyumba na self

Hichi kipindi unatafuta pa kujisitiri tu wakati unafocus malengo ya mbele zaidi, ambayo kama kila kitu kimeenda sawa, na ukafanikiwa kwenye ujasiriamali utaadjust accordingly

Kwa ajili ya kujifunza, mshahara ukianzia sh ngapi hapa bongo ndo mtu ataweza kuanza kusevu
Kwa level ya uchumi wa sasa angalau upate 1M ndio utaweza cover utilities na rent kisha ubakiwe na kiasi una save.
 
Asanteeeeeee, na bajet ya laki je?
Ukiwa unalipwa 400k na huna familia, yan home alone
Mchanganuo pendekezi huu hapa
Utanishukuru baadae

100,000 Akiba (weka utt)
40,000 Sadaka
80,000 Kodi ya nyumba
80,000 chakula
50,000 usafiri
50,000 mahitaji mengine

Sadaka,
unamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwapa wahitaji au popote unapoamini

Kodi
Haipaswi kuzidi 20% ya kipato chako

Chakula
Haipaswi kuzidi 20%
Hemea kwa jumla
Weka stock ya vyakula kama dagaa, hulali njaa

Usafiri
Panga karibu na eneo la kazi
Au sehemu ya gari moja

Akiba weka utt
Ukifikisha hata 600,000, weka mpunga stock, ni gunia kumi hizi

Lazima uwe bahili hasa, nidhamu sana

Ongezea kama kuna kitu nimeacha
Au tupe uzoefu zaidi tujifunze
Et et ya laki je?
 
Back
Top Bottom