Nimefika katika hospitali mbali mbali ndani ya msimu huu wa mafua ya kawaida na sikukuu za mwisho wa mwaka.
Katika hospitali zote nilizokwenda kama mgonjwa au kupeleka wagonjwa nimethibitisha tashwishi yangu kuhusiana na bajeti ya dawa.
Hakuna wagonjwa wanaopata huduma ya dawa. Dawa zote wagonjwa wananunua wenyewe baada ya kuonana na daktari.
Hii ikiwa ni pamoja na malipo kwa ajili ya kumwona daktari na kulipia pia vipimo vyovyote vitakavyo hitajika.
Kwa mpango huu pesa tunazoambiwa zinanunua dawa kwenye hospitali za umma zinaishia wapi?
Si bora bajeti hii ikaelekezwa hata kwenye ajira mpya kuliko kuishia kusikojulikana?
Katika hospitali zote nilizokwenda kama mgonjwa au kupeleka wagonjwa nimethibitisha tashwishi yangu kuhusiana na bajeti ya dawa.
Hakuna wagonjwa wanaopata huduma ya dawa. Dawa zote wagonjwa wananunua wenyewe baada ya kuonana na daktari.
Hii ikiwa ni pamoja na malipo kwa ajili ya kumwona daktari na kulipia pia vipimo vyovyote vitakavyo hitajika.
Kwa mpango huu pesa tunazoambiwa zinanunua dawa kwenye hospitali za umma zinaishia wapi?
Si bora bajeti hii ikaelekezwa hata kwenye ajira mpya kuliko kuishia kusikojulikana?