Bajeti ya mshahara wa sh. 400,000

Bajeti ya mshahara wa sh. 400,000

Ukiwa unalipwa 400k na huna familia, yan home alone
Mchanganuo pendekezi huu hapa
Utanishukuru baadae

100,000 Akiba (weka utt)
40,000 Sadaka
80,000 Kodi ya nyumba
80,000 chakula
50,000 usafiri
50,000 mahitaji mengine

Sadaka,
unamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwapa wahitaji au popote unapoamini

Kodi
Haipaswi kuzidi 20% ya kipato chako

Chakula
Haipaswi kuzidi 20%
Hemea kwa jumla
Weka stock ya vyakula kama dagaa, hulali njaa

Usafiri
Panga karibu na eneo la kazi
Au sehemu ya gari moja

Akiba weka utt
Ukifikisha hata 600,000, weka mpunga stock, ni gunia kumi hizi

Lazima uwe bahili hasa, nidhamu sana

Ongezea kama kuna kitu nimeacha
Au tupe uzoefu zaidi tujifunze
Daah, kila la kheri mkuu.
 
Amekwambia 20% ya kipato chako. Mbona ni kawaida. Ukiwa unaingiza 400k kodi ni 80k chumba single kizuri tu. Ukiingiza 700k, kodi 140k hapo unapata chumba masta na sebule baadhi ya maeneo alafu hapo upo bila familia. Ukisema 20% ni ndogo watu watakushangaa
Sasa kwa mfano dar Nyumba ya Familia hupati bila kuwa na 500k au zaidi..
Lets say Kipato changu ni 2.6M..
20% ni 500k..
Na ni nyumba ya kawaida sana..
Hiyo maybe kama unazungumzia mtu bachelor na sio mwenye Familia kweli inafanya kazi
 
Sadaka 40,000 mshahara laki nne. Mthfcker😔😔😔.
Vijana jueni kuishi. Hata Mungu hataki muumie hivo kama yupo kweli kwenye dunia hii.
Alafu Kingine. Acheni haya mambo ya UTT kama hamuyaelewi sio kwasbabu ni haki ya maoni basi kila mtu anaandika tu.
Kwanza ww ushafanya hayo.
Au unatushauri tu sisi maskini?
 
Ukiwa unalipwa 400k na huna familia, yan home alone
Mchanganuo pendekezi huu hapa
Utanishukuru baadae

100,000 Akiba (weka utt)
40,000 Sadaka
80,000 Kodi ya nyumba
80,000 chakula
50,000 usafiri
50,000 mahitaji mengine

Sadaka,
unamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwapa wahitaji au popote unapoamini

Kodi
Haipaswi kuzidi 20% ya kipato chako

Chakula
Haipaswi kuzidi 20%
Hemea kwa jumla
Weka stock ya vyakula kama dagaa, hulali njaa

Usafiri
Panga karibu na eneo la kazi
Au sehemu ya gari moja

Akiba weka utt
Ukifikisha hata 600,000, weka mpunga stock, ni gunia kumi hizi

Lazima uwe bahili hasa, nidhamu sana

Ongezea kama kuna kitu nimeacha
Au tupe uzoefu zaidi tujifunze
mm huwa natumia mshahara wa mwezi wote kwa miezi mi2 kisha wa mwez ujao natunza wote haijalish napokea kiasi gan lbda nipate dharula
 
Ukiwa unalipwa 400k na huna familia, yan home alone
Mchanganuo pendekezi huu hapa
Utanishukuru baadae

100,000 Akiba (weka utt)
40,000 Sadaka
80,000 Kodi ya nyumba
80,000 chakula
50,000 usafiri
50,000 mahitaji mengine

Sadaka,
unamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwapa wahitaji au popote unapoamini

Kodi
Haipaswi kuzidi 20% ya kipato chako

Chakula
Haipaswi kuzidi 20%
Hemea kwa jumla
Weka stock ya vyakula kama dagaa, hulali njaa

Usafiri
Panga karibu na eneo la kazi
Au sehemu ya gari moja

Akiba weka utt
Ukifikisha hata 600,000, weka mpunga stock, ni gunia kumi hizi

Lazima uwe bahili hasa, nidhamu sana

Ongezea kama kuna kitu nimeacha
Au tupe uzoefu zaidi tujifunze
Bajeti hiyo ngumu sana kaka

Sijaona sehem iliyotengwa hata buku 5 ya kununua nusu kilo ya shwaini (nguruwe )
 
Kuhusu sadaka,hakikisha unajicommit kwenye haya makanisa official mfano Kkkt au RC hawana zile sadaka za kujimaliza na ibada zao ni nne kwa mwezi,wao ukiwapa buku mara nne=4k hawana kwere
Wazee wa makanisa ya kisasa hawana tofauti na waumini wa waganga wa kienyeji, wanaamini sadaka kubwa ndo baraka kubwa wakati wanasahau kwamba hata kipindi wanatoa sadaka Tsh 100 au 200 bado Mungu alikuwa anatoa baraka zile zile. Me nadhani sadaka ni kutoa kile unachojiskia kutoa kulingana na hali ya maisha yako.
 
Back
Top Bottom