Bahima empire almost there...!!!

Bahima empire almost there...!!!

Pierre ni mhutu sio mtusi ambao ndio wenye chain ya bahima,
Afu ukiangalia kwa kias fulan wahima wamekuwa wakimtenga pierre.

Jaribu kuangalia uhusiano wa pierre kwa kagame na m7 jibu liko wazi sio mshirika hata chembe
 
Pierre ni mhutu sio mtusi ambao ndio wenye chain ya bahima,
Afu ukiangalia kwa kias fulan wahima wamekuwa wakimtenga pierre.

Jaribu kuangalia uhusiano wa pierre kwa kagame na m7 jibu liko wazi sio mshirika hata chembe
Iko hivi ameachwa makusudi baada ya kukosa mbadala wake na kuna compromising situation itakayomfanya asifurukute.... Lakini pia Kumbuka ya Afrika kusini si kila mzungu alikuwa adui wa weusi na si kila mweusi alikuwa adui wa wazungu
IMG-20180312-WA0080.jpg
 
Habari mbaya Taifa huru la Burundi linaloanza wiki nazo ni kwamba rais wa nchi hiyo Pierre Nkuruzinza amepitishwa rasmi kuwa rais wa kudumu kudumu na mwenyekiti wa milele wa chama tawala

Sitaki kuijadili Burundi kama taifa huru bali Burundi kama sehemu na mwanachama wa jumuiya ya Afrika mashariki...

Hii ni nchi mwanachama wa tatu katika nchi 6 zinazounda umoja huu (sijataja Sudan bado impact yake ni ndogo) Tayari Uganda chini ya Kaguta na Rwanda chini ya Kagame marais wake wamejirasmisha utawala wao kupitia chaguzi bandia..

Nani anafuatia!? Kenya? Kongo? Tanzania? Yeyote atakayefuatia kujiunga na huu udhalimu ile BAHIMA EMPIRE itakuwa imezalNiwa rasmi....
Watutsi sio watu hata kidoho
 
Tatizo wananchi wa kongo sio wamchezo mchezo wakiamua kukinukisha wanakinukisha haswa.mi nahiso tunafuatia sisi
 
Huwa naona walioleta siasa ya vyama vingi walikuwa na lengo la kututofautisha lugha ili tukwame kama ilivyokuwa kwenye mnara wa Babeli sababu hata yule aliyeshindwa atabaki kuwa Rais wa wale walioshindwa na akiongea kitu wafuasi wake wanamtii kwahiyo automatic kunakuwa na marais wengi kwenye nchi. Inafika hatua Rais wa nchi anasema hivi na huyu mwingine anasema vile matokeo yake hamuendi popote.
 
Habari mbaya Taifa huru la Burundi linaloanza wiki nazo ni kwamba rais wa nchi hiyo Pierre Nkuruzinza amepitishwa rasmi kuwa rais wa kudumu kudumu na mwenyekiti wa milele wa chama tawala

Sitaki kuijadili Burundi kama taifa huru bali Burundi kama sehemu na mwanachama wa jumuiya ya Afrika mashariki...

Hii ni nchi mwanachama wa tatu katika nchi 6 zinazounda umoja huu (sijataja Sudan bado impact yake ni ndogo) Tayari Uganda chini ya Kaguta na Rwanda chini ya Kagame marais wake wamejirasmisha utawala wao kupitia chaguzi bandia..

Nani anafuatia!? Kenya? Kongo? Tanzania? Yeyote atakayefuatia kujiunga na huu udhalimu ile BAHIMA EMPIRE itakuwa imezaliwa rasmi....
Hivi kwa nini like huwa hazi zidi 5 kwa kila mada?.
 
Habari mbaya Taifa huru la Burundi linaloanza wiki nazo ni kwamba rais wa nchi hiyo Pierre Nkuruzinza amepitishwa rasmi kuwa rais wa kudumu kudumu na mwenyekiti wa milele wa chama tawala

Sitaki kuijadili Burundi kama taifa huru bali Burundi kama sehemu na mwanachama wa jumuiya ya Afrika mashariki...

Hii ni nchi mwanachama wa tatu katika nchi 6 zinazounda umoja huu (sijataja Sudan bado impact yake ni ndogo) Tayari Uganda chini ya Kaguta na Rwanda chini ya Kagame marais wake wamejirasmisha utawala wao kupitia chaguzi bandia..

Nani anafuatia!? Kenya? Kongo? Tanzania? Yeyote atakayefuatia kujiunga na huu udhalimu ile BAHIMA EMPIRE itakuwa imezaliwa rasmi....
Hivi kwa nini like huwa hazi zidi 5 kwa kila mada?.
 
Naona kabisa Magufuli anakaribia kuinhia kwenye kundi hilo japo 'ameishakataa' (kinafiki) kutongangania madarakani. Hatimaye ukanda mzima wa EAC utakuwa EAC Kingdom.
 
Back
Top Bottom