Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,746
- 25,638
Asante kwa elimu, maana kuna mada zinaletwa zinastahili like za kutosha!.Zinazidi ila hazionekani kwenye App.. Ni mpaka ufungue browser ndio utaona idadi kamili
Bora umemsaidiamshana jr umechemka unaposema hima unakua unasema tutsi , so Pierre ni Muhutu kutoka chama cha CNDD-FDD .. by the way asante kwa kuanzisha mjadala wajuvi ya mambo ya ukabila watatiririka sisi wengine ni wa ku google tu.
Hahaha, jamaa anajua kila kituRais wa Burundi ni Mhima pia..??
Uwe unafanya due diligence kabla ya kupost kitu ambacho huna uhakika
Nadhani umeongeza TafakariHapana hajanisaidia mimi ndio nimemsaidia kwa kufafanua
Hahahaha huenda kweli watusi ni aliens, nyuzi za kuwapaisha zimezidiHizi Hima sijui nini ni conspirancy theories. Na kwanini mwanaume umuogope mwanaune mwenzako kiasi hiki? Watu wanaimba Hima Hima. Foolish!
Ni kweli mkuu,karibu Ngara,karibu BugaramaHapana sijui kila kitu ila najua kuliko wewe
Asante kwa ufafanuzi umejibu maswali mengi ya wale waliosoma hii mada bila kuelewaUsilolijua ni kama usiku wa giza.
Utawala wa Nkurunzinza ni muhimu sana na una faida kubwa kwa jiografia ya siasa za Afrika Mashariki.
Pierre sio mtutsi, yeye ni m Hutu, ina maana ni afya sana kwa yeye kuendelea kukomaa kuliko pale Burundi wakae wale jamaa zao wa upande wa Pili.
Kwa wenye jicho la tatu, wanajua jinsi Tanzania inavyo isapoti Burundi na ilivyokuwa karibu sana nayo kimkakati.
Kama Kigali itaendelea kutawaliwa na hao jamaa wanaojiona ni special kuliko binadamu wengine Afrika , pasi shaka kwa afya ya siasa za kwetu ni lazima Bujumbura upande wa pili waendelee kuwepo kuepusha kumezwa na hiyo Bahima empire.
Hapana wachina ndo wameiga bahima empireNaona wanawaiga wachina.
Hivi waliotaka kumpindua mwaka juzi ni wapi??Usilolijua ni kama usiku wa giza.
Utawala wa Nkurunzinza ni muhimu sana na una faida kubwa kwa jiografia ya siasa za Afrika Mashariki.
Pierre sio mtutsi, yeye ni m Hutu, ina maana ni afya sana kwa yeye kuendelea kukomaa kuliko pale Burundi wakae wale jamaa zao wa upande wa Pili.
Kwa wenye jicho la tatu, wanajua jinsi Tanzania inavyo isapoti Burundi na ilivyokuwa karibu sana nayo kimkakati.
Kama Kigali itaendelea kutawaliwa na hao jamaa wanaojiona ni special kuliko binadamu wengine Afrika , pasi shaka kwa afya ya siasa za kwetu ni lazima Bujumbura upande wa pili waendelee kuwepo kuepusha kumezwa na hiyo Bahima empire.
Kuhusu maeneo haya usihofu mkuu,tunacheza kwa step,umeleta tafakari nzuri ,sasa soma michango ya wadauKaribu Kanyigo