MTAZAMO
Platinum Member
- Feb 8, 2011
- 20,088
- 35,281
Kwa ufupi,
Sijui mipango ya hii miji inapangwa vipi. Kipindi serikali inafanya juhudi kutanua Morogoro road moja ya sababu kuu ilikuwa ni kuzidiwa kwa wingi wa magari.
Hivi nani aliamua mabasi sasa yaanze kupita Bagamoyo road na huku Morogoro imetanuliwa na bila upanuzi wa Bagamoyo road? Hivi mnaona yanayoendelea kwenye hiyo barabara? Hayo maeneo ndio premium kwa nchi kwasasa na magari ni mengi ila barabara finyu.
Mabasi ya mikoani kwenye barabara ile kweli njia mbili? Mnasubiri janga lipi mtambue zile hatari za Kimara zinahamia Bunju?
Anyway, hizi barabara tunatumia wote! Ila hatari haichagui. Mnawapa mizigo trafiki isiyo na ulazima.
Juzi mmeona yaliyotokea! Wote tunaona yanakuja mengi zaidi. Chukueni hatua!
Sijui mipango ya hii miji inapangwa vipi. Kipindi serikali inafanya juhudi kutanua Morogoro road moja ya sababu kuu ilikuwa ni kuzidiwa kwa wingi wa magari.
Hivi nani aliamua mabasi sasa yaanze kupita Bagamoyo road na huku Morogoro imetanuliwa na bila upanuzi wa Bagamoyo road? Hivi mnaona yanayoendelea kwenye hiyo barabara? Hayo maeneo ndio premium kwa nchi kwasasa na magari ni mengi ila barabara finyu.
Mabasi ya mikoani kwenye barabara ile kweli njia mbili? Mnasubiri janga lipi mtambue zile hatari za Kimara zinahamia Bunju?
Anyway, hizi barabara tunatumia wote! Ila hatari haichagui. Mnawapa mizigo trafiki isiyo na ulazima.
Juzi mmeona yaliyotokea! Wote tunaona yanakuja mengi zaidi. Chukueni hatua!