mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,738
- 35,155
Tano tena kwa rais John Pombe Joseph MagufuliWaite na wa Gongo la Mboto, Kiwalani, Pugu etc
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tano tena kwa rais John Pombe Joseph MagufuliWaite na wa Gongo la Mboto, Kiwalani, Pugu etc
Tano tena ndio zimeanza. Hii hukumu yako ni batiliPropaganda za uchaguzi hizo... 99% ni UONGO mtupu🙄
USHAAMKA..Tano tena ndio zimeanza. Hii hukumu yako ni batili
Sawa mum...Tano tena ndio zimeanza. Hii hukumu yako ni batili
Mambo ya uchumi wa kati hayoSi kawaida, magari yamesimama hapa Lugalo karibia dk 15?
KUNANI?
Tatizo ni la mkandarasi anaitwa Hari Singh pale Makongo.labda kuna breakdown au ajali. vumilieni
Mambo ya uchumi wa kati hayo
Suala la TIME IS MONEY limekupita kwa mbali.Dak 15 tu unapiga kelele, ww acha utoto.
Usikute trafiki alikuwa anasoma habari za Diamond kutokuwa na Baba anayemjuwa kisha akajisahau, hii nchi kwa kushangaa ujinga?Si kawaida, magari yamesimama hapa Lugalo karibia dk 15?
KUNANI?
Mliozoea vikao vya takrima mmezoea kusubiri posho mpaka afike mshefa!Dk 15 ndio unalialia?
Au ni mgeni wa hiyo barabara hasa yule trafiki aitwaye mama Wawili anapoongoza magari?!?
Sio kuamka tuu, na kazi nimeshaanza. Unashangaa eee!!USHAAMKA..
Kama wakati ni pesa ungepita njia mbadala!Mliozoea vikao vya takrima mmezoea kusubiri posho mpaka afike mshefa!
TIME IS MONEY.
Uongo upi kwa mfano😂😂😂😂Sawa mum...
'Mi-5 tena' na uongo ni kama uji na mgonjwa!
Mkuu wewe kweli mtu wa shughuli zisizo na mpangilio wowote.Kama wakati ni pesa ungepita njia mbadala!
"Ma-flyover kama yote...."Uongo upi kwa mfano😂😂😂😂
Wewe uliyepita hiyo njia ndio huna shughuli yoyote.Mkuu wewe kweli mtu wa shughuli zisizo na mpangilio wowote.
Yoteeee ndani ya 5tena"Ma-flyover kama yote...."
- pole pole🙄
Kwa bagamoyo road ukishafika lugalo kukaa nusu saa ni kawaida , na ujenzi unaoendelea ndio kabisa .......Dk 15 unalialia watu tushasimama two hours. Acha uchawi wako