Bahari ni kiboko ya usafiri wa wachawi

Bahari ni kiboko ya usafiri wa wachawi

Naskiaga kuna baadhi ya matajiri utajiri wao wanaufata chini ya maji???
Pili naskiaga uchawi ni uchawi kumbe kuna madaraja tofauti???

Mwaga vitu mpwa

Aisee....kwa hiyo ile dhana ya uchawi hauvuki bahari ni kweli kumbe.......na hebu tupe hints za Meli ya Nungwi kama unajua chochote ktk ulimwengu wa roho..........

Sasa uchawi wao kama ni advance wanaufanyia wapi au kwa ajili ya kuharibu nini

1.Nasikia Illuminate wamejenga mjengo chini ya Bahari.Ni kweli au ndo magazeti ya Udaku?
2.Kuna utofauti gani kati ya Ocean na Sea.
Ipi kati ya Ocean na Sea ambayo mchawi hawezi pita na kwanini nyengine ashindwe?

Nilipata kusikia yule kibarul jinn kiti chake cha enzi kipo chini ya bahari.Na watu wengi huogopa uchawi wa baharini sijui mshana jr hilo unalielezaje?

Naskiaga kuna mbunge mmoja mpya alikuwa mfanyabiashara wa supermarket naye alikuwa mfuasi wa kuzama huko. Majin ?????
Masikhara masikhara mshana jr keshapata wanafunzi....

Mie napita tu lakini
 
kwa uwelewa wangu mdogo ni ufahamu,mwili,mifupa n.k
Iko hivi KENZY binadamu kamili anaundwa na vitu vitatu nafsi/roho, ufahamu/akili na mwili wa nyama..kiingereza ni me myself and I
Nje ya hivyo vitatu kikikosekana kimoja huyo mwanadamu sio kamili bali kuna
-jina lake
-roho yake
-akili yake
Katika haya kinachoitwa roho hakionekani wala kinachoitwa ufahamu hakishikiki bali kwa umoja wao huunda uhai wako na mengine yote yanayokuhusu
 
Iko hivi KENZY binadamu kamili anaundwa na vitu vitatu nafsi/roho, ufahamu/akili na mwili wa nyama..kiingereza ni me myself and I
Nje ya hivyo vitatu kikikosekana kimoja huyo mwanadamu sio kamili bali kuna
-jina lake
-roho yake
-akili yake
Katika haya kinachoitwa roho hakionekani wala kinachoitwa ufahamu hakishikiki bali kwa umoja wao huunda uhai wako na mengine yote yanayokuhusu
nachotaka kujua ni nawezaje kujua kama nina roho..?
 
mshana jr hicho kiapo ntamwona nani ili nile? Maana kuna watu humu wananitafuta kama Preta huyo lazma nimwendee huko ili awe anjileta mwenyew kwangu
Mmmmmmmm huko simo, [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
 
Back
Top Bottom