Bagamoyo sugar project ilkua biashara ya kitapeli

Street Hustler

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
2,147
4,206
Haina ubishi lile eneo ambalo Zanzibar wanadai nilao lilisharudishwa mikononi mwa Tanganyika sababu Rais wa nchi ndiye mwenye mamlaka ya ardhi ya Tanzania labda huyu waleo ajichanganye tena awape hilo eneo na zaid kwa Mara nyingine.

Bagamoyo sugar project ilkua n biashara ya kijanja mbele ya watu wajinga haingii akilini serikali ya Sweden na wafanyabiashara wakufua umeme na Nishati mbadala baada ya kuona eneo lipo free Tanzania serikali ya Sweden ikaja TANZANIA kuomba eneo la shughuli la kilimo Cha miwa kwa maana ya uzalishaji Nishati na eneo lenyewe n bagamoyo serikali ya wakati huo chini ya Jakaya kikwete ikaanza mchakato wa kumpatia huyo mwekezaji shamba mpaka muda ulivyofika basi wakapewa hyo Ardhi na rasmi waanze shughuli zao za uwekezaji.

Ajabu n kwamba hao jamaa baada yakupewa eneo lenye 28k Hector's magharibi ya eneo lililopewa watu wa Zanzibar Sasa hao waswidn baada ya kupewa eneo wakatumia documents za eneo la bagamoyo na kwenda kuombea mkopo bank ya African Development Bank sasa hyo pesa waliyokuwa wanataka kulima miwa na kufungua viwanda kumbe walikuwa hawana.

Muda ukaenda mpaka mwaka 2017 Rais wa wakati huo Chuma John Pombe Magufuli baada ya kuwapa nafasi nyingi ili mradi ule uendelee wale jamaa wakajitoa kwenye maslai ya kuendeleza Ile project huku wakilalamika yakuwa wanapitia changamoto nyingi sana hasa vikwazo vingi ikiwa n Mawaziri wa serikali ya Tanzania Zaid ya 16 na taasisi kibao yakuwa wanawawekea vikwazo vingi hvyo wakaamua kuachana na mradi huo ndipo John Pombe Magufuli mwaka 2017 akampa Hilo eneo mwekezaji mwingine ambaye n bakrhesa "mtanisahihisha Kama nimekosea".

Ajabu eti naskia wale jamaa toka Sweden wanawashtaki watanzania ya kuwanyima hakiyao ya kuendeleza kilimo cha miwa kule bagamoyo na kutishia kuikamata ndege za TANZANIA huko watakapokutana nazo huko ughaibuni.

Swala la Ardhi ya Tanganyika kumilikiwa na wazanzibar lilishamalizwa siku nyingi sana Sasa n Mali ya Tanganyika.
 
Haina ubishi lile eneo ambalo Zanzibar wanadai nilao lilisharudishwa mikononi mwa Tanganyika sababu Rais wa nchi ndiye mwenye mamlaka ya ardhi ya Tanzania labda huyu waleo ajichanganye tena awape hilo eneo na zaid kwa Mara nyingine.

Bagamoyo sugar project ilkua n biashara ya kijanja mbele ya watu wajinga haingii akilini serikali ya Switzerland na wafanyabiashara wakufua umeme na Nishati mbadala baada ya kuona eneo lipo free Tanzania serikali ya Switzerland ikaja TANZANIA kuomba eneo la shughuli la kilimo Cha miwa kwa maana ya uzalishaji Nishati na eneo lenyewe n bagamoyo serikali ya wakati huo chini ya Jakaya kikwete ikaanza mchakato wa kumpatia huyo mwekezaji shamba mpaka muda ulivyofika basi wakapewa hyo Ardhi na rasmi waanze shughuli zao za uwekezaji.

Ajabu n kwamba hao jamaa baada yakupewa eneo lenye 28k Hector's magharibi ya eneo lililopewa watu wa Zanzibar Sasa hao waswitz baada ya kupewa eneo wakatumia documents za eneo la bagamoyo na kwenda kuombea mkopo bank ya African Development Bank sasa hyo pesa waliyokuwa wanataka kulima miwa na kufungua viwanda kumbe walikuwa hawana.

Muda ukaenda mpaka mwaka 2017 Rais wa wakati huo Chuma John Pombe Magufuli baada ya kuwapa nafasi nyingi ili mradi ule uendelee wale jamaa wakajitoa kwenye maslai ya kuendeleza Ile project huku wakilalamika yakuwa wanapitia changamoto nyingi sana hasa vikwazo vingi ikiwa n Mawaziri wa serikali ya Tanzania Zaid ya 16 na taasisi kibao yakuwa wanawawekea vikwazo vingi hvyo wakaamua kuachana na mradi huo ndipo John Pombe Magufuli mwaka 2017 akampa Hilo eneo mwekezaji mwingine ambaye n bakrhesa "mtanisahihisha Kama nimekosea".

Ajabu eti naskia wale jamaa toka Switzerland wanawashtaki watanzania ya kuwanyima hakiyao ya kuendeleza kilimo cha miwa kule bagamoyo na kutishia kuikamata ndege za TANZANIA huko watakapokutana nazo huko ughaibuni.

Swala la Ardhi ya Tanganyika kumilikiwa na wazanzibar lilishamalizwa siku nyingi sana Sasa n Mali ya Tanganyika.
Ngojea iendelee kunyesha tutajua Tu wapi panapovuja
 
Haina ubishi lile eneo ambalo Zanzibar wanadai nilao lilisharudishwa mikononi mwa Tanganyika sababu Rais wa nchi ndiye mwenye mamlaka ya ardhi ya Tanzania labda huyu waleo ajichanganye tena awape hilo eneo na zaid kwa Mara nyingine.

Bagamoyo sugar project ilkua n biashara ya kijanja mbele ya watu wajinga haingii akilini serikali ya Switzerland na wafanyabiashara wakufua umeme na Nishati mbadala baada ya kuona eneo lipo free Tanzania serikali ya Switzerland ikaja TANZANIA kuomba eneo la shughuli la kilimo Cha miwa kwa maana ya uzalishaji Nishati na eneo lenyewe n bagamoyo serikali ya wakati huo chini ya Jakaya kikwete ikaanza mchakato wa kumpatia huyo mwekezaji shamba mpaka muda ulivyofika basi wakapewa hyo Ardhi na rasmi waanze shughuli zao za uwekezaji.

Ajabu n kwamba hao jamaa baada yakupewa eneo lenye 28k Hector's magharibi ya eneo lililopewa watu wa Zanzibar Sasa hao waswitz baada ya kupewa eneo wakatumia documents za eneo la bagamoyo na kwenda kuombea mkopo bank ya African Development Bank sasa hyo pesa waliyokuwa wanataka kulima miwa na kufungua viwanda kumbe walikuwa hawana.

Muda ukaenda mpaka mwaka 2017 Rais wa wakati huo Chuma John Pombe Magufuli baada ya kuwapa nafasi nyingi ili mradi ule uendelee wale jamaa wakajitoa kwenye maslai ya kuendeleza Ile project huku wakilalamika yakuwa wanapitia changamoto nyingi sana hasa vikwazo vingi ikiwa n Mawaziri wa serikali ya Tanzania Zaid ya 16 na taasisi kibao yakuwa wanawawekea vikwazo vingi hvyo wakaamua kuachana na mradi huo ndipo John Pombe Magufuli mwaka 2017 akampa Hilo eneo mwekezaji mwingine ambaye n bakrhesa "mtanisahihisha Kama nimekosea".

Ajabu eti naskia wale jamaa toka Switzerland wanawashtaki watanzania ya kuwanyima hakiyao ya kuendeleza kilimo cha miwa kule bagamoyo na kutishia kuikamata ndege za TANZANIA huko watakapokutana nazo huko ughaibuni.

Swala la Ardhi ya Tanganyika kumilikiwa na wazanzibar lilishamalizwa siku nyingi sana Sasa n Mali ya Tanganyika.
Nimeona mwenendo wa kesi. Tuna watu wa ajabu sana maofisini. Halafu sio waswisland ni wa Denmark.
 
Haina ubishi lile eneo ambalo Zanzibar wanadai nilao lilisharudishwa mikononi mwa Tanganyika sababu Rais wa nchi ndiye mwenye mamlaka ya ardhi ya Tanzania labda huyu waleo ajichanganye tena awape hilo eneo na zaid kwa Mara nyingine.

Bagamoyo sugar project ilkua n biashara ya kijanja mbele ya watu wajinga haingii akilini serikali ya Switzerland na wafanyabiashara wakufua umeme na Nishati mbadala baada ya kuona eneo lipo free Tanzania serikali ya Switzerland ikaja TANZANIA kuomba eneo la shughuli la kilimo Cha miwa kwa maana ya uzalishaji Nishati na eneo lenyewe n bagamoyo serikali ya wakati huo chini ya Jakaya kikwete ikaanza mchakato wa kumpatia huyo mwekezaji shamba mpaka muda ulivyofika basi wakapewa hyo Ardhi na rasmi waanze shughuli zao za uwekezaji.

Ajabu n kwamba hao jamaa baada yakupewa eneo lenye 28k Hector's magharibi ya eneo lililopewa watu wa Zanzibar Sasa hao waswitz baada ya kupewa eneo wakatumia documents za eneo la bagamoyo na kwenda kuombea mkopo bank ya African Development Bank sasa hyo pesa waliyokuwa wanataka kulima miwa na kufungua viwanda kumbe walikuwa hawana.

Muda ukaenda mpaka mwaka 2017 Rais wa wakati huo Chuma John Pombe Magufuli baada ya kuwapa nafasi nyingi ili mradi ule uendelee wale jamaa wakajitoa kwenye maslai ya kuendeleza Ile project huku wakilalamika yakuwa wanapitia changamoto nyingi sana hasa vikwazo vingi ikiwa n Mawaziri wa serikali ya Tanzania Zaid ya 16 na taasisi kibao yakuwa wanawawekea vikwazo vingi hvyo wakaamua kuachana na mradi huo ndipo John Pombe Magufuli mwaka 2017 akampa Hilo eneo mwekezaji mwingine ambaye n bakrhesa "mtanisahihisha Kama nimekosea".

Ajabu eti naskia wale jamaa toka Switzerland wanawashtaki watanzania ya kuwanyima hakiyao ya kuendeleza kilimo cha miwa kule bagamoyo na kutishia kuikamata ndege za TANZANIA huko watakapokutana nazo huko ughaibuni.

Swala la Ardhi ya Tanganyika kumilikiwa na wazanzibar lilishamalizwa siku nyingi sana Sasa n Mali ya Tanganyika.
Story yako nimeipenda na itakua poa mno km utaiendeleza ili tujue kuhusu huyo aliyepewa eneo na Jiwe amefikia wap+na hao walioenda mahkaman ili wakamate midege yetu
 
Haina ubishi lile eneo ambalo Zanzibar wanadai nilao lilisharudishwa mikononi mwa Tanganyika sababu Rais wa nchi ndiye mwenye mamlaka ya ardhi ya Tanzania labda huyu waleo ajichanganye tena awape hilo eneo na zaid kwa Mara nyingine.

Bagamoyo sugar project ilkua n biashara ya kijanja mbele ya watu wajinga haingii akilini serikali ya Switzerland na wafanyabiashara wakufua umeme na Nishati mbadala baada ya kuona eneo lipo free Tanzania serikali ya Switzerland ikaja TANZANIA kuomba eneo la shughuli la kilimo Cha miwa kwa maana ya uzalishaji Nishati na eneo lenyewe n bagamoyo serikali ya wakati huo chini ya Jakaya kikwete ikaanza mchakato wa kumpatia huyo mwekezaji shamba mpaka muda ulivyofika basi wakapewa hyo Ardhi na rasmi waanze shughuli zao za uwekezaji.

Ajabu n kwamba hao jamaa baada yakupewa eneo lenye 28k Hector's magharibi ya eneo lililopewa watu wa Zanzibar Sasa hao waswitz baada ya kupewa eneo wakatumia documents za eneo la bagamoyo na kwenda kuombea mkopo bank ya African Development Bank sasa hyo pesa waliyokuwa wanataka kulima miwa na kufungua viwanda kumbe walikuwa hawana.

Muda ukaenda mpaka mwaka 2017 Rais wa wakati huo Chuma John Pombe Magufuli baada ya kuwapa nafasi nyingi ili mradi ule uendelee wale jamaa wakajitoa kwenye maslai ya kuendeleza Ile project huku wakilalamika yakuwa wanapitia changamoto nyingi sana hasa vikwazo vingi ikiwa n Mawaziri wa serikali ya Tanzania Zaid ya 16 na taasisi kibao yakuwa wanawawekea vikwazo vingi hvyo wakaamua kuachana na mradi huo ndipo John Pombe Magufuli mwaka 2017 akampa Hilo eneo mwekezaji mwingine ambaye n bakrhesa "mtanisahihisha Kama nimekosea".

Ajabu eti naskia wale jamaa toka Switzerland wanawashtaki watanzania ya kuwanyima hakiyao ya kuendeleza kilimo cha miwa kule bagamoyo na kutishia kuikamata ndege za TANZANIA huko watakapokutana nazo huko ughaibuni.

Swala la Ardhi ya Tanganyika kumilikiwa na wazanzibar lilishamalizwa siku nyingi sana Sasa n Mali ya Tanganyika.
Chanzo cha taarifa yako mbona ujaweke? Au aliekusimulia ulikutaka usimtaje?
 
Ni kama umechanganya madesa ama mimi ndo sijaelewa
Nikweli ila ili uelewe inabid ubongo wako uwe unajua vitu vingi pia uwezo wa kuchakata mambo pia unahitajika.

Hapo Kuna inshu Zaid ya moja.

1. Utapeli wa wazungu
2. Uhalali wa Ardhi ya Tanganyika kuwa mali ya kisiwa cha Zanzibar
3. Mtu aliepewa eneo bure na kulitumia kukopea pesa na akiwekewa dhamana na serikali iliompa Ardhi anaidai hyo serikali fidia.
4. Na nyinginezo
 
Story yako nimeipenda na itakua poa mno km utaiendeleza ili tujue kuhusu huyo aliyepewa eneo na Jiwe amefikia wap+na hao walioenda mahkaman ili wakamate midege yetu
Bakrhesa na sukari yake unaeza mfatilia ukigoogle pia huyo mzungu nae yupo hukohuko.

Matangazo ya sukari ya bakrhesa huwa yanakuja na kupotea kifupi naona naye anatumia mwanya huo ili kupata kibali Cha kuagiza sukari kutoka nje sababu n muhanga Kama serikali ikiruhusu sukari ya nje Mana bakrhesa anacheza na kofia zote tatu 1. Mkulima wa malighafi 2. Mzalishaji 3. Mfanyabishara

Nafkiri hukumu ilishatoka ili kukazia hukumu na alipwe fidia yake kwa wakati ndiomana anania ya kukamata ndege za TANZANIA popote pale uraia wake na maslai ya kukamata hiyo ndege ya TANZANIA utakapomatch
 
SMZ hawakuwa na haki ya kutangaza sehemu ya Tanganyika kuwa yao!

Kama ni jambo halali kabisa, wanaye raisi wa JMT ambaye ndiye mwenye ardhi yote, kwanini wasingemwambia huyo akatoa muongozo?

Utaratibu wa serikali, si kutumia gazeti la serikali, vipi wamesahau?

Watanganyika msipokuwa makini, hii ndoa ya Msoga + Wasio na vipara itawaangamiza katika muda mfupi sana ujao!

Jiwe alisema, Yanga hawachukui kombe la Afrika kwa mpira wao! Na pia akasema MTAMKUMBUKA.
 
SMZ hawakuwa na haki ya kutangaza sehemu ya Tanganyika kuwa yao!

Kama ni jambo halali kabisa, wanaye raisi wa JMT ambaye ndiye mwenye ardhi yote, kwanini wasingemwambia huyo akatoa muongozo?

Utaratibu wa serikali, si kutumia gazeti la serikali, vipi wamesahau?

Watanganyika msipokuwa makini, hii ndoa ya Msoga + Wasio na vipara itawaangamiza katika muda mfupi sana ujao!

Jiwe alisema, Yanga hawachukui kombe la Afrika kwa mpira wao! Na pia akasema MTAMKUMBUKA.
Mnayakuza hayo mambo bila shaka kwa sababu zenu binafsi kuonesha kwamba SMZ imesema hilo eneo ni sehemu ya visiwa vya Zanzibar wakati sio kweli bali wanalimiliki hilo eneo kwa kuwa na hatimiliki kama mtu mwingine yeyote aliyemilikishwa ardhi iwe kwa ajili ya shamba,nyumba ama hata kiwanda ambaye akitaka kuzungumzia umiliki wake anasema ni eneo lake.
Acheni kupotosha hilo jambo kwa sababu zenu binafsi.
Bagamoyo sio sehemu ya visiwa vya Zanzibar bali wana umiliki wa shamba walilomilkishwa tokea 1973 kwa hatimiliki kama Watanzania wengine.
 
Bagamoyo sio sehemu ya visiwa vya Zanzibar bali wana umiliki wa shamba walilomilkishwa tokea 1973 kwa hatimiliki kama Watanzania wengine.
Sheria zipo, taratibu zipo! Msemaji wa SMZ anaanzaje kuutangazia umma kuwa mali ardhi ni yao bila kupitia mamlaka husika? Wao sio watu binafsi, ni SMZ, partner wa Tanganyika sio? Kuna JMT mwenye hiyo jurisdiction,

SMZ anaingiaje Tanganyika kutangaza kwa capacity yako kuwa eneo la Tanganyika ni lake?

Raisi wa JMT, kazi yake ni nini?

Walilitelekeza kwa muda gani eneo hilo? Sheria inasemaje kuhusu kuacha eneo bila kuliendeleza?
 
Sheria zipo, taratibu zipo! Msemaji wa SMZ anaanzaje kuutangazia umma kuwa mali ardhi ni yao bila kupitia mamlaka husika? Wao sio watu binafsi, ni SMZ, partner wa Tanganyika sio? Kuna JMT mwenye hiyo jurisdiction,

SMZ anaingiaje Tanganyika kutangaza kwa capacity yako kuwa eneo la Tanganyika ni lake?

Raisi wa JMT, kazi yake ni nini?

Walilitelekeza kwa muda gani eneo hilo? Sheria inasemaje kuhusu kuacha eneo bila kuliendeleza?
Wewe eneo lako unasema mwenyewe au inakusemea serikali na je serikali haimiliki ardhi? Sasa kwa nini SMZ isiseme kama eneo fulani wanalimiliki wao na hatimiki wanayo!
 
Wachina kibao wanamiliki ardhi Bongo wana viwanda,wana magodauni na hata mashamba na makampuni mengi ya wachina yanamilikiwa na serikali mbona sijasikia nongwa yoyote!
 
Back
Top Bottom