Kwamba bajeti yako inategemea na mshahara wangu? 😅😅😅Tatizo hupendi kupikaaa
Niujue kwanza mshahara ndo bajeti niweze kuiweka fresh😎
Hata 2000Hivi kumbe UTT unaweza kuweka mpak 100k mi nilijua kuanzia 1m
Matumizi yanaendana na bajeti, bajeti inaendana na pesa iliyopoKwamba bajeti yako inategemea na mshahara wangu? 😅😅😅
Ni nusu ya huo ambao jamaa ametolea mfano.
Matumizi inabidi yaendane na malengo, na sio hela iliyopoMatumizi yanaendana na bajeti, bajeti inaendana na pesa iliyopo
Nimechukua point hapo👊Matumizi inabidi yaendane na malengo, na sio hela iliyopo
Nasubiria kuona ukiifanyia kazi 😊Nimechukua point hapo👊
Samahani, kuna utofauti gani anaupata mtu anaewekeza utt tofauti na anaeweka bank kawaidaLiquid fund.
Kufatilia pesa hamna usumbufu hata kidogo. Unajaza form, siku 3 za kazi pesa utaiona kwa bank yako.
Bank sasa inategemea na account gani.Samahani, kuna utofauti gani anaupata mtu anaewekeza utt tofauti na anaeweka bank kawaida
Sadaka? 40,000?Ukiwa unalipwa 400k na huna familia, yan home alone
Mchanganuo pendekezi huu hapa
Utanishukuru baadae
100,000 Akiba (weka utt)
40,000 Sadaka
80,000 Kodi ya nyumba
80,000 chakula
50,000 usafiri
50,000 mahitaji mengine
Sadaka,
unamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwapa wahitaji au popote unapoamini
Kodi
Haipaswi kuzidi 20% ya kipato chako
Chakula
Haipaswi kuzidi 20%
Hemea kwa jumla
Weka stock ya vyakula kama dagaa, hulali njaa
Usafiri
Panga karibu na eneo la kazi
Au sehemu ya gari moja
Akiba weka utt
Ukifikisha hata 600,000, weka mpunga stock, ni gunia kumi hizi
Lazima uwe bahili hasa, nidhamu sana
Ongezea kama kuna kitu nimeacha
Au tupe uzoefu zaidi tujifunze
Watakao zingatia ushauri hasa pamoja na kipengele cha 10% ya mshahara kwenda kwenye sadaka watatoboa harakaUkiwa unalipwa 400k na huna familia, yan home alone
Mchanganuo pendekezi huu hapa
Utanishukuru baadae
100,000 Akiba (weka utt)
40,000 Sadaka
80,000 Kodi ya nyumba
80,000 chakula
50,000 usafiri
50,000 mahitaji mengine
Sadaka,
unamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwapa wahitaji au popote unapoamini
Kodi
Haipaswi kuzidi 20% ya kipato chako
Chakula
Haipaswi kuzidi 20%
Hemea kwa jumla
Weka stock ya vyakula kama dagaa, hulali njaa
Usafiri
Panga karibu na eneo la kazi
Au sehemu ya gari moja
Akiba weka utt
Ukifikisha hata 600,000, weka mpunga stock, ni gunia kumi hizi
Lazima uwe bahili hasa, nidhamu sana
Ongezea kama kuna kitu nimeacha
Au tupe uzoefu zaidi tujifunze
Unaweka hata 10k.Hivi kumbe UTT unaweza kuweka mpak 100k mi nilijua kuanzia 1m
Ukiwa unalipwa 400k na huna familia, yan home alone
Mchanganuo pendekezi huu hapa
Utanishukuru baadae
100,000 Akiba (weka utt)
40,000 Sadaka
80,000 Kodi ya nyumba
80,000 chakula
50,000 usafiri
50,000 mahitaji mengine
Sadaka,
unamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwapa wahitaji au popote unapoamini
Kodi
Haipaswi kuzidi 20% ya kipato chako
Chakula
Haipaswi kuzidi 20%
Hemea kwa jumla
Weka stock ya vyakula kama dagaa, hulali njaa
Usafiri
Panga karibu na eneo la kazi
Au sehemu ya gari moja
Akiba weka utt
Ukifikisha hata 600,000, weka mpunga stock, ni gunia kumi hizi
Lazima uwe bahili hasa, nidhamu sana
Ongezea kama kuna kitu nimeacha
Au tupe uzoefu zaidi tujifunze
10%ya basic au take home? Maana hapo ameonesha ya take homeWatakao zingatia ushauri hasa pamoja na kipengele cha 10% ya mshahara kwenda kwenye sadaka watatoboa haraka
Ukitaka kujua Tanzania ni machokoraa. Convert Pato lako kwa mwaka into USD utaumia na kulia,.Kuna mlevi mmoja alisikika akisema, Mshahara wowote chini ya million moja hiyo ni posho...
Cc: Mahondaw
Malizia utt Haina tax on profit.Bank sasa inategemea na account gani.
Kama ni saving acc zile za kawaida zina makato ya kibenki.
Utt hamna makato ya aina yoyote. Na pia unapokea riba ya 1% kwa mwezi ya ile pesa iliyopo kwa mfuko wako.
Bank pesa kuidokoa na ukaitumia pasipo na umuhimu ni rahisi sana. Ila UTT hamna huo urahisi so ni nzuri kwa saving.
Hapo kwenye sadaka!! Kuna watu wanatoa 400k kama sadaka tu.
Hapo sawa mkuu so nimeona pia kwamba huwa kuna appreciation na depreciation ya thamani ya units.. Vp sasa mtaji wangu unahakikishiwaje usalama?Liquid fund.
Kufatilia pesa hamna usumbufu hata kidogo. Unajaza form, siku 3 za kazi pesa utaiona kwa bank yako.