DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 12,830
- 28,985
Sasa kwa mfano unafanya kazi Mbezi ya kimara Na nyumba ya Bei rahisi ziko Tegeta unataka Mtu akakae tegeta???500k? Inategemea na maeneo mkuu dar kubwa.
Sasa kwa mfano unafanya kazi Mbezi ya kimara Na nyumba ya Bei rahisi ziko Tegeta unataka Mtu akakae tegeta???500k? Inategemea na maeneo mkuu dar kubwa.
Mbezi ya kimara kwa hio 500k unakaa kibosi sana mkuu, per month hio ni kodi kubwa sana.Sasa kwa mfano unafanya kazi Mbezi ya kimara Na nyumba ya Bei rahisi ziko Tegeta unataka Mtu akakae tegeta???
Blessed is the hand that gives than the hand that takes.Sadaka ya nini, na inaenda kwa nani..??
Wewe ulishawahi pewa sadaka..??
Jibu ni hapana kwa sababu huo ni mfano.Sasa kwa mfano unafanya kazi Mbezi ya kimara Na nyumba ya Bei rahisi ziko Tegeta unataka Mtu akakae tegeta???
Mkuu Nimetolea Mfano tu!Mbezi ya kimara kwa hio 500k unakaa kibosi sana mkuu, per month hio ni kodi kubwa sana.
Ma chief wote wana hela bhn, hahaMkuu Nimetolea Mfano tu!
Mi naishi kimaskini sana hata hiyo 200k kwangu ni pesa kubwa sana..
Na hata 50k tu naiona kama milioni..
Ila kulimgana na maisha Hakunaga percent ya matumizi Just tu usitumie kuzidisha kiasi unachoingiza
Muhuni umemindSadaka ya nini, na inaenda kwa nani..??
Wewe ulishawahi pewa sadaka..??
Shida watu wakisikia Sadaka wanadhani ni kutoa kanisani..Blessed is the hand that gives than the hand that takes.
Mi nilipata kazi kigamboni wakati naishi na familia ya mke na watoto wawili na mmoja anasom, chanika mwisho.. nilifanya miezi miwili nikaacha.. mshahara 450000..Hatari hata tuseme tayari una nyumba mbezi mwisho then kazi ni kule Morocco daily! Utajua hujui!
Wazo na njia nzuri piamm huwa natumia mshahara wa mwezi wote kwa miezi mi2 kisha wa mwez ujao natunza wote haijalish napokea kiasi gan lbda nipate dharula
Ipo humo humo kwenye 80kBajeti hiyo ngumu sana kaka
Sijaona sehem iliyotengwa hata buku 5 ya kununua nusu kilo ya shwaini (nguruwe )
Hata yeye amesema ukiwa peke yakoSasa kwa mfano dar Nyumba ya Familia hupati bila kuwa na 500k au zaidi..
Lets say Kipato changu ni 2.6M..
20% ni 500k..
Na ni nyumba ya kawaida sana..
Hiyo maybe kama unazungumzia mtu bachelor na sio mwenye Familia kweli inafanya kazi
Kama haujajenga huko unakoishi unahama tu mkuuMi nilipata kazi kigamboni wakati naishi na familia ya mke na watoto wawili na mmoja anasom, chanika mwisho.. nilifanya miezi miwili nikaacha.. mshahara 450000..
Mkoani kuna advantage zaidiUnatoaje sadaka ya ef 40 na huku unajitafuta? Yaani 10% ya Mapato unatoa sadaka, hata Mungu atakushanga. Hapo inapaswa iwe ef 10 tu kwa mwezi. Ibada 4 kwa mwezi kila ibada jero sadaka so unaupa Msikiti/kanisa Ef 2 kwa mwezi. Ef 8 ni ya ombaomba. Kama una route ya kwenda kazini, njiani unakua na jero au buku, unakua unampa huyo omba omba mpaka itapoisha. Usimpe yote at once.
Kodi ya ef 80 ni kubwa mno, labda kama uko dar, ila mikoani room ya 40, ni standard kabisa.
Na baraka za ukweli ni zile zinazotokana na kufanya ibada, ibada inatosha kuwa sadaka pekee ya kuzidi kukupa baraka na mafanikioBlessed is the hand that gives than the hand that takes.