Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,152
- 137,148
- Thread starter
- #41
a)Wana CCM Wameumia Sana Baada ya CHADEMA Kuhairisha UKUTA
Hayo maumivu ya wanaCCM umeyasikiaje wewe?
a)Wana CCM Wameumia Sana Baada ya CHADEMA Kuhairisha UKUTA
CHADEMA Walitaka Publicity,na Wameipata!na Hata Kusema Kuwa Watumishi wa Mungu Kuwaomba Watulie Bado ni Kick Nzuri!
Na Mpaka Oktoba Mosi CHADEMA Haita Kauka Vinywani Mwenu!
Hivi Usafi Kesho Unaendelea,ahahaha!
CHADEMA Wametanguliza,wao Wamepiga Kona Fasta!

Wa JWTZ?Usafi?
Usafi gani?
Hamna lolote.
ahahahaThe drugs have kicked in![]()
Naona una majeraha ya mtima.
Pole sana.
Ndo matokeo ya kuwekeza hisia kwenye watu wasio na uaminifu,.
CHADEMA Wanafanya Siasa za Digitali!Japo kuwa sijawahi kuwa mfuasi wao hawa jamaa kwa hili naomba niwatetee,
Nia ya Maandamano ilikuwa kuujulisha umma wa Watanzania kuwa haki Demokrasia na uhuru vinakandamizwa,
ukitazama karata zao walicheza vizuri sana sana,kwanza walitoa muda mrefu sana toka watangaze kuwa watafanya hayo maandamano yao,
Hapa ukitazama kwa nje utaona kama jamaa wamefail lakini ukweli hawajafail wameshinda sana tu,lengo lao lilikuwa kuwajulisha watanzania kuna tatizo nchini,
Serikali na Taasisi zake bila kujua au kwa kujua au kwa chuki wakaingia mkenge wa kuanza kuutangaza UKUTA kwa wiingi sana na nguvu kubwa mno kila sehemu na kila pembe ya nchi umejulikana na watu wamehoji maana ya UKUTA sasa hapo lengo na nia ya chadema imefanikiwa bila hata kuandamana,
Ingekuwa hata mimi Mbowe wala nisingeingia mtaani kwa sababu kama mashtaka waliokuwa wanataka kuyaleta kwa wananchi yamefika
Bashe aliwaambia Jamhuri inacheza ngoma ya Upinzani bila kutaka
Ni Kitu gani kinakufanya umuone kuwa ni one of the philosophers na ni well educated hapa JF kuliko watu wengine?My thinking katika JF Nyani Ngabu ni kuwa you are one of the philosophers, well educated! Ninaanza kuwa na mashaka na elimu yako!
Ukizingatia kwamba yeye ana shahada ya sanaa ya mlimaniBaada ya chama kuchukuliwa na Lowassa ameamua kukigeuza kikundi cha maigizo.
Nyani kama viongozi wote wa dini, taasisis binafsi , mabalozi wanaweza wakakujia na kukuomba ubadilishe msimamo, ni ishara kuwa you have a right worth of being realized and are on your side! No dignitary will side with ISISPoleni sana.
Nyani kama viongozi wote wa dini, taasisis binafsi , mabalozi wanaweza wakakujia na kukuomba ubadilishe msimamo, ni ishara kuwa you have a right worth of being realized and are on your side! No dignitary will side with ISIS
WengiSwali ni bado wapo wenye imani na chadema?
Tuliona na imani na CHADEMA unataka tuamini chama gani na kwanini?Hawa CHADEMA ndo basi tena.
Naona wapo kwenye mwendokasi wa kuelekea kaburini.
Hii si mara yao ya kwanza kuwapandisha watu mzuka halafu wanaishia kubadili gia angani na kuwaacha watu wakining'inia.
Nani tena atawaamini hawa jamaa? Manake baada ya kuwaaminisha watu kwa miaka mingi kuwa Lowassa ni fisadi, matokeo yake ndo akaja kuwa mgombea wao. Mamlaka ya kimaadili ya kukemea ufisadi wakayapoteza.
Baada ya kuwapandisha watu mzuka wa UKUTA, leo wameufyata mbele ya Ngosha.
Sasa eti wametangaza hayo maandamano yatafanyika Oktoba mosi.
Watampata nani hiyo Oktoba mosi? Wake, waume, na watoto wao?
Wameishiwa kabisa. Hawana jipya tena. Hawana dira wala mwelekeo wowote ule.
Mtu afadhali unaweza kusema kuwa kabla ya ujio wa Lowassa kwamba watu walijua wanasimamia nini na wanasimama wapi.
Lakini leo hii nani anayejua wanachokisimamia? Nani anajua wanaposimama?
Walishindwa hata kuwashawishi wapinzani wenzao kuwaunga mkono ki hali na ki mali kwenye huo UKUTA wao. Wengine wakadiriki hadi kuwatakia kila la kheri na kuwaahidi kuchangia damu endapo wangehitaji baada ya kupokea kichapo cha vijana wa Ngosha.
Matokeo yake tingatinga limepita na kuusambaratishia mbali.
Wanahitaji uongozi mpya wenye maono mapya la sivyo wataenda bye bye for good.