BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,915
- 11,731
100k kila mwez unapata interest ya kiasi gani?Kianzio 100k baada ya hapo 10k na kuendelea
100k kila mwez unapata interest ya kiasi gani?Kianzio 100k baada ya hapo 10k na kuendelea
Sasa utaishije, maana kumbuka kipato chako ndo hiyo 400kHapo kwenye sadaka!! Kuna watu wanatoa 400k kama sadaka tu.
Daah, kila la kheri mkuu.Ukiwa unalipwa 400k na huna familia, yan home alone
Mchanganuo pendekezi huu hapa
Utanishukuru baadae
100,000 Akiba (weka utt)
40,000 Sadaka
80,000 Kodi ya nyumba
80,000 chakula
50,000 usafiri
50,000 mahitaji mengine
Sadaka,
unamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwapa wahitaji au popote unapoamini
Kodi
Haipaswi kuzidi 20% ya kipato chako
Chakula
Haipaswi kuzidi 20%
Hemea kwa jumla
Weka stock ya vyakula kama dagaa, hulali njaa
Usafiri
Panga karibu na eneo la kazi
Au sehemu ya gari moja
Akiba weka utt
Ukifikisha hata 600,000, weka mpunga stock, ni gunia kumi hizi
Lazima uwe bahili hasa, nidhamu sana
Ongezea kama kuna kitu nimeacha
Au tupe uzoefu zaidi tujifunze
Lete maoni tujifunze zaidiDaah, kila la kheri mkuu.
Sina maoni kabisa mkuu, nafikiria tu uhalisia wa hizo hesabu zako, maisha yamekuwa magumu sana.Lete maoni tujifunze zaidi
I think ni 12% pa100k kila mwez unapata interest ya kiasi gani?
Unashauri ngapi mkuu maana mshahara muda huu ndo 400kHiyo 80 unakula nini sasa hata kama bachela
Sasa kwa mfano dar Nyumba ya Familia hupati bila kuwa na 500k au zaidi..Amekwambia 20% ya kipato chako. Mbona ni kawaida. Ukiwa unaingiza 400k kodi ni 80k chumba single kizuri tu. Ukiingiza 700k, kodi 140k hapo unapata chumba masta na sebule baadhi ya maeneo alafu hapo upo bila familia. Ukisema 20% ni ndogo watu watakushangaa
Ni balaa tupuKwa darisaladi laki 4 ni mkikimkiki
500k? Inategemea na maeneo mkuu dar kubwa.Sasa kwa mfano dar Nyumba ya Familia hupati bila kuwa na 500k au zaidi..
Lets say Kipato changu ni 2.6M..
20% ni 500k..
Na ni nyumba ya kawaida sana..
Hiyo maybe kama unazungumzia mtu bachelor na sio mwenye Familia kweli inafanya kazi
Jitahidi kupunguza matumizi yasiyo ya lazimaMmmh kumbe nachezea hela
Kitu sijui ni kujinyima labda niwe sina hela
Nifundisheni ubahili please![]()
mm huwa natumia mshahara wa mwezi wote kwa miezi mi2 kisha wa mwez ujao natunza wote haijalish napokea kiasi gan lbda nipate dharulaUkiwa unalipwa 400k na huna familia, yan home alone
Mchanganuo pendekezi huu hapa
Utanishukuru baadae
100,000 Akiba (weka utt)
40,000 Sadaka
80,000 Kodi ya nyumba
80,000 chakula
50,000 usafiri
50,000 mahitaji mengine
Sadaka,
unamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwapa wahitaji au popote unapoamini
Kodi
Haipaswi kuzidi 20% ya kipato chako
Chakula
Haipaswi kuzidi 20%
Hemea kwa jumla
Weka stock ya vyakula kama dagaa, hulali njaa
Usafiri
Panga karibu na eneo la kazi
Au sehemu ya gari moja
Akiba weka utt
Ukifikisha hata 600,000, weka mpunga stock, ni gunia kumi hizi
Lazima uwe bahili hasa, nidhamu sana
Ongezea kama kuna kitu nimeacha
Au tupe uzoefu zaidi tujifunze
Bajeti hiyo ngumu sana kakaUkiwa unalipwa 400k na huna familia, yan home alone
Mchanganuo pendekezi huu hapa
Utanishukuru baadae
100,000 Akiba (weka utt)
40,000 Sadaka
80,000 Kodi ya nyumba
80,000 chakula
50,000 usafiri
50,000 mahitaji mengine
Sadaka,
unamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwapa wahitaji au popote unapoamini
Kodi
Haipaswi kuzidi 20% ya kipato chako
Chakula
Haipaswi kuzidi 20%
Hemea kwa jumla
Weka stock ya vyakula kama dagaa, hulali njaa
Usafiri
Panga karibu na eneo la kazi
Au sehemu ya gari moja
Akiba weka utt
Ukifikisha hata 600,000, weka mpunga stock, ni gunia kumi hizi
Lazima uwe bahili hasa, nidhamu sana
Ongezea kama kuna kitu nimeacha
Au tupe uzoefu zaidi tujifunze
Hapo umelipa kodi tu, hata umeme haujanunua, hahaHapo hamna demu hamna gambe hamna soda, hamna bando, hamna fegi, hamna kifurushi cha TV, hamna kununua shati wala chupi
Maisha kweli nyoko
Wazee wa makanisa ya kisasa hawana tofauti na waumini wa waganga wa kienyeji, wanaamini sadaka kubwa ndo baraka kubwa wakati wanasahau kwamba hata kipindi wanatoa sadaka Tsh 100 au 200 bado Mungu alikuwa anatoa baraka zile zile. Me nadhani sadaka ni kutoa kile unachojiskia kutoa kulingana na hali ya maisha yako.Kuhusu sadaka,hakikisha unajicommit kwenye haya makanisa official mfano Kkkt au RC hawana zile sadaka za kujimaliza na ibada zao ni nne kwa mwezi,wao ukiwapa buku mara nne=4k hawana kwere