Papaa007
JF-Expert Member
- Sep 4, 2016
- 1,101
- 1,721
Tecno simu za waalimu!ndio maana kelele haziishi,ili watu waache kutandikwa.
kaka yangu ni mwalimu,siku anawasiliana na mimi anakuja twende kkoo tukanunue simu,nikamsubiri kwa hamu nikipiga mahesabu kwamba bro a20,au redme yoyote ya 350-380 itamfaa.
sikujua amefika saa ngapi town,anakuja kunionuesha infix lina camera 4 za kusimama,quality hata a10 yangu ilikuwa inamchapa.
nikakausha tu,juzi analalamika simu limekuwa zito,namimi nikawambia tatizo ulikuja kununia simu baada ya kumuona mwalimu mwenzio anayo.
Sent using Jamii Forums mobile app