BAHIMA Empire na uchaguzi butu 2020

BAHIMA Empire na uchaguzi butu 2020

Tatizo letu watanzania tumekuwa waoga kupindukia, kuna msemo unasema kwa muoga utakaa sikia kilio cha msiba, kwamba kwenye nyumba za wale wanaojiona majasiri ndio Huwa vilio vya msiba husikika.
Watanzania tumekuwa waoga hata kupigania ya kwetu, ni kila MTU na tumbo lake, mfano Yale ya Prof. Mwijage kusema akifukuzwa kazi watoto wake wataishije.
Watanzania tumekuwa watu wakulalama, watu wenye huzuni na hatuna misiba.
Hakuna mwanasiasa atakayeifanya Tanzania kuwa njema ila ni sisi wenyewe watanzania.
Sizonje hajui madhara ya anayoyafanya kuwaalika hao au kuwaangalia kwa makengeza, na ndio maana Huwa nasema kwa kufumbia macho huku na huyu kiongozi wetu kuhusu hao wanyarwanda, either yeye personal kawa recruited kama asset au anamchukilia huyo jamaa wa bahima kama Big brother kama mentor wake. Tuamke watanzania tutaishia kunun'gunika tu huku nchi yetu inaoza.
 
Nani atawakubali katiba ibadilishwe Ili wapigwe chini? Ndio kwanza wameanzisha kampeni ya miaka saba,hao jamaa sijui ni kizazi cha Wapi?

Sent from my A37f using JamiiForums mobile app

ijulikane kuwa katika mfumo halisi wa vyama vingi chama chochote kilichopo madarakani hakina uwezo wa ku-conrtol au ku-dictate mfumo unaowezesha vyama kuingia madarakani,na ikiwa kuna chama kina-ucontrol ufumo huo basi hapo hakuna mfumo wa vyama vingi ni uzushi tu, na hilo pia liwekwe wazi kuwa hapa kwetu hatuna mfumo wa vyama vingi ni udanganyifu mtupu.

ccm kama chama kilopewa madaraka na wananchi hakina mamlaka ya kuzuia mabadiliko ya katiba,katiba ndio inayoongoza nchi,watu vyama na kila kitu,kwa hio chama kinachoongoza nchi nacho kinaongozwa na katiba pia na sio kinyume chake
Nani atawakubali katiba ibadilishwe Ili wapigwe chini? Ndio kwanza wameanzisha kampeni ya miaka saba,hao jamaa sijui ni kizazi cha Wapi?

Sent from my A37f using JamiiForums mobile app

hapa kwenye mfumo wetu wa vyama vingi kuna chombo muhimu kimekosekana,ambacho kinatakiwa kuwa kati ili kiwe msuluhishi wa vyama na pia kubadili au kukubali maombi ya vyama vyote.

katika mfumo wa vyama vingi chama kinachopewa madaraka na wananchi kuongoza nchi hakiwezi kuwa na uwezo wa kujijengea mazingira mazuri wanayohisi yanafaa,wala hakiwezi kuwa na amri kuwa ndio kiuombwe kubadili kitu ndani ya katiba,kwa nchi za kidemocracy katiba ni ya wananchi sio ya chama kinachoongoza nchi. na kama inabidi mpaka chama fulani kikubali jambo fulani basi hapo hamna democracy.
 
mimi naomba nitoe ushauri na maoni yangu kwa vyama vya upinzani kuelekea uchaguzi wa 2020, waanze kuweka nguvu zao zote katika katiba na mfumo wa vyama vingi urekebishwe kwa sheria zilizo wazi na kamilifu, na iwapo kama katiba haitarekebishwa kuondoa mfumo wa tume ya uchaguzi uliopo sasa basi ni heri kujitoa katika uchaguzi mkuu,

haina maana yeyote kushiriki na kupotezea watu muda, ni bora kuweka wazi kabisa kuwa hatuwezi kushiriki uchaguzi mkuu unaoendeshwa na tume ambayo mwenyekiti wake anachaguliwa na mwenyekiti wa ccm na sheria ambazo hazina mfumo wa serikali ya mpito ya kubadilshana madaraka ya serikali iwapo upinzani utashinda uchaguzi, wapinzani walione hili sasa hivi tusije kuanza kuzungumzia haya mambo miezi miwili kabla ya uchaguzi.
Mchango wako ni mzuri ila unatupeleka nje Ya mada. kwakuwa mada kuu ni kuilinda nchi yetu isinyakuliwe na "HIMA/TUTSI" empire basi ungeainisha namna gani katiba iwe ili kuimarisha utaifa na kuepuka blood suckinng habit Ya watutsi

Kwa angalizo hili la #mshana#, ni vema pia vyama vyote vikajiwekea mfumo wa kuchunguza wanachama na viongozi wake wasotokane nahao MASULIA kwa maelf waliopandikizwa na hima/tutsi empire, Kwani pamoja na kejeli zinazotolewa na baadhi Ya watu bado kunamhimili (wa usalama) ambao haujachakachuliwa na hautakubaliana na Kiongozi pandikizi (kutoka hima empire ) atakaye simikwa na chama chochote
 
ijulikane kuwa katika mfumo halisi wa vyama vingi chama chochote kilichopo madarakani hakina uwezo wa ku-conrtol au ku-dictate mfumo unaowezesha vyama kuingia madarakani,na ikiwa kuna chama kina-ucontrol ufumo huo basi hapo hakuna mfumo wa vyama vingi ni uzushi tu, na hilo pia liwekwe wazi kuwa hapa kwetu hatuna mfumo wa vyama vingi ni udanganyifu mtupu.

ccm kama chama kilopewa madaraka na wananchi hakina mamlaka ya kuzuia mabadiliko ya katiba,katiba ndio inayoongoza nchi,watu vyama na kila kitu,kwa hio chama kinachoongoza nchi


hapa kwenye mfumo wetu wa vyama vingi kuna chombo muhimu kimekosekana,ambacho kinatakiwa kuwa kati ili kiwe msuluhishi wa vyama na pia kubadili au kukubali maombi ya vyama vyote.

katika mfumo wa vyama vingi chama kinachopewa madaraka na wananchi kuongoza nchi hakiwezi kuwa na uwezo wa kujijengea mazingira mazuri wanayohisi yanafaa,wala hakiwezi kuwa na amri kuwa ndio kiuombwe kubadili kitu ndani ya katiba,kwa nchi za kidemocrasy katiba ni ya wananchi sio ya chama kinachoongoza nchi. na kama inabidi mpaka chama fulani kikubali jambo fulani masi hapo hamna democracy ni uzushi tu
Mkuu kwa Sasa democracy inavunjwa Ili tubaki na chama kimoja,yanayoendelea nchini ni dhahili kuwa upinzani hautakiwi

Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
 
Kama hiyo ni kweli basi ulipaswa uanzie kwa Nyerere kwani yeye ndiye architect wa yote hata kifo cha Habyarimana wanasema anahusika kumbuka Haby alitunguliwa akitokea Tanzania na hata safari yake ilikuwa na utata kwani hakutaka kuondoka hiyo siku lkn walimshinikiza aindoke, isitoshe Nyerere ni Banyamulenge by blood, pale Musoma walihamia tu kutokea Unyarwanda!

Hivyo kama conspiracy theory yako ina ukweli wowote basi ni mipango ya muda murefu iliyoasisiwa na Nyerere ambaye ana asili ya Unyarwanda!
Yaani we kichwa chako ni hekalu la maji taka. Sasa aanze na Nyerere kumchapa au? Yeye anasema mamlaka zichukue hatua, we unasema Nyerere au kafufuka?
 
Au ndio maana kuna waraka wa kiongozi mmoja wa dini anazungumzia ukoloni mpya baada ya ule wa uingereza
 
Hakuna Kabila la Wahutu wala Watusi, bali kuna Kabila moja tu kwani hakuna Lugha ya Kitusi wala Kihutu Dunia hii bali wote wanaongea Lugha moja tu iitwayo Kinywarwanda!

Jielimishe kwanza ndugu, usipoangalia kesho utaambiwa uchinje Familia yako na kutii, ndivyo walivyoambiwa Wanyarwanda wakauwana!

Knowledge is Power!
Aisee hakuna kabila la wahutu na watutsi?, wewe kweli hukusoma historia na kama ulisoma basi darasani ulikuwa kilaza!.
 
Mshana Jr hii mada yako uliyoichokoza ni nzito na ni diliki kusema ina uhalisia, mi baada ya kusikia jamii ya kitutsi na kihutu ikipiga kelele kwa wakati tofauti tofauti ndipo nilipo fanya utafiti usio rasmi ndio nikajua kuwa kweli kuna BAHIMA EMPIRE. Kwa nchi yetu ni watu na viongozi wachache wanaolijua hilo na kulitilia maanani, niseme ila Marehemu Rev Mtikila alikuwa anajua mchezo wote na nina uhakika hata Mhe Jakaya Kikwete analijua vizuri ila naye alibanwa mbavu. Nimalizie kusema mjadala huu ni mgumu ila ukweli ni huo na mpango huo ndani ya nchi yetu niwa muda mrefu, (Gavana wetu wa BOT Rutihinda alikuwa ni mtu wa aina gani na mwenye asili ya wapi?.)
Mastermind wa ku difuse huu mpango alikuwa Mchonga meno! ⚰ RIP, Alipanga kuuufisha upuuzi wote huu na kuleta USAWA katika kanda nzima ya Afrika mashariki ikiwa ni mkakati maalum wa kujiandaa na shirikisho ama umoja wa Afrika
KGM hana mpango na AU yeye lake ni Bahima tuu na ndie mastermind wa sasa ila si kwa mrengo wa Nyerere
 
Aisee hakuna kabila la wahutu na watutsi?, wewe kweli hukusoma historia na kama ulisoma basi darasani ulikuwa kilaza!.
Kwamba eti wanyankole na wadinka ni jamii moja
 
Mchango wako ni mzuri ila unatupeleka nje Ya mada. kwakuwa mada kuu ni kuilinda nchi yetu isinyakuliwe na "HIMA/TUTSI" empire basi ungeainisha namna gani katiba iwe ili kuimarisha utaifa na kuepuka blood suckinng habit Ya watutsi
mimi nimejikita zaidi kuhamasisha namna gani tutaiondoa ccm na hayo matatizo yote ya HIMA/TUTSI wataondoka nayo,wanaotaka watakwenda nayo huko yalikoanzishwa,hapa cha muhimu ni kujenga mazingira ili uchaguzi uwe uchaguzi kweli na kama utakuwa wa kweli upinzani unashida 80%
 
Hilo liko wazi labda wewe ndiyo hulijui lkn Nyerere asili yao ni Unyarwanda, hilo Uzanaki wamejipachika tu na kujitungia!
Naomba unipe asili ya makabila yafuatayo:
1: Wajaluo
2: Wakurya
3: Wanyakyusa,Wangoni, Wafipa, Wahehe,Wasumbwa.
4: Wachaga, Wapare, Wasambaa, Wabondei, Wakwere, Wazaramo
6: Wamasai, Wairaki, Wamangati
7: Warangi, Wagogo.
8: Wahaya, Waha, Wakerewe, Wajita.
Uniambie kama unaelewa movement za makabila mbalimbali ya Tanzania.
 
namna gani tutaiondoa ccm na hayo matatizo yote ya HIMA/TUTSI wataondoka nayo,wanaotaka watakwenda nayo huko
niambie how automatic kuwa chama kimoja kikiondoka madarakani - mfano CCM na tishio la hima /Tutsi empire litakuwa limeondoka?, kama mtikila alikuwa mkweli yeye alituonesha kuwa mgombea mmoja wa chama pendwa cha upinzani alikuwa na back up Ya WAHIMA, Vipi kama chama hicho kingeshinda? je kama CCM inamfumo mzuri wa kuchuja wagombea kwa maslahi Ya utaifa, vyama vingine vina Mifumo hiyo, au vilishaingiliwa na rupiah ya hima empire?
 
Turejee kwenye road map yetu 2015-2020 ina maana hata mkulu yuko hivyo? Maana naona kuna C & P nyingi sana toka Kigali... As if someone is been redirected by remote control from there
Are you sure?
 
Back
Top Bottom