Bahima empire almost there...!!!

Bahima empire almost there...!!!

Wewe ni great thinker... Kuwa muungwana na ukubali unapoingia choo cha kike na sio kujaribu kuspin facts..

That's totally low kwa mtu wa kariba yako..
Naomba ucheki approach iliyozaa jibu langu.. Napenda malumbano yenye hoja makini.. Na kwa hili niombe radhi kama nimekukwaza.. Kumbuka kila tunachoandika hapa kinasomwa na wengi hivyo tujitahidi kuwa weledi
 
Mleta Mada alichofanya ni kuleta TAFAKARI ,hivyo tusimshambulie sana ,ingawa kasema yy anayajua mengi ( kwa sie wengine) sasa tujadili tafakari yake
 
Mi namuunga mkono Pierre 70% japo kisiasa sio jambo zuri ila hapo kafanikiwa kuwakomesha watusti ambao wao ndio wanajiona watu kuliko wenzao
 
Naomba ucheki approach iliyozaa jibu langu.. Napenda malumbano yenye hoja makini.. Na kwa hili niombe radhi kama nimekukwaza.. Kumbuka kila tunachoandika hapa kinasomwa na wengi hivyo tujitahidi kuwa weledi
Mkuu wewe ni great thinker.. Kwa status yako ulitakiwa usilete kitu ambacho either hukijui lakini pia ukifanyie research kabla ya kukiweka humu..

Kwa mtu wa status yako haifai kuleta uzi ambao una upotofu wa dhahiri. Then baada ya wachache kukukosoa ukaona uspin ili tu uonekane hujakosea. Mtu wa kwanza kukuuliza Bahima inahusika vipi na wahutu ulimjibu huyo kapandikizwa na watutsi. Wa pili aliuliza hivyo hivyo akajibiwa huyo kaachwa sababu watutsi wamekosa mtu wa mbadala wa kumuweka ila kabanwa kona zote asifurukute..

Kwa majibu hayo ndio tunaona jinsi unavyotumia fix za mtaani tu kutetea uzi wako. Lakini swali langu dogo kwako; kama Watutsi wamempandikiza tu kwa muda wakiendelea kumtafuta mrithi wake na wamembana kila kona, yeye Pierre anawezaje kuspin katiba na kujihalalisha kuwa Rais wa maisha?

Nitafurahi kama utanijibu kwa hoja makini..
 
Mkuu wewe ni great thinker.. Kwa status yako ulitakiwa usilete kitu ambacho either hukijui lakini pia ukifanyie research kabla ya kukiweka humu..

Kwa mtu wa status yako haifai kuleta uzi ambao una upotofu wa dhahiri. Then baada ya wachache kukukosoa ukaona uspin ili tu uonekane hujakosea. Mtu wa kwanza kukuuliza Bahima inahusika vipi na wahutu ulimjibu huyo kapandikizwa na watutsi. Wa pili aliuliza hivyo hivyo akajibiwa huyo kaachwa sababu watutsi wamekosa mtu wa mbadala wa kumuweka ila kabanwa kona zote asifurukute..

Kwa majibu hayo ndio tunaona jinsi unavyotumia fix za mtaani tu kutetea uzi wako. Lakini swali langu dogo kwako; kama Watutsi wamempandikiza tu kwa muda wakiendelea kumtafuta mrithi wake na wamembana kila kona, yeye Pierre anawezaje kuspin katiba na kujihalalisha kuwa Rais wa maisha?

Nitafurahi kama utanijibu kwa hoja makini..
Naona neno FIX ZA MITAANI ni neno pendwa kwako.. Anyway hiyo isipoteze muktadha wa mada...
Kwanza majibu yangu yote mawili nimewajibu watu wawili tofauti kulingana na kile walichouliza... ni kitu kile kile kwa mitazamo tofauti
Sijui Hapo nini kimekutatiza aliyepandikizwa ni baada ya kukosa mbadala ambao unaweza kufaa kutimiza malengo tarajiwa... Kule haikufanyika biashara ya moja kwa moja kama hii hapa kwetu ya madiwani na wabunge
Pale ni kiongozi wa taifa zima... Haya mambo yanafanyika popote duniani... Jumuiya za siri wnanafanya refer mada ya mafuvu na mifupa... Angalia nini kiliangusha USSR. Pandikizi la Marekani
Inawezekana kabisa hapo mwanzo hawakuwa na mpango naye lakini angalia picha kwa mapana yake.. Kuna wakati una team up na adui kwa kuangalia unapata faida na hasara kiasi gani
 
Jibu hoja za watu mkuu,acha porojo,sio tunguli zako hz
Sasa nani anafanya porojo au ninachojibu hukioni? Kama unaona hatuwezi kuendelea na hoja nishauri tuishie hapa
 
Mtu anashangaa ya Burundi wakati hapa Bongo Chadema wana huu utaratibu kitambo
 
Naona neno FIX ZA MITAANI ni neno pendwa kwako.. Anyway hiyo isipoteze muktadha wa mada...
Kwanza majibu yangu yote mawili nimewajibu watu wawili tofauti kulingana na kile walichouliza... ni kitu kile kile kwa mitazamo tofauti
Sijui Hapo nini kimekutatiza aliyepandikizwa ni baada ya kukosa mbadala ambao unaweza kufaa kutimiza malengo tarajiwa... Kule haikufanyika biashara ya moja kwa moja kama hii hapa kwetu ya madiwani na wabunge
Pale ni kiongozi wa taifa zima... Haya mambo yanafanyika popote duniani... Jumuiya za siri wnanafanya refer mada ya mafuvu na mifupa... Angalia nini kiliangusha USSR. Pandikizi la Marekani
Inawezekana kabisa hapo mwanzo hawakuwa na mpango naye lakini angalia picha kwa mapana yake.. Kuna wakati una team up na adui kwa kuangalia unapata faida na hasara kiasi gani
Hahahahaha...

Sawa sawa mkuu..
 
Hivi waliotaka kumpindua mwaka juzi ni wapi??
Mainstream media zilitumika kuwa aminisha watu kuwa alitaka kupinduliwa n.k ingawa ukweli na uhalisia haukuwa hivyo ,pia upande wa pili, mahasimu wao lazima wa ifanye Burundi isiwe na utulivu wa kisiasa ili wao waweze kupiga hatua mbele.

Kwa siasa za kwetu, ili uweze kulala usingizi mzuri au upige hatua mbele , lazima uhakikishe majirani zako wa karibu hawana utulivu wa kisiasa.
Historia ni mwalimu mzuri sana, wakati Tanzania ilikuwa ni kisiwa cha amani kipindi hicho, majirani zetu walikuwa katika wakati mgumu sana ila leo hii mambo ni tofauti kwa upande mwingine
 
Habari mbaya Taifa huru la Burundi linaloanza wiki nazo ni kwamba rais wa nchi hiyo Pierre Nkuruzinza amepitishwa rasmi kuwa rais wa kudumu kudumu na mwenyekiti wa milele wa chama tawala

Sitaki kuijadili Burundi kama taifa huru bali Burundi kama sehemu na mwanachama wa jumuiya ya Afrika mashariki...

Hii ni nchi mwanachama wa tatu katika nchi 6 zinazounda umoja huu (sijataja Sudan bado impact yake ni ndogo) Tayari Uganda chini ya Kaguta na Rwanda chini ya Kagame marais wake wamejirasmisha utawala wao kupitia chaguzi bandia..

Nani anafuatia!? Kenya? Kongo? Tanzania? Yeyote atakayefuatia kujiunga na huu udhalimu ile BAHIMA EMPIRE itakuwa imezaliwa rasmi....

Kama nawaona wale wazalendo watukufu wanavyo screen shot wachangiaji wa huu uzi. Mungu tusaidie
 
Usilolijua ni kama usiku wa giza.

Utawala wa Nkurunzinza ni muhimu sana na una faida kubwa kwa jiografia ya siasa za Afrika Mashariki.

Pierre sio mtutsi, yeye ni m Hutu, ina maana ni afya sana kwa yeye kuendelea kukomaa kuliko pale Burundi wakae wale jamaa zao wa upande wa Pili.
Kwa wenye jicho la tatu, wanajua jinsi Tanzania inavyo isapoti Burundi na ilivyokuwa karibu sana nayo kimkakati.
Kama Kigali itaendelea kutawaliwa na hao jamaa wanaojiona ni special kuliko binadamu wengine Afrika , pasi shaka kwa afya ya siasa za kwetu ni lazima Bujumbura upande wa pili waendelee kuwepo kuepusha kumezwa na hiyo Bahima empire.
Sikubaliani na wewe ina maana katika watu wote wa Burundi yeye ndiye mwenye akili pekeyake,kwa nini asipishe mtu mwingine hata kama ni wa kutoka chama au kabila lake?
 
Mainstream media zilitumika kuwa aminisha watu kuwa alitaka kupinduliwa n.k ingawa ukweli na uhalisia haukuwa hivyo ,pia upande wa pili, mahasimu wao lazima wa ifanye Burundi isiwe na utulivu wa kisiasa ili wao waweze kupiga hatua mbele.

Kwa siasa za kwetu, ili uweze kulala usingizi mzuri au upige hatua mbele , lazima uhakikishe majirani zako wa karibu hawana utulivu wa kisiasa.
Historia ni mwalimu mzuri sana, wakati Tanzania ilikuwa ni kisiwa cha amani kipindi hicho, majirani zetu walikuwa katika wakati mgumu sana ila leo hii mambo ni tofauti kwa upande mwingine
Mahasimu wa Burundi ni wapi?
 
Habari mbaya Taifa huru la Burundi linaloanza wiki nazo ni kwamba rais wa nchi hiyo Pierre Nkuruzinza amepitishwa rasmi kuwa rais wa kudumu kudumu na mwenyekiti wa milele wa chama tawala

Sitaki kuijadili Burundi kama taifa huru bali Burundi kama sehemu na mwanachama wa jumuiya ya Afrika mashariki...

Hii ni nchi mwanachama wa tatu katika nchi 6 zinazounda umoja huu (sijataja Sudan bado impact yake ni ndogo) Tayari Uganda chini ya Kaguta na Rwanda chini ya Kagame marais wake wamejirasmisha utawala wao kupitia chaguzi bandia..

Nani anafuatia!? Kenya? Kongo? Tanzania? Yeyote atakayefuatia kujiunga na huu udhalimu ile BAHIMA EMPIRE itakuwa imezaliwa rasmi....

Naye ni mhima?
 
Back
Top Bottom