Ms Judith
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 2,563
- 936
Barabara ya Makongo Juu ilivyo na mashimo hapo mjamzito lazima ajifungue njiani! ....Sasa imagine barabara za vijijini itakuaje ukizingatia na umbali wa vituo vya afya ?
afadhali hata ya makongo, hivi za kimara, mbezi, kibangu nk ulishaziona zilivyo? hii serikali kweli ina vichwa!!! yaani hadi nimeshangaa!!!