Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 3,293
- 17,133
Wagwan.
Nchi karibia zote za Afrika Mashariki zinasoma bajeti zake kwa mwaka wa fedha unaonza Julai 1, 2023.
Katika bajeti ya Serikali ya Uganda iliyosomwa leo, serikali imekusudia kutumia zaidi ya Trillion 57 za Uganda ambazo ni sawa na zaidi ya Trillion 36 za Tanzania.
Zuri lililonivutia zaidi ni kuwa zaidi ya Trillion 17 za Uganda, sawa na zaidi ya Tsh Billion 10 zitatumika kulipia madeni chochefu. Madeni yanayolazimisha nchi ya Uganda kufata matakwa ya Wamagharibi.
Mh Rais wa Uganda, Comrade Yoweri Museven ametanabaisha kuwa nchi inapaswa kukopa kwa nidhamu ama isikope kabisa.
Ikumbukwe kuwa hivi majuzi, nchi ya Uganda ilitunga sheria zinazokataza mapenzi ya jinsia moja. Na wote watakaobainika kukiona kwa adhabu kali sana.
Mikopo mingi ina masharti ya kuunga mkono mapenzi hayo ambayo ni chukizo kwa Mungu.
Serikali ya JMT, inaongeza juhudi katika kukopa na kukubaliana na wahisani.
Mungu ibariki Uganda.
Nchi karibia zote za Afrika Mashariki zinasoma bajeti zake kwa mwaka wa fedha unaonza Julai 1, 2023.
Katika bajeti ya Serikali ya Uganda iliyosomwa leo, serikali imekusudia kutumia zaidi ya Trillion 57 za Uganda ambazo ni sawa na zaidi ya Trillion 36 za Tanzania.
Zuri lililonivutia zaidi ni kuwa zaidi ya Trillion 17 za Uganda, sawa na zaidi ya Tsh Billion 10 zitatumika kulipia madeni chochefu. Madeni yanayolazimisha nchi ya Uganda kufata matakwa ya Wamagharibi.
Mh Rais wa Uganda, Comrade Yoweri Museven ametanabaisha kuwa nchi inapaswa kukopa kwa nidhamu ama isikope kabisa.
Ikumbukwe kuwa hivi majuzi, nchi ya Uganda ilitunga sheria zinazokataza mapenzi ya jinsia moja. Na wote watakaobainika kukiona kwa adhabu kali sana.
Mikopo mingi ina masharti ya kuunga mkono mapenzi hayo ambayo ni chukizo kwa Mungu.
Serikali ya JMT, inaongeza juhudi katika kukopa na kukubaliana na wahisani.
Mungu ibariki Uganda.