Bahari ni kiboko ya usafiri wa wachawi

Bahari ni kiboko ya usafiri wa wachawi

usijarib hizi ishu, kuingia ni rahisi mno na juhudi binafsi huweza kukupeleka huko bt kutoka huko ni neema tu Mungu. Ila ukiwa kama Ariesta haya
mkuu Ariesta ndio nani? Na huyu an historia gani?
 
Ambaye amefilisika sasa? toka kanda ya ziwa? Haya mambo ni vigumu kuyajua hasa kwakuwa ni siri ya mtu na mojawapo ya viapo au maagano ni kutosimulia chochote. ..watu watabaki tu na speculations kutokana na mienendo yako
Nakupa poa nyiingi kwa jibu lako zuri #mshana jr


Sent from my GT-N7100 using JamiiForums mobile app
 
KENZY nilishawahi kulijibu hili siku za nyuma kwenye nyuzi nyingine pengine hukuona
Ni kwamba niliishi kusoma na kupractice mambo ya kiroho kwa miaka isiyopungua 20.
Upo juu kaka, huna group la WhatsApp tupate elimu zaidi. Napenda nijifunze mengi aisee #mshana jr
 
nifanyie wepesi huu nambie roho ni nini..?
ukinijibu hilo sitakuwa nalakuhoji tena..
Ngoja nipanue ufahamu wako kwa njia ya maswali
1. Ninini kinasababisha mpaka mimi na wewe kwa umbali wetu na bila kufahamiana tuwe ze kuandika haya kwenye simu zetu na kuweza kusomana? Kiunganishi ninini?

2 . ninini kinalifanya gari liende?
 
nifanyie wepesi huu nambie roho ni nini..?
ukinijibu hilo sitakuwa nalakuhoji tena..
point ya ku add.....kwqnza jua kinacho ishi ni Roho, Roho ni pumzi, hii hutoa tafsiri ya kila ktu kuhusu wew tabia, huwezo wako ni kila kitu. Roho ikiwa njr ya mwili, Mwili si kitu kabisa n Katika baadhi ya ulimwengu Roho kama roho haiwezi fanya kitu paka ivae mwili na kuna baadh ya sehemu mwili haufai kitu kitu ni roho kama roho inaweza operate.


kifupi roho ndio uhai n ndio pumzi (sio hewa)
 
Mkuu ww niambie tu sehem ntakayokula kiapo au nimwone nani ili niende huko
 
Ngoja nipanue ufahamu wako kwa njia ya maswali
1. Ninini kinasababisha mpaka mimi na wewe kwa umbali wetu na bila kufahamiana tuwe ze kuandika haya kwenye simu zetu na kuweza kusomana? Kiunganishi ninini?

2 . ninini kinalifanya gari liende?
nshakupata mkuu unapotaka kuniambia ni kwenye ufahamu i mean vitu vyote hivi gari,simu n.k vimetengenezwa kwa ufahamu/akili tuliyonayo.. gari huwezi kuiunda na kuiendesha bila ya kuwa na akili.
au nipo long
 
nshakupata mkuu unapotaka kuniambia ni kwenye ufahamu i mean vitu vyote hivi gari,simu n.k vimetengenezwa kwa ufahamu/akili tuliyonayo.. gari huwezi kuiunda na kuiendesha bila ya kuwa na akili.
au nipo long
Ni zaidi ya hapo ..ni hivi mwisho wa yote kuna nguvu isiyionekana ndio hufanya mambo yaende kwa mfano wa JF mpaka tunasomana hizi post zetu mengi yamejumuishwa nitataja machache
App ya JF , servers zake, wafanyakazi,mitandao ya simu, umeme , masafa,network, simu yenye charge kifurushi simcard, na wewe mwenyewe na kile ukiwazacho na muda na vidole vya kutype na ufahamu wako pia

Kwenye gari
Lazima gari likamilike kila kitu lakini haliwezi kwenda kama halijawashwa, au halina dereva au ufunguo nk nk kwahiyo mpaka unaona gari linatembea barabarani ni mjumuiko wa vitu vingi lakini kuna kimoja kisichoonekana na kisicho na maelezo ya kwanini gari linakwenda
 
Back
Top Bottom