kwa namna 1 au 2 hizi picha zimeniboa, mbona hakuna mwenye mtoto wa kiume? nazani madem wanafanyaga makusudi kuzaa watoto wa kike tu. kila jinsia inavutia upande wake.
tafuta group O mmoja mfanya mazoezi mpangilia msosi, afu jigeshe siku za hatari, sio mimba tuu, MAPACHA..over, naumba mungu kwa sasa anipunguzia tamaa/ hamu za kimwili, maana miaka 2 watoto 5