kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 11,132
- 24,437
Niliwahi kuleta uzi hapa majuzi tu jamaa wamepewa bandari kavu kabis na jpmIla hukupimwa ndogo! Sorry I mean haja
Niliwahi kuleta uzi hapa majuzi tu jamaa wamepewa bandari kavu kabis na jpmIla hukupimwa ndogo! Sorry I mean haja
Naona una jambo na Nyerere na kama Rwanda ina kabila moja tuu, mauaji ya kimbari yalitokana na nini? Kwahiyo Wahutu sio sehemu ya Rwanda?
Unapaswa utambue pia kama sio Tz, Nkurunzinza angetolewa na hao bahima empire.
Nini asili ya kuwa na Watutsi na Wahutu? Nipo hapa kwa ajili ya kuelimikaHakuna Kabila la Wahutu wala Watusi, bali kuna Kabila moja tu kwani hakuna Lugha ya Kitusi wala Kihutu Dunia hii bali wote wanaongea Lugha moja tu iitwayo Kinywarwanda!
Jielimishe kwanza ndugu, usipoangalia kesho utaambiwa uchinje Familia yako na kutii, ndivyo walivyoambiwa Wanyarwanda wakauwana!
Knowledge is Power!
Mimi si mmojawapo! Nimeishi Rwanda lakini nimekuja kuoa nyumbani sikutaka kuchanganya damu
Turejee kwenye road map yetu 2015-2020 ina maana hata mkulu yuko hivyo? Maana naona kuna C & P nyingi sana toka Kigali... As if someone is been redirected by remote control from thereBasi hongera kwa kujitambua lkn mamia ya wenzako wanawaota Wanyarwanda, hivyo usiwalaumu kujiweka juu!

AminKwa mpango wa Mungu tutabaki salama kabisa
Nini asili ya kuwa na Watutsi na Wahutu? Nipo hapa kwa ajili ya kuelimika
Turejee kwenye road map yetu 2015-2020 ina maana hata mkulu yuko hivyo? Maana naona kuna C & P nyingi sana toka Kigali... As if someone is been redirected by remote control from there![]()
![]()
![]()
Jiwe limetupwa gizani?rubbish, we are all products of centuries migrations
Ni hali ilikuwepo tangu asili, mzungu tusimsingizie sana pamoja na kwamba ana sehemu yake ya lawama... Nijuavyo mini na kwa usahihi kabisa MHUNZI anabaki kuwa MHUNZI kamwe hachangamani na MSUSI... Same applies kwa wakulima na wafugaji! Hizi ni jamii mbili tofauti kabisa.... Sio zile tofauti za kidhana na kimtazamo za CCM na TADEAKuna mtu alikuja Mzungu Mjerumani akawaambia wewe ni Mtusi na wewe ni Muhutu, hawa wanaoitwa Watusi ni Wafugaji na Wahutu ni Wakulima basi wakagawanywa hivyo ni Muzungu, Wafugaji wakapendelewa na Muzungu kielimu na kikazi vizazi baada ya Muzungu kuondoka wakaiozoea hiyo hali, leo hii wale waliopendelewa wanatetea privilege yao walionyimwa fursa wanataka kuinyakuwa kwa nguvu na ndipo ugomvi ulipo!
Hiyo experiment unaweza kuifanya popote tu kuwagawa watu na kuwatawala, hata kwetu Mjerumani alifanya lkn kivingine, jiulize kwa nini tunasema Uswahilini, Uhindini au Uzinguni?